Ukweli usemwe hii yanga ni dhaifu sana, imekutana na vibonde tupu

Ukweli usemwe hii yanga ni dhaifu sana, imekutana na vibonde tupu

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.

Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]

FB_IMG_1685861566029.jpg
 
USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu

Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]

View attachment 2645519
Utopolo 'wangebeba' hili kombe la CAFCC, hii mada ungeanzisha kweli ?....
 
USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu

Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]

View attachment 2645519
Umewahi kuliwa tunda kimasikhara?
 
Ilifika hatua wakaanza kukwepa kuita kombe la CAFCC wakaanza kuita Mashindano ya CAF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasa yule kalikonji aliyetoaga ufafanuzi murua kabisa wa hili kombe nae akajifyatua akili ghafla bin vuuuuuuh
 
Back
Top Bottom