Hahahaa ila wewee[emoji1787]sijui kwanini napenda utani wa hivo,ila kuna jamaa ni noma hua ananitania ananiita baba mkwe,huwa tunaishi nae sasa tunaweza kukutana coridoni ananipisha nipite eti anasema sio adabu kupishana na baba mkwe.
Lenie. sasa hivi mimba inamsumbua hadi mimi ananitenga
Tena wewe, ngoja tu nikutafutie siku yako nikuchaaaane hadi uchanike kabisaMi nataka unichane makavu live..π
ππTena wewe, ngoja tu nikutafutie siku yako nikuchaaaane hadi uchanike kabisa
babyπLooh ananizushia huyo sis
Eeeh bwana.Haha..!
Utawajua tu wenye wako real.!
Poa tu. Napenda ukweli nisisingiziwe tuMi nataka nikuchane, uko tayari?
Nikiwakuta hiyo paradiso either of u two, bas hapo sikai.patakua mahala pengine hapo.πππ......Yaani wewe kama ni mwanangu na unazingua mie nakuchana tu ukinichukia ukauchuna sawa, tutaonana paradiso.....
Nichane bas c* nione hapa kidogo, venye ukiwa real [emoji23][emoji23]Sijui nikuchane wa nyumbani..[emoji848][emoji848] ila ukinuna shauri yako[emoji12]
Mdogo wangu sina Cha kukuchana..Ila ukizingua sitokuacha salamaNichane bas c* nione hapa kidogo, venye ukiwa real [emoji23][emoji23]
Namna hiyo. Mimi rafiki zangu wananiijua kifua sina. Ukizingua nakupa hapo hapo sicheleweshi.Yaani wewe kama ni mwanangu na unazingua mie nakuchana tu ukinichukia ukauchuna sawa, tutaonana paradiso.
Nimependa mstari huu
je wew ukipewaga hukasiriki?Namna hiyo. Mimi rafiki zangu wananiijua kifua sina. Ukizingua nakupa hapo hapo sicheleweshi.