It seems I guessed right. uh!? Yes. You may be one of our country enemies....sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Hizo lugha zako na tuhuma zako za kishamba haziniumizi kichwa , uzi wangu umejieleza wazi kabisa , bali inafahamika kwamba kwa yeyote kudhani yeye ni raia bora kuliko wengine ni ugonjwa wa akiliIt seems I guessed right. uh!? Yes. You may be one of our country enemies
Wajasiriasiasa ndo mmegawanyika mnataka kutuaminisha wote ndo tumegawanyika.Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .
Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Subiri wanaJF amalize vipimo vyao...watuajua ukweli uko wapi wakishapata matokeo kama we have our statehood real enemy or just a rouge priced citizen. 😡Hizo lugha zako na tuhuma zako za kishamba haziniumizi kichwa , uzi wangu umejieleza wazi kabisa , bali inafahamika kwamba kwa yeyote kudhani ni yeye ni raia bora kuliko wengine ni ugonjwa wa akili
ni bora afanye hivyo , haiwezekani timu ipangwe na mkuu wa mkoa ambaye hajawahi hata kupiga dana mbiliKuna uwezekano Kocha akajiuzuru
Vitisho na uchawi ndio njia pekee ya kujihami kwa kapuku aliyezidiwa hoja , endelea kunifuatilia binafsi lakini kuwa mwangalifu mno usije kumlilia mtuSubiri wanaJF amalize vipimo vyao...watuajua ukweli uko wapi wakishapata matokeo kama we have our statehood real enemy or just a rouge priced citizen. 😡
Mda utafika tuKwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .
Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Alipoenda Liquid watu walikuwa pamoja na tukala mbili bilaKwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .
Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Kasema amemuomba mkuu hajaenda na yakeKwahiyo kaenda na majina yake mfukoni ?
Naombea leo CCM Stars apigwe 2 kavu na Kenya. Usiniulize kwanini nashabikia Kenya. Mm ndiyo nimepangatunakushukuru sana mkuu
hii ndio tofauti yetu na wao !Kenya imepeleka wachezaji au mchezaji maarufu wa zamani kutoa hamasa. Sisi wameenda wanasiasa kula perdiems za walipa kodi.
Tofauti hiyo itatoa jibu uwanjani.
Kuna watu wanaongelea kuipiga Kenya goli tatu. Sijui wanatoa wapi mawazo hayo.hii ndio tofauti yetu na wao !
Harambee stars piga hao CCM stars 5-0.It seems I guessed right. uh!? Yes. You may be one of our country enemies