WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Siasa za uchawa zilianza kipindi cha Kikwete,hapa Magufuri anaonewa.Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.
Mbona vitu vingi Tu vya JPM vimebadilishwa kwahiyo uchawa umeshindikinaWakutukana atukane ila huu ni ukweli
Jpm alikuwa dhalimu kwa watu dhalimu,na alikuwa mwema kwa watu wema,leo watu dhalimu na waovu kama wewe wana uhuru na wanafanya udhalimu wao kwa uhuru.Kwa kiwango kidogo,ila awamu ya 5 ndio uchawa ulipata kibali rasmi kwa mpenda sifa. Na Sasa Samia ameamua kufuata approach ile ile japo yeye sio dhalimu kama bwana yule.
Unaumwa wewe, kabla hata magufuli hajawa rais kinyang'anyiro cha kupata ugombea kwa ccm kuna aliyekuwa na machawa kumzidi lowasa? Wale friends of lowasa.Hayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.
Ni kweli,jpm alikuwa ni mtu wa hovyo kwa watu wa hovyo kama wewe,na alikuwa dhalimu kwa watu dhalimu kama wewe,na alikuwa mwema kwa watu wema.Dhalim alikuwa mtu wa ovyo sana
Huna akiliNi kweli,jpm alikuwa ni mtu wa hovyo kwa watu wa hovyo kama wewe,na alikuwa dhalimu kwa watu dhalimu kama wewe,na alikuwa mwema kwa watu wema.
Na matusi yote na kuteswa watu ilianzia awamu ya 4 !CHAWA walianza awamu ya 4 🐼
Hakika Magufuli anaishi wakati amekwisha kufa. Kikwete amekwisha kufa, ingawa bado anaishi. Nyuzi za JPM ni kila siku. JPM ndiye raisi bora kabisa kutokea Tanzania.Siasa za uchawa zilianza kipindi cha Kikwete,hapa Magufuri anaonewa.
Kwa upande wako, mtu mwenye akili yuko vipi labda???Siyo Watanzania,sema machawa. Hakuna mtu yeyote mwenye akili ambaye aliwahi kumsifia. Kama wabisha mtaje hata mmoja
Hakuwa mwema, Bali alikuwa anajifanya mwema kwa watu waliomsujudia. Mtu yoyote alipaswa kushughuliwa na Sheria, sio kwa ulevi wa madaraka. Na kwa kukusaidia tu, ingekuwa nchi yetu Sheria zinafuatwa itakiwavyo, yeye pia alikuwa ni muhalifu.Jpm alikuwa dhalimu kwa watu dhalimu,na alikuwa mwema kwa watu wema,leo watu dhalimu na waovu kama wewe wana uhuru na wanafanya udhalimu wao kwa uhuru.
Huyo mwamba mtamtaja kwa vinywa vyemu mpaka yesu atakaprudi, shenz kabisaHayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.
Muasisi wa uchawa ni Hayati Lyatonga kwa upande wa upinzani na Hamis Mgenja huko CCMCHAWA walianza awamu ya 4 🐼
So what!!! Mpuuzi mmoja weweHayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.
[emoji23] [emoji23] Magufuli alikubutua akiwa hai na sasa anakubutua akiwa mfu!Una maana na wewe ni mradi wake maana wewe pia ni chawa wake. Sasa hivi huna pa kushika baada ya mungu wenu kufa
Mange anawageuza CHAWA anavyotaka badala ya kupambana na Mange wewe unaanzisha ligi na marehemu. PatheticHayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.