Yeah ni shabiki wake fatilia threads zangu utaona,tatizo ameongelea tiffa wewe umemkurupukia baba mtu hizo ni chuki mbaya halafu ukajibatiza ati ni shabik wake tangu zaman aisee
Pambana na hali yako mleta mada .Kama mnakumbuka ilifika hatua Diamond akatamba kwenye vyombo vya habari kuwa Mtoto wake ndiye anayeongoza kupata sjui ndio viewers sjui ndio followers. Ilifika hatua hata kumuona inabidi watu walipie hela. Leo hii amepotea hata utafikiri hayupo
Na hata Leo no birthday Yake lakini hata haijulikani na hakuna mbwembwe kama enzi zile
Kweli watu hawapendi ujinga!!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hata wewe wa kusema maneno haya?Baba ake watu wameshachoka life style yake....
kwahiyo afocus kwenye mziki tu.
Show off zimetuchosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akinya lazma ukazitafute news zake afu eti life style yake wameshaichokaa hahahahaa ..kinyesi brain.Baba ake watu wameshachoka life style yake....
kwahiyo afocus kwenye mziki tu.
Show off zimetuchosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu mtupu, ndio maana uendelei, roho mbaya.Kama mnakumbuka ilifika hatua Diamond akatamba kwenye vyombo vya habari kuwa Mtoto wake ndiye anayeongoza kupata sjui ndio viewers sjui ndio followers. Ilifika hatua hata kumuona inabidi watu walipie hela. Leo hii amepotea hata utafikiri hayupo
Na hata Leo no birthday Yake lakini hata haijulikani na hakuna mbwembwe kama enzi zile
Kweli watu hawapendi ujinga!!!!
Heshima kitu cha bure.Hata akinya lazma ukazitafute news zake afu eti life style yake wameshaichokaa hahahahaa ..kinyesi brain.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha afu mimi ni shabiki mzuri wa diamond.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hata wewe wa kusema maneno haya?
Kama mnakumbuka ilifika hatua Diamond akatamba kwenye vyombo vya habari kuwa Mtoto wake ndiye anayeongoza kupata sjui ndio viewers sjui ndio followers. Ilifika hatua hata kumuona inabidi watu walipie hela. Leo hii amepotea hata utafikiri hayupo
Na hata Leo no birthday Yake lakini hata haijulikani na hakuna mbwembwe kama enzi zile
Kweli watu hawapendi ujinga!!!!
Tulia ww jenga hoja zilizo rational umaarufua wa tifah uwez useparate na baba yake maana ht huo umaarufu kaupata coz ya baba yake na anapoharibu baba lazima dogo aporomoke
Alafu huyu jama akili zake zitakua na usadani mwake anafikiri kila mtu yuko tu kumuwaza TiffaHeshima kitu cha bure.
Halafu unavoishi wewe sivyo sote tuishivyo, kwahyo usidhani kama na sisi tunashindaga IG au FB kutafuta baba latifa kafanya nini, hatutafutagi drama. tunatazama mziki mzuri kwa sababu hauepukiki.
nakutakia jioni njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitika sana inabd jf iwe inazuia thread kama hz juu kwa juukweli kabisa mtu mzima unaandika habari kama hii
namshangaa[emoji23]Alafu huyu jama akili zake zitakua na usadani mwake anafikiri kila mtu yuko tu kumuwaza Tiffa
Sent using Jamii Forums mobile app