Ukweli usemwe: Siasa za huko ni ngumu Rostam, CRDB na Dangote walishindwa

Ukweli usemwe: Siasa za huko ni ngumu Rostam, CRDB na Dangote walishindwa

Watu wa hivi kuna namna ya kuishi nao. Zile product ambazo hawana hasa za kilimo tunazi process nakuwauzia badala ya law ambazo wanazi process na kunufaika mara 2.

Pia nasi tunaweza linda soko letu kijasusi kuzuia uwekezaji wao mkubwa wa makampuni nchini Tanzania hasa yale yanayotoa upinzani wa moja kwa moja kwa kampuni zetu. Angalia makampuni kama Mwananchi (media), KCB nk hz zingepewa ugumu kiasi kama wasipotoa wepesi kwa makampuni ya TZ
Nchi ya kijamaa hii,nani ana muda wa kunyanyua wafanyabiashara wa ndani?

Rais wa nchi anasema nataka matajiri waishi kama mashetani?Watu wa dizaini hio ndio uwaambie wanyanyue wazawa?
 
Nimekuwa nikisikiliza watu wengi wakitoa maoni yao kuhusu ile kauli ya Uhuru.

Wengi wanasema "afadhali Sasa nikafungue biashara yangu Kenya"

Unajiuliza biashara gani hiyo wewe kapuku unaenda kufungua huko? Huko siasa zao ni ngumu Sana utaweza kweli ikiwa ma-tycoon wa biashara walishindwa?

Wametokea watetezi wa kila aina kwenye hili suala, na wengine wameenda mbali na kuanza kuwatukana akina Rostam kwa kusema huko kufungua biashara ni ngumu Sana.

Wengine Mara watanzania mmezoea ujuaji Mara watanzania ni wavivu, sawa.

Lakini je Hadi Dangote nae ni mvivu? Mbona nae alitoa sababu kama za Rostam?

CRDB waliwahi kushindwa kufungua branch Nairobi sababu ni ubinafsi wa watu huko kwa kuona kuwa inaweza kufanya bank zao za kikenya kushindwa kufanya vizuri.

Pamoja na ugumu uliopo Rwanda Ila CRDB waliweza kufungua Branch, lakini Kenya walishindwa.

Mkenya yupo tayari mmarekani , mmarekani au muingereza au mzungu yoyote akafungue biashara kubwa kule kwao lakini sio mtanzania.

Chini nimeweka habari ya Dangote kushindwa kufungua biashara Kenya.


Kwa hiyo unataka Watanzania warudi Igunga na kuridhika?

Kweli wewe mtu wa mshahara.
 
Nimekuwa nikisikiliza watu wengi wakitoa maoni yao kuhusu ile kauli ya Uhuru.

Wengi wanasema "afadhali Sasa nikafungue biashara yangu Kenya"

Unajiuliza biashara gani hiyo wewe kapuku unaenda kufungua huko? Huko siasa zao ni ngumu Sana utaweza kweli ikiwa ma-tycoon wa biashara walishindwa?

Wametokea watetezi wa kila aina kwenye hili suala, na wengine wameenda mbali na kuanza kuwatukana akina Rostam kwa kusema huko kufungua biashara ni ngumu Sana.

Wengine Mara watanzania mmezoea ujuaji Mara watanzania ni wavivu, sawa.

Lakini je Hadi Dangote nae ni mvivu? Mbona nae alitoa sababu kama za Rostam?

CRDB waliwahi kushindwa kufungua branch Nairobi sababu ni ubinafsi wa watu huko kwa kuona kuwa inaweza kufanya bank zao za kikenya kushindwa kufanya vizuri.

Pamoja na ugumu uliopo Rwanda Ila CRDB waliweza kufungua Branch, lakini Kenya walishindwa.

Mkenya yupo tayari mmarekani , mmarekani au muingereza au mzungu yoyote akafungue biashara kubwa kule kwao lakini sio mtanzania.

Chini nimeweka habari ya Dangote kushindwa kufungua biashara Kenya.


