Hujui chochote kuhusu maishaKwa umri uliofika.
1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine.
2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa.
[emoji23]Jifunze kukubali itakusaidia kuboresha afya yako ya akili.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app