Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangeumbuka mkuu.VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Msimu uliopita Simba ndio timu iliyoongoza kwa kupewa penati nyingiNdio ukweli huo
Kwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetuVAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Watu wajinga kama hawa achana nao, msimu jana wao ndio waliopewa penalti nying za mchongo, Gamond hadi alipewa onyo kisa kuzinguana na waamuzi wabovu. Ila kwa kuwa hawa wameamuwa kuwa wapumbavu twende nao hivyo hivyo.Kwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
Goli moja linatosha kubadilisha form yakoKwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
Suala ni maamuzi yenye utata dhidi pinzani na si kupewa penalty nyingiMsimu uliopita Simba ndio timu iliyoongoza kwa kupewa penati nyingi
Yanga ni lidude likubwa na inajibeba kutokana na quality yake, mbumbumbu msijifiche kwenye vichaka vidogo vidogo ambavyo avina maana, kama mnakimbilia VAR basi Simba angetandikwa chuma 4 siku Ile ivyo waamuzi hao hao waliwaokoa kuepuka kipigo kingine!VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Yaorodheshe hayo maamuzi yenye utata ni yapi? Vipi kule klabu bingwa na CAF Confederation cup?Suala ni maamuzi yenye utata dhidi pinzani na si kupewa penalty nyingi
Wakati mwingine mi mtu ya hovyo usiijibu. Jikalie kimya tu.Kwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
Simba walipewa Magoli mengi ya offside na wapinzani wao kunyimwa magoli, hii VAR itaishusha Simba hadi nafasi ya nneMsimu uliopita Simba ndio timu iliyoongoza kwa kupewa penati nyingi
Hii jeiefu !!VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
PointKwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
Kujizima dataWatu wajinga kama hawa achana nao, msimu jana wao ndio waliopewa penalti nying za mchongo, Gamond hadi alipewa onyo kisa kuzinguana na waamuzi wabovu. Ila kwa kuwa hawa wameamuwa kuwa wapumbavu twende nao hivyo hivyo.
Wao wakifungwa wanawasema wachezaji wao wameuza mechi. Hata hilo suala la point tukiwapita hawatakosa sababu