Ukweli usemwe: Hayati Magufuli ndio alileta siasa za "Uchawa" kwa kupenda kusifiwa na kutotaka kukosolewa

Duu bado unapambana na Marehemu aisee , ???
 
Una tatizo la akiiwewe. Sasa unapotuambia sisi itasaidia nini? Kwanini usingesema kabla hajaaga.. dunia?
 
Hongera kwa kuelewa kuwa ccm ndio yenye mamlaka ya nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…