Kuna mambo yanastaajabisha sana! Yaani udhaifu wa Yanga, eti unawaumiza mashabiki wa simba, ambao msimu mzima timu yao imetoka mikono mitupu!USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Mbona kashindwa kuanyakua kombe lolote kubwa ndani ya misimu miwili kea mashinadano aliyoshiriki ? Ingekuwa mashabiki wanojielewa hii Ingekuwa alama kubwa kuwa timu yao ni mbovu na inahitaji mabairesho kuliko kufocous na mpinzani.Kwa mpira ule wa jana kweli Yanga ni mbovu na USMA nao ni wachovu. Simba angecheza na hivi vibonde Yanga n.k angekuwa anatandika goli 8 kila siku.
Mada ni kumfunga huyo kibonde mwarabu au kubeba kombe mbona hueleweki?Aliyeshinda kabeba kombe
Yanga tupo na furaha... Makolo ndio mpo na makasiriko na ndio maana mada zote mnaazisha ninyi kuwananga wananchi... sisi tupo tunaangalia na kuwacheka hihihiiiiiWana hasira mkuu angalia watakupiga vichwa
Na kwenye fa ya TZ ambayo Yanga anacheza fainali na azam iliyokukanda kule mtwara nako timu zote zilikua mbovu hadi mkaishia kufungwa na lamba lamba?Kwa mpira ule wa jana kweli Yanga ni mbovu na USMA nao ni wachovu. Simba angecheza na hivi vibonde Yanga n.k angekuwa anatandika goli 8 kila siku.
kwa hiyo timu zote Africa ni mbovu? Acha wivu wa kike kijanaUSMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Bingwa wenu misimu miwili mfululizo,kafika final mashindano ambayo mlikoka moto uwanjani ili mshindeKuna moder anafuta nyuzi zetu tukiizungumzia yanga Kama ni mbovu ashindwe yanga ni mbovu kweli
Ni dhaifu ndiyo maana tuliwakanda mara ya mwisho tulipokutanaKama Yanga ni dhaifu sana, Simba ataitwaje? Si angalau ungechukua hata ubingwa wa Bara?
Hata kwenye ligi pia kakutana na timu mbovu?USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Hawawezi kukubali,hawa wangeingia FEDERATION ya msimu wa 2021-2022 wange imba ki handzabe.USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519