AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Ukiwa mnunaji Sana bwana Wako atakugeza tu nAye ataanza kununa.Umemaanisha.?
Nadhani hiyo inaweza kua sababu kubwa.Ndo maana ukimkuta mtu aliyestaarabika anakua na mawazo huru zaidi kuliko yule ambaye bado.Ndo maana utaona kwa mfano mtu kusema samahani pale anapokosea mara nyingi inatolewa na mtu aliyestaarabika.Unahisi tatizo ni nini.!? Ni bado hatujastaarabika ama.!!?
Sikasiriki. Si ukwelije wew ukipewaga hukasiriki?
basi vizuri maana kuna wengine hupenda kuwachana wengine bt wao wakichanwa live wanaumia na kukasirikaSikasiriki. Si ukweli
Mimi sikasiriki. Nichane tu kitu cha ukweli.basi vizuri maana kuna wengine hupenda kuwachana wengine bt wao wakichanwa live wanaumia na kukasirika
basi vizuri.Mimi sikasiriki. Nichane tu kitu cha ukweli.
Nakuchana bbyMimi sikasiriki. Nichane tu kitu cha ukweli.
Pombe kali shots tu ndo zinapanda. Siku hizi nimehamia WindhoekNakuchana bby
Acha bia kama mimi,tunywe tu pombe kali
Ukifika kwenye safari nijulishee....nina kreti lako[emoji8]Pombe kali shots tu ndo zinapanda. Siku hizi nimehamia Windhoek
Umesahau huko naendaga na kurudi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukifika kwenye safari nijulishee....nina kreti lako[emoji8]
Hahaaa...... 🤣🤣Haha.!
Bro, nipe namba zake tafadhali, mtu unaweza ukawa famous dunia nzima hivi hivii kiutani utani..!
absolutely..!!Nadhani hiyo inaweza kua sababu kubwa.Ndo maana ukimkuta mtu aliyestaarabika anakua na mawazo huru zaidi kuliko yule ambaye bado.Ndo maana utaona kwa mfano mtu kusema samahani pale anapokosea mara nyingi inatolewa na mtu aliyestaarabika.