Ukweli: Umaarufu wa Mtoto wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

Ukweli: Umaarufu wa Mtoto wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

word...
Sasa kipind kile ndo alikua kazaliwa, alikua na moto nae. Mtoto wake wa kwanza. Sasa ulitaka brand yake iendelee na moto ule ule wakat katoto hakajui hata kuongea vzur?. Hata Asahd wa Dj Khaleed itafika wakat mtamwona wa kawaida tu. Hakunaga kiki za milele
 
Ndio anaongoza ana vie 1.3 mil hata hao wasanii wengne hawana angalia usije jifia kwa chuki.
 
Ya nini amfanyie kila siku kwani ni wake??

Labda unambie kuwa mtoto wa mwenzio wako
 
Tanzania_boy amechukua nafasi yake.Habari siyo tiffah tena ni tanzanian_boy ambaye kwa tetesi ni mdogowake na Tiffah&Nillan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom