Ukweli usemwa Maamuzi yenye utata ndio yaliyoirudisha kwenye reli Yanga .

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
 
VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Kwa hoja yako hiyo unamanisha hayo makosa ya kibinadamu unayoyasema ndo yamembeba yanga mpaka kupata point 32 kutoka point 0.5 kwenye rank za CAF makosa hayo hayo ndo yamembeba kupanda nafasi kutoka nafasi ya 78 msimu wa 2020/2021 mpaka nafasi ya 13 msimu wa 2023/2024 ifike hatua tukubali kwa sasa Yanga ni club bora sana ya mpira wa ukanda wetu
 
Watu wajinga kama hawa achana nao, msimu jana wao ndio waliopewa penalti nying za mchongo, Gamond hadi alipewa onyo kisa kuzinguana na waamuzi wabovu. Ila kwa kuwa hawa wameamuwa kuwa wapumbavu twende nao hivyo hivyo.

Wao wakifungwa wanawasema wachezaji wao wameuza mechi. Hata hilo suala la point tukiwapita hawatakosa sababu
 
Juzi tu hapa ngao ya Jamii kama kungekuwa na VAR kuna mtu alikuwa anapewa nne na Yanga.

Wamesahau Saido asilimia 90 ya magoli yake yalikuwa penalty. Halafu ndiye aliyekuwa akiongoza kwa magoli kwenye timu yako.Tukitoa hizo penalty kuna uwezekano ungekuwa unacheza playoff msimu uliyopita ili usishuke daraja.
 
Goli moja linatosha kubadilisha form yako
 
VAR ni muhimu sana , ingekuwepo Yanga ingetumia nguvu sana kurudi kwenye form .
Yanga ni lidude likubwa na inajibeba kutokana na quality yake, mbumbumbu msijifiche kwenye vichaka vidogo vidogo ambavyo avina maana, kama mnakimbilia VAR basi Simba angetandikwa chuma 4 siku Ile ivyo waamuzi hao hao waliwaokoa kuepuka kipigo kingine!
 
Wakati mwingine mi mtu ya hovyo usiijibu. Jikalie kimya tu.
 
Mbumbumbu wakija kuzinduka kwenye kwenye umbumbumbu wao Yanga Bingwa mara 50
 
Msimu uliopita Simba ndio timu iliyoongoza kwa kupewa penati nyingi
Simba walipewa Magoli mengi ya offside na wapinzani wao kunyimwa magoli, hii VAR itaishusha Simba hadi nafasi ya nne
 
Point
 
Kujizima data
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…