Ukweli usemwe: Hayati Magufuli ndio alileta siasa za "Uchawa" kwa kupenda kusifiwa na kutotaka kukosolewa

Ukweli usemwe: Hayati Magufuli ndio alileta siasa za "Uchawa" kwa kupenda kusifiwa na kutotaka kukosolewa

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
 
Magufuli alikua anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
Waliolisi wamezidi kiwango hatari sana
 
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
Sasa ukimlaumu mpiganaji Magufuli itakusaidia nini?,tuangalie tunatatua vipi mambo yaliyopo kwa wakat husika,achana na mfu
 
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
Lakini alifanya mambo yaliyowafanya watanzania wenyewe wamsifie.
Hivi sasa hata wasanii wanapata shida kutunga nyimbo za kumsifia mama. sijui wanajistukia?
 
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
'Aliwashinda akiwa hai na sasa anaendele kuwashinda akiwa kaburini'.

Muda wa kujadili maendeleo ama figisu zinazofanywa na walio hai ni huu, fungua akili yako.

Kujadili nambo ya marehemu asiyeweza kujitetea ni unyonge wa kiafrika wa kuabudu sanamu.

Kama alipenda sifa na mengine uliyoyasema na sasa hayupo, sisi linatuhusu nini jambo hilo kimaendeleo?
 
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
UPO SAHIHI NA SASA NI MWENDELEZO KWA KASI KUBWA NI HATARI KUWA NA VIONGOZI WAPENDA SIFA
 
Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.

Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".

Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.

Lawama zote kwa bwana yule.
Dhalim alikuwa mtu wa ovyo sana
 
'Aliwashinda akiwa hai na sasa anaendele kuwashinda akiwa kaburini'.

Muda wa kujadili maendeleo ama figisu zinazofanywa na walio hai ni huu, fungua akili yako.

Kujadili nambo ya marehemu asiyeweza kujitetea ni unyonge wa kiafrika wa kuabudu sanamu.

Kama alipenda sifa na mengine uliyoyasema na sasa hayupo, sisi linatuhusu nini jambo hilo kimaendeleo?
Lazima asemwe hili kosa kama hili la kuwa na kiongozi dizain yake lisije jirudia. Na ndiye mwasisi wa watu wasiyojulikana na mwisho tukawa na viongozi kama Bashite na Saambaya
 
Lakini alifanya mambo yaliyowafanya watanzania wenyewe wamsifie.
Hivi sasa hata wasanii wanapata shida kutunga nyimbo za kumsifia mama. sijui wanajistukia?
Siyo Watanzania,sema machawa. Hakuna mtu yeyote mwenye akili ambaye aliwahi kumsifia. Kama wabisha mtaje hata mmoja
 
Back
Top Bottom