Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
sihongi na nachukia hongoNyie ndo independent women...YOU CAN DO everything yourself... Huhitaji mwanaume wakukupa vijisent vyake.unavyo vyakwako.
Ila be careful usije Wewe ukawa ndo mhongaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sihongi na nachukia hongoNyie ndo independent women...YOU CAN DO everything yourself... Huhitaji mwanaume wakukupa vijisent vyake.unavyo vyakwako.
Ila be careful usije Wewe ukawa ndo mhongaji.
nabisha ndioMimi nikukuhonga mwenyewe utapenda! Kama unabisha tujaribu!?
Hahahah jf kuna raha yakeNiP.M NAMBA YAKO FASTA TUONGEE MIPANGO ENDELEVU NA YENYE TIJA NCHI HII!!!
Nipe details zako za kupokolea hongo yangu!!nabisha ndio
Mh....Kwaiyo hata kuhudumiwa na mumeo pia utachukia...Siku akisema chukua hela hii mke wangu kanunue kijora...utakataa na kusema ni hongo..sihongi na nachukia hongo
great..... kuhudumiwa sawa kabisa na napenda ila hongo hapanaMh....Kwaiyo hata kuhudumiwa na mumeo pia utachukia...Siku akisema chukua hela hii mke wangu kanunue kijora...utakataa na kusema ni hongo..
.
nipo kwa wakala tuma na ya kutolea au utoe moja kwa moja itapendezaNipe details zako za kupokolea hongo yangu!!
Unatofautishaje hongo na kuhudumiwa?great..... kuhudumiwa sawa kabisa na napenda ila hongo hapana
naitofautisha vizuri tu Hongo ni RUSHWAUnatofautishaje hongo na kuhudumiwa?
[emoji849][emoji849][emoji849]...kwaiyo unafikiria mwanaume akikutongoza anakwambia chukua hii rushwa ya laki unipende... Wewe nawe mwanamke wawapi?naitofautisha vizuri tu Hongo ni RUSHWA
sijawahi kupewa, kutoa wala kuomba rushwa ili nimpende mtu
tofautisha kuhongwa na kuhudumiwa rudi kaangalie maana ya neno hongo then compare na kuhudumiwa alafu angalia heading ya mtoa mada ikoje ndo uje uniulize tena[emoji849][emoji849][emoji849]...kwaiyo unafikiria mwanaume akikutongoza anakwambia chukua hii rushwa ya laki unipende... Wewe nawe mwanamke wawapi?
Kumpenda unampenda au mnapendana.. siku akikununulia zawadi utasema Ni Rushwa?....
Unamtizamo wakitofauti kabisa..