Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana utani na watu wa pwani sitakagi kabisa anaweza kuwa hajakutukana ila unajikuta umekasirika 😄🤣🤣🤣Da Fau......anamaanisha 'dada Faustina.
OvaMpumbavu pekee anaetegemea kukutana na habari za kiuchumi kwenye jukwaa la celebrities. Kuna jukwaaa la biashara na uchumi.
Pwani Kuna Mambo🤣Ndio maana utani na watu wa pwani sitakagi kabisa anaweza kuwa hajakutukana ila unajikuta umekasirika 😄
Mtu hajakutukana lakn unashangaa unataka kurusha ngumi 😄 mtu anajulikana kama nandy alafu unaanza kumuita da fau 😆Pwani Kuna Mambo🤣
Ngoja nikwambie HV unajua kws nn video ya wimbo wa Mandy na koffi hapo had Leoni vipande Tu...kuna mengisana Nandy anafanyiwa bass Tu huwa anamezea na wanaomfanyia ni hao unaowasifia akitangaza show watu hao wanaenda kuziba mbele wanaroho mbaya Sana anawaumiza kichwasana sikumoja akiyasema yote hapatakalika nakwambia hao wanataka KiLa mtu aingie kwako awe , mason's ujinga mtupu nschukia Sana watu wanaokwamisha maendeleo ya wengineView attachment 2602021
Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.
Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.
Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.
Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.
Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.
Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.
Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Ka rare,[emoji12][emoji12][emoji12]Ndio maana utani na watu wa pwani sitakagi kabisa anaweza kuwa hajakutukana ila unajikuta umekasirika [emoji1]
Mtoto wa pwani nini na wewe ila dada zao nawakubali sana very humble u know 😄
Ndo hivyo, Kama ye na bwana wake RP luge walivyofanya mipango ya kumshusha Ruby, Mambo yamerudi kwake.View attachment 2602021
Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.
Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.
Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.
Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.
Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.
Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.
Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Km miye tu hapaaa[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji124][emoji1]Mtoto wa pwani nini na wewe ila dada zao nawakubali sana very humble u know [emoji1]
Woooow 😋😘 jina nani sasa unaitwa maua tausi au zabibu 😄Km miye tu hapaaa[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji124][emoji1]
Nyuma ya Mandy kuna clouds kwa namna hiyo inaonesha kwamba Wasafi Wana nguvu kubwa kuliko cloudsZuchu anabebwa na lebo yake while nandy ni jeshi la mtu mmoja
Nyie wanawake hampendani. Hao wote utakuta unakaa kusuka nao huku mkigombana.Zuchu ni very bright anatumia hekma kuishi na mtu aliye confused. Ila Nandy ni nyoka anamtafuta mwenzie wagombane.
Nandy si mtunzi, anatungiwa nyimbo na watu hivyo anaimba bila kuwa na hisia nazo japo anapretend. Zuchu anajitungia mwenyewe na she lives in her songs. Nandy lazima amuhofie Zuchu because hana uwezo wa kutunga mpaka apewe matapishi na wengine.View attachment 2602021
Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.
Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.
Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.
Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.
Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.
Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.
Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.