Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Nchi imeshagawanyika hii kila mtu hapangiwi kushabikia timu yoyote. Ukisijikia unashabikia timu yoyote. Unapotengeneza maadui kuanzia Kwenye siasa, ajira n.k usitegemee kuna mtu ataipenda hii nchi. Hapa nina watu kama 10 wote wanaishabikia Kenya. Usiniulize ni kwanini ila ujue kuna shida mahala tena kubwa. Ukiona mwanao uliyemzaa anakuchukia usianze kumpiga ila chunguza nini sababuTusipofungwa itakuwa huzuni nchi nzima.
Nilipoisoma hii leo mchana nikasema ama kweli mchawi wa soka la bongo sio wachezaji ni wanasiasa....wanataka umaarufu wa kipuuzi wakati mpira unaitaji investments kuanzia level za juu mpaka chini. Honestly najua tukifanya vibaya haya mashindano itakua chachu ya kufanya vizuri miaka ya baadae baaada ya kujitathimini na kuamua kuwekeza kwenye mpira wa vijana na academy kuliko kutaka mafanakio ya pupa.
Mpira sio siasa,huwezi kusema mpira hoyeeee!Na goli likaingia!
Tusipofungwa itakuwa huzuni nchi nzima.
Ni UJINGA kukubali kuyumbishwa na mwanasiasa au siasa.taifa letu linataendelea kuwepo pasipo siasa au wanasiasa. naiombea timu yangu ishinde.Poleni wazalendo wote tunaoyubishwa na wanasiasa uchwara hao
Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .
Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Leo tutashinda na huo mgawanyiko hewa hautaonekana! Maana huo mgawanyiko unaousema ni hater's wachache tu.
Huyu kocha ataondokea hukohuko...Kuna uwezekano Kocha akajiuzuru
It seems I guessed right. uh!? Yes. You may be one of our country enemies
Yaani shukran ya punda...Huyu kocha ataondokea hukohuko...
CCM wamemuita Dalali....
Akirudi atakuwa mtu wa ajabu sana.
"Tupeni raha Harambee, tupeni raha ayee"Kwa Tafsiri halali maana halisi ya uzalendo ni pamoja na kuongea ukweli ( Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko ) , mficha maradhi mauti humuumbua , nimeanza na hili la uzalendo maana limetumika sana na mamluki ili kufifisha mijadala yenye tija , Uzalendo siyo Uzuzu au ubwege , uzalendo ni pamoja na kuhoji mambo mazuri au mabaya yanayoonekana kwenye jamii yetu , kuwa mzalendo haimaanishi kwamba wewe ni ndondocha uliyeng'olewa ubongo , ni lazima ifahamike humu jf na kwingineko kwamba kuhoji si kosa .
Ni dhahiri Watanzamia wamegawanyika kabisa kuhusiana na timu yao na mpaka sasa Haijafahamika sababu hasa ya watanzania kugawanyika kiasi hiki , uchunguzi wangu umebaini kwamba wanaoishangilia ni wachache mno kuliko wanaozomea , huo ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanataka ufichwe , ni vema wadau wakajiuliza hali hii inatokana na nini , kujua sababu za hili ni nusu ya jawabu , toeni madukuduku yenu , sababu hasa ya kuitosa timu yenu ni nini ?
Leo lazima mjitie madoletunakushukuru sana mkuu
ili iweje ?Leo lazima mjitie madole
Unajisikiaje pale unalo taka litokee halitokei?ili iweje ?
Wewe uzi huu hujauelewa hata chembeUnajisikiaje pale unalo taka litokee halitokei?
Kila siku na semaga chadema ni fungu la kukosa!
Go stars go, go..
Nimeuelewa sana! Ni muendelezo wa nyuzi nyingi kutoka kwa vijana wa chadema kuombea mabaya starsWewe uzi huu hujauelewa hata chembe
Sijawahi hata siku moja kujiingiza kwenye malumbano ya kisiasa lakini ngoja leo na mimi nichangie hapa. Ikiwa mkuu unaamini toka moyoni kabisa hiki ulichokiandika, basi Tanzania tuka matatizo makubwa kuliko haya tunayoyaonaNimeuelewa sana! Ni muendelezo wa nyuzi nyingi kutoka kwa vijana wa chadema kuombea mabaya stars