Ukweli unaofichwa : Watanzania wamegawanyika mno kuhusu Taifa Stars

Ukweli unaofichwa : Watanzania wamegawanyika mno kuhusu Taifa Stars

Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .

Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Wajasiriasiasa ndo mmegawanyika mnataka kutuaminisha wote ndo tumegawanyika.
 
Hizo lugha zako na tuhuma zako za kishamba haziniumizi kichwa , uzi wangu umejieleza wazi kabisa , bali inafahamika kwamba kwa yeyote kudhani ni yeye ni raia bora kuliko wengine ni ugonjwa wa akili
Subiri wanaJF amalize vipimo vyao...watuajua ukweli uko wapi wakishapata matokeo kama we have our statehood real enemy or just a rouge priced citizen. 😡
 
Subiri wanaJF amalize vipimo vyao...watuajua ukweli uko wapi wakishapata matokeo kama we have our statehood real enemy or just a rouge priced citizen. 😡
Vitisho na uchawi ndio njia pekee ya kujihami kwa kapuku aliyezidiwa hoja , endelea kunifuatilia binafsi lakini kuwa mwangalifu mno usije kumlilia mtu
 
Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .

Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Mda utafika tu
 
Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .

Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Alipoenda Liquid watu walikuwa pamoja na tukala mbili bila
Kaenda gavana watu wametawanyika na tunawapiga Kenya mbili moja
 
Kenya imepeleka wachezaji au mchezaji maarufu wa zamani kutoa hamasa. Sisi wameenda wanasiasa kula perdiems za walipa kodi.
Tofauti hiyo itatoa jibu uwanjani.
hii ndio tofauti yetu na wao !
 
Naiombea ishinde leo. Iwatandike hao wengine 3 bila nione atakavyofurahi Poletaratibu. Uganda tuliwaonesha kuwa sisi tunaenenda kama ahadi ya chama inavyosema. Leo tutadhihirisha kuwa "Hatuku bebwa" na Uganda bali tunastahili kuwepo Misri.
 
Back
Top Bottom