Ukweli unaouma (uhalisia wa kitaa)

Ukweli unaouma (uhalisia wa kitaa)

Mfilisiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
396
Reaction score
1,958
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu huu ndio uhalisia wa kitaa
1: Umekaa zako kwa raha mstarehe, ghafla unakumbuka umri wako🙄
2: Kaka unawaza kumuoa?Mwenzako bado anahesabu viewers za Whatsapp+screenshot za waliom-wish birthday yake.
3: Ewe mwanadamu Punguza kiburi watu wanaweza kuishi bila wewe na maisha yaka nyooka tu.

4: Wakati ambao Dunia haikuelewi hakikisha unajielewa mwenyewe

5: Maisha yanachangamoto zake Mwenye ghetto hana demu,
Mwenye demu hana ghetto,
Na mwenye vyote hana nguvu za kiume😀 that's life.

6: Dada Uchi sio kitu cha kumnyima mwenzio (wewe mpe tu narudia tena mpe tu)

7: Usiongeze SMS juu ya SMS isiyojibiwa(jifunze kubalance Nyege)

8: Ewe mwanaume acha kupambana kutaka kumridhisha mwanamke, hata kama umemnyandua kwa dakika mbili tu kikubwa ashanyanduliwa

9: Amka asubuhi na mapema upangilie shida zako ujue unaanza teseka na Ipi🤔

10: Kaka siku hizi washajijua Wana makomwe wanavaa sketi fupi fupi ili tupoteze focus na concentration

11: Kitendo cha mtu mzima mwenzako kukuangalia na kuona unasitahili shikamoo Huwa kinaumiza sana🙄

12: Kijana mwenzangu Itakugharimu pesa nyingi sana kujifanya una pesa.

Mambo ni mengi muda ni mchache nukta.
 
Wakuu poleni na majukumu,moja ka moja kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu huu ndio uhalisia wa kitaa
1: Umekaa zako kwa raha mstarehe,ghafla unakumbuka umri wako[emoji849]
2: Kaka unawaza kumuoa????Mwenzako bado anahesabu viewers za Whatsapp+screenshot za waliom-wish birthday yake.
3: Ewe mwanadamu Punguza kiburi watu wanaweza kuishi bila wewe na maisha yaka nyooka tu.

4: Wakati ambao Dunia haikuelewi hakikisha unajielewa mwenyewe

5: Maisha yanachangamoto zake
Mwenye ghetto hana demu,
Mwenye demu hana ghetto,
Na mwenye vyote hana nguvu za kiume[emoji3] that's life.

6: Dada Uchi sio kitu cha kumnyima mwenzio (wewe mpe tu narudia tena mpe tu)

7: Usiongeze SMS juu ya SMS isiyojibiwa(jifunze kubalance Nyege)

8:Ewe mwanaume acha kupambana kutaka kumridhisha mwanamke,hata kama umemnyandua kwa dakika mbili tu kikubwa ashanyanduliwa

9:Amka asubuhi na mapema upangilie shida zako ujue unaanza teseka na Ipi[emoji848]

10: Kaka siku hizi washajijua Wana makomwe wanavaa sketi fupi fupi ili tupoteze focus na concentration

11: Kitendo cha mtu mzima mwenzako kukuangalia na kuona unasitahili shikamoo Huwa kinaumiza sana[emoji849]

12:Kijana mwenzangu Itakugharimu pesa nyingi sana kujifanya una pesa.

Mambo ni mengi muda ni mchache nukta.
Bold namba 6 kutilia mkazo
 
1&11 it shows hupendi ukubwa🙄 ila 5 umefunga Uzi 🤣🤣🤣🙌
 
Kuna mtu atakuja na kusema namba 6 haoimbwi hivo [emoji2369]
 
Back
Top Bottom