Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sevila nae kamfunga kibonde,Man U ni timu ya wanariadha waliojiingiza kwenye soka wanarukaruka tu uwanjani.
Simba alimtandika yanga mbili bila majibuKama Yanga ni dhaifu sana, Simba ataitwaje? Si angalau ungechukua hata ubingwa wa Bara?
Utopolo 'wangebeba' hili kombe la CAFCC, hii mada ungeanzisha kweli ?....USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Umewahi kuliwa tunda kimasikhara?USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasa yule kalikonji aliyetoaga ufafanuzi murua kabisa wa hili kombe nae akajifyatua akili ghafla bin vuuuuuuhIlifika hatua wakaanza kukwepa kuita kombe la CAFCC wakaanza kuita Mashindano ya CAF