Ukweli usemwe; Mgao wa Umeme na Maji: Pengo la Upinzani bungeni laonekana

Ukweli usemwe; Mgao wa Umeme na Maji: Pengo la Upinzani bungeni laonekana

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nchi iko gizani, hakuna maji na mbaya zaidi hata mikoa ambayo inazalisha umeme jenereta na wenyewe kuna mgao!

Mafuta tuliambiwa last week kuwa reserve iliyopo ni ya kutufikisha siku 14 tu. Raha sana. Leo huenda zimebaki siku nane tuingie kwenye mgao wa mafuta.

Nionavyo, Wabunge wa Upinzani, specifically CHADEMA wangekuepo Bungeni leo hii, tungesikia mashinikizo mbalimbali yenye tija ili kuwasaidia wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, walioko bungeni wana ajenda mbili tu Moja, kusifia hata pasipostahili kusifia. Pili, kujiandaa kushinda uchaguzi, akili zao zimeishia hapo. Wakiwaza saaaana basi wanawaza kuhusu namna ya kujiongezea posho na kujiondolea kodi.

Utadhani hakuna bunge!
 
Miaka 60 ya uhuru kuna mgao wa maji na umeme inasikitisha sna ccm janga la kitaifa watz tusipoindosha tutakuwa masikini mpk mwisho wa dunia katiba mpya ni muhimu sana
Kimsingi CCM wala haipo ila kuna state apparatus inayo-operate under the cover of CCM. Maafsa wa Polisi, Mahakama, TISS etc kugombea Ubunge tafsiri yake nini? Ni kwamba walikua proccm
 
Hakuna bunge pale ni wodi ya vichaa mirembe,hujamsikia jobu akisema anafile mirembe
Hakika

IMG-20211115-WA0037.jpg
 
Nchi iko gizani, hakuna maji na mbaya zaidi hata mikoa ambayo inazalisha umeme jenereta na wenyewe kuna mgao!

Mafuta tuliambiwa last week kuwa reserve iliyopo ni ya kutufikisha siku 14 tu....Raha sana. Leo huenda zimebaki siku nane tuingie kwenye mgao wa mafuta.

Nionavyo, Wabunge wa Upinzani, specifically CHADEMA wangekuepo Bungeni leo hii, tungesikia mashinikizo mbalimbali yenye tija ili kuwasaidia wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, walioko bungeni wana ajenda mbili tu Moja, kusifia hata pasipostahili kusifia. Pili, kujiandaa kushinda uchaguzi.....akili zao zimeishia hapo. Wakiwaza saaaana basi wanawaza kuhusu namna ya kujiongezea posho na kujiondolea kodi.

Utadhani hakuna bunge....
SHIDA SANA INAMAANA WAPINZANI NDIYO WALIKUWA WANAZALISHA UMEME? MTUMIEGE AKILI WAKATI MWINGINE
 
Nchi iko gizani, hakuna maji na mbaya zaidi hata mikoa ambayo inazalisha umeme jenereta na wenyewe kuna mgao!

Mafuta tuliambiwa last week kuwa reserve iliyopo ni ya kutufikisha siku 14 tu. Raha sana. Leo huenda zimebaki siku nane tuingie kwenye mgao wa mafuta.

Nionavyo, Wabunge wa Upinzani, specifically CHADEMA wangekuepo Bungeni leo hii, tungesikia mashinikizo mbalimbali yenye tija ili kuwasaidia wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, walioko bungeni wana ajenda mbili tu Moja, kusifia hata pasipostahili kusifia. Pili, kujiandaa kushinda uchaguzi, akili zao zimeishia hapo. Wakiwaza saaaana basi wanawaza kuhusu namna ya kujiongezea posho na kujiondolea kodi.

Utadhani hakuna bunge!
Umesahau na kujipendekeza.
 
Nchi iko gizani, hakuna maji na mbaya zaidi hata mikoa ambayo inazalisha umeme jenereta na wenyewe kuna mgao!

Mafuta tuliambiwa last week kuwa reserve iliyopo ni ya kutufikisha siku 14 tu. Raha sana. Leo huenda zimebaki siku nane tuingie kwenye mgao wa mafuta.

Nionavyo, Wabunge wa Upinzani, specifically CHADEMA wangekuepo Bungeni leo hii, tungesikia mashinikizo mbalimbali yenye tija ili kuwasaidia wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, walioko bungeni wana ajenda mbili tu Moja, kusifia hata pasipostahili kusifia. Pili, kujiandaa kushinda uchaguzi, akili zao zimeishia hapo. Wakiwaza saaaana basi wanawaza kuhusu namna ya kujiongezea posho na kujiondolea kodi.

Utadhani hakuna bunge!
Enzi za Akina Munyika sasa hivi kungekuwa na Hoja ya dharura ambayo ingemjambisha waziri Mkuu na kutoa kauli ya serikali. Maji na Umeme yangepatikana ndani ta siku tatu tu.

Tumewamisi miamba wazalendo wa kweli.
 
Back
Top Bottom