Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 396
- 1,958
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu huu ndio uhalisia wa kitaa
1: Umekaa zako kwa raha mstarehe, ghafla unakumbuka umri wako🙄
2: Kaka unawaza kumuoa?Mwenzako bado anahesabu viewers za Whatsapp+screenshot za waliom-wish birthday yake.
3: Ewe mwanadamu Punguza kiburi watu wanaweza kuishi bila wewe na maisha yaka nyooka tu.
4: Wakati ambao Dunia haikuelewi hakikisha unajielewa mwenyewe
5: Maisha yanachangamoto zake Mwenye ghetto hana demu,
Mwenye demu hana ghetto,
Na mwenye vyote hana nguvu za kiume😀 that's life.
6: Dada Uchi sio kitu cha kumnyima mwenzio (wewe mpe tu narudia tena mpe tu)
7: Usiongeze SMS juu ya SMS isiyojibiwa(jifunze kubalance Nyege)
8: Ewe mwanaume acha kupambana kutaka kumridhisha mwanamke, hata kama umemnyandua kwa dakika mbili tu kikubwa ashanyanduliwa
9: Amka asubuhi na mapema upangilie shida zako ujue unaanza teseka na Ipi🤔
10: Kaka siku hizi washajijua Wana makomwe wanavaa sketi fupi fupi ili tupoteze focus na concentration
11: Kitendo cha mtu mzima mwenzako kukuangalia na kuona unasitahili shikamoo Huwa kinaumiza sana🙄
12: Kijana mwenzangu Itakugharimu pesa nyingi sana kujifanya una pesa.
Mambo ni mengi muda ni mchache nukta.
1: Umekaa zako kwa raha mstarehe, ghafla unakumbuka umri wako🙄
2: Kaka unawaza kumuoa?Mwenzako bado anahesabu viewers za Whatsapp+screenshot za waliom-wish birthday yake.
3: Ewe mwanadamu Punguza kiburi watu wanaweza kuishi bila wewe na maisha yaka nyooka tu.
4: Wakati ambao Dunia haikuelewi hakikisha unajielewa mwenyewe
5: Maisha yanachangamoto zake Mwenye ghetto hana demu,
Mwenye demu hana ghetto,
Na mwenye vyote hana nguvu za kiume😀 that's life.
6: Dada Uchi sio kitu cha kumnyima mwenzio (wewe mpe tu narudia tena mpe tu)
7: Usiongeze SMS juu ya SMS isiyojibiwa(jifunze kubalance Nyege)
8: Ewe mwanaume acha kupambana kutaka kumridhisha mwanamke, hata kama umemnyandua kwa dakika mbili tu kikubwa ashanyanduliwa
9: Amka asubuhi na mapema upangilie shida zako ujue unaanza teseka na Ipi🤔
10: Kaka siku hizi washajijua Wana makomwe wanavaa sketi fupi fupi ili tupoteze focus na concentration
11: Kitendo cha mtu mzima mwenzako kukuangalia na kuona unasitahili shikamoo Huwa kinaumiza sana🙄
12: Kijana mwenzangu Itakugharimu pesa nyingi sana kujifanya una pesa.
Mambo ni mengi muda ni mchache nukta.