Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Mrudishieni Manara nafasi yake. Vinginevyo atawahujumu Tu😁YANGA BINGWA
Usiwashitue...wajekushituka tayari Yanga bingwaKwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
Mmepata muunganiko tupashe hata mechi ya kirafiki?Yanga leo nimeichek duh pale hamna timu
Muunganiko nini?endeleee kujifariji na hizo kauli...tar.19 0ct tunawatoboa kila mahaliMmepata muunganiko tupashe hata mechi ya kirafiki?