Ukweli unaouma kuhusu wewe

Jamaa kajana maswala ya bilionea sijui unapimwa kwa dollar. Mara international bilionea๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, dogo pesa huja tu ukiset mipango age doesn't matter. Ubilionea haufikiriwa unatafutwa.
 
Vyote viwili umechemka mkuu....labda ungesema umezaliwa kipofu sahau kuona....umezaliwa kiziwi sahau kusikia au umezaliwa bubu sahau kuongea...at least
 
Unajua nyima ya pazia ya hawa watu
Hamna aliyetoka kwene familia hoe hae kuna mengi hayasemwi
 
Vyote viwili umechemka mkuu....labda ungesema umezaliwa kipofu sahau kuona....umezaliwa kiziwi sahau kusikia au umezaliwa bubu sahau kuongea...at least
Kipofu mbona kuona inawezekana
 
kwaiyo mkuu unaamini utakua bilionea na uko na 30โ€ฆ.
labda kama uko kwene million 900 $
Ngoja nikupe story ya mzee mmoja juzi nime pata nafasi ya kumsafirishia bidhaa fulani.

Ana niambia mambo yali kuwa magumu Sana, mpaka ana fika 40+.
Ila Leo ana 62, mzee sio poa, alicho niambia keep believing and doing what am doing tu. Wakati wako uta fika.
 
So What was the point!??.....i thought instead of talking shit you should encourage individuals [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
๐Œ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐จ ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฒ๐š๐ก๐ž๐ฌ๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฐ๐ž.
 
๐Œ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐จ ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฒ๐š๐ก๐ž๐ฌ๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฐ๐ž.
Sio yangu tunaweza kuanza kuhesabu
 
So What was the point!??.....i thought instead of talking shit you should encourage individuals [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Thr point is tunapoteza muda kwene vitu ambavyo chance yake ni 0.01%
Na tunaacha kuishi na kufanya vitu vyenye 100% chance of successiding
 
Uzi ufungwe. Mimi nalenga hapo kwa jack ma hapo. Najua nita hit tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