Kuna wengine wako kama kasuku wakenya hata ukikaa nao ukiwanunulia kinywaji chako watakunywa ila chake huwezi kunywa kamwe ni wabinafsi wa hali ya juu sanasana wanavizia ardhi na fursa zilizoko Tanzania hivi nchi gani wanathubutu hadi kudanganya mlima kilimanjaro hupo nchini mwao ili wapate watalii
 
Rostam amepngea ukweli mtupu hakuna mtanzania ambaye ataweza wekeza kenya kirahisi!

Tanzania kuna mazingira rahisi sana ya kuwekeza sema watanzania kwakuwa hatutembei basi tunadhani kwetu ni pagumu sana...

Wakenya wanataka kufanya kazi nchini free ndio maana wanajidai kusema watanzania wasisumbuliwe hahaha

Hivi Rostam pamoja na kumuona Kenyatta bado alishindwa!

Kenyatta amethibitisha wazi kuwa mahindi yetu hayana sumukavu!
 
Hata kama kuna ugumu kufungua kampuni kule, bado tuna nafasi ya kufanya nao biashara na tukanufaika pia, maza kafungua nchi tumuunge mkono.

Nani aliifunga? Wao si ndio walianza? Mahindi yetu hayana sumukavu tena?
 
Hoja kwamba mazingira ta biashara kenya ni magumu,ndio watu wasijaribu kufanya biashara huko?
Kuhusu crdb walifungua tawi na lilikuwa linafanya kazi,kama walishindwa,tutafute sababu lakini msikataze nchi hizi 2 zisifanye biashara,uhutu kasema waziwazi kuwa sasa vikwazo hakuna,hebu tuwa positive tuacha uzamani
Azam juice ilipigwa vita kwa sasa haipo huko, waulize TBL wanajua figusi figusi za hao jamaa, TBL bia zake zilipigwa vita mbaya mno
 
Nani aliifunga? Wao si ndio walianza? Mahindi yetu hayana sumukavu tena?
Inatakiwa ujiulize kwanini alifunga na kwanini kafungua, kwa kukusaidia tu yote yale yalitokea kwa sababu marehemu dikiteta magufuli alikuwa mweupe ktk masuala ya diplomasia ya uchumi.
 
Nimekuwa nikisikiliza watu wengi wakitoa maoni yao kuhusu ile kauli ya Uhuru.

Wengi wanasema "afadhali Sasa nikafungue biashara yangu Kenya"

Unajiuliza biashara gani hiyo wewe kapuku unaenda kufungua huko? Huko siasa zao ni ngumu Sana utaweza kweli ikiwa ma-tycoon wa biashara walishindwa?

Wametokea watetezi wa kila aina kwenye hili suala, na wengine wameenda mbali na kuanza kuwatukana akina Rostam kwa kusema huko kufungua biashara ni ngumu Sana.

Wengine Mara watanzania mmezoea ujuaji Mara watanzania ni wavivu, sawa.

Lakini je Hadi Dangote nae ni mvivu? Mbona nae alitoa sababu kama za Rostam?

CRDB waliwahi kushindwa kufungua branch Nairobi sababu ni ubinafsi wa watu huko kwa kuona kuwa inaweza kufanya bank zao za kikenya kushindwa kufanya vizuri.

Pamoja na ugumu uliopo Rwanda Ila CRDB waliweza kufungua Branch, lakini Kenya walishindwa.

Mkenya yupo tayari mmarekani , mmarekani au muingereza au mzungu yoyote akafungue biashara kubwa kule kwao lakini sio mtanzania.

Chini nimeweka habari ya Dangote kushindwa kufungua biashara Kenya.


Hicho wanachofanya Wakenya huko kwao kwenye ushindani, ndio kinachofanywa na ccm hapa nchini kwenye siasa na unaona sawa. Kama unaona huku ni sawa, ni vyema ukae kwa kutulia kwenye hiyo tabia ya wakenya.
 
Back
Top Bottom