Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Mbona akili zako ni kama za kuku, tuhame nchi, kwani hii ni nchi yako?
hujui au! Nyie kila Rais kwenu hafai, mnataka muongozwe na malaika au??! Mama wa watu anajitaidi Sana kusimamia haki, lakini Bado kwenu nyie hafai,

Wapuuzi Sana nyie
 
hujui au! Nyie kila Rais kwenu hafai, mnataka muongozwe na malaika au??! Mama wa watu anajitaidi Sana kusimamia haki, lakini Bado kwenu nyie hafai,

Wapuuzi Sana nyie
Mkuu si tulikubaliana sasa hivi hamtatukana wakosoaji?
We unasema anajitahidi kusimamia haki, lakini kumbuka haki yako inapoishia ndio ya mwingine inapoanzia.
Hiyo haki unayosema anaisimamia hatujaiona, labda ya kumuweka mbowe jela miezi 8.

Yeye mwenyewe hajui anafanya nn, na hata CCM pia washajua mtu waliye nae uwezo wake upoje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwaiyo ulitaka watu wote milioni sitini wawe watumishi wa umma kilaza wewe!?
Tafsiri yake ni kuwa bado Kuna mamilioni ya watu hawapo vizuri, Sasa unataka nao wasifie hata Kama mambo yao yanaenda vibaya?
 
Hameni Nchi nyie wazee wakulamu kila awamu, mbuzi nyie
Mkuu hasira hizi zitazidi zaidi ya hapa mwisho upate Sonona.
Wapingaji na wakosoaji hawataisha na ndio kwanza wanaongezeka. Na nchi hatuhami maanaa hakuna mwenye hati miliki[emoji23]
 
Ndo huyo anawafaa, aliyepita mlilalamika pia.

Nini mnataka sasa?
Huyu na mtangulizi wake hakuna tofauti. Siku ya uchaguzi wote walikuwa wagombea kupitia ccm, kama ulitia tiki kwenye kiboksi Chao basi uliwachagua wote kuwa wanafaa kwa nafasi ya urais, akaanza Magufuli akaishia alipoishia akapokea mgombea mwenza waliyeshinda pamoja kwenye uchaguzi mkuu.
Kitupi kama ulichagua CCM basi ulimchagua Samia. Hakujiweka bali umemuweka. Kama alikuwa hafai Magufuli asingempendekeza awamu ya pili,kwani alikuwa na uwezo wa kumkataa!! Na ninyi wanaccm kama mlikuwa hampendi chaguo la Magufuli mngemkataa kwenye kura zenu, lakini walipata 100%. Ni chaguo halali la wanaccm,acheni kujiliza mmeyataka wenyewe.
 
Mkuu hasira hizi zitazidi zaidi ya hapa mwisho upate Sonona.
Wapingaji na wakosoaji hawataisha na ndio kwanza wanaongezeka. Na nchi hatuhami maanaa hakuna mwenye hati miliki[emoji23]
Sasa chama kimerudi kwa watoto wa mjini, yule mshamba wenu alitaka kutuharibia chama chetu, CCM ya kushindana kwa hoja imerudi, sio hile ya bwana yule ya kujibu hoja kwa risasi,,
 
hujui au! Nyie kila Rais kwenu hafai, mnataka muongozwe na malaika au??! Mama wa watu anajitaidi Sana kusimamia haki, lakini Bado kwenu nyie hafai,

Wapuuzi Sana nyie
Kwa hiyo wewe hapa unampigania mama?
Maza wako huyu akiharibu tusiseme? Tukisema unahimiza tuhame nchi?

Kuona kwako "kujitahidi kwake" ni wewe mwenye kipimo sahihi na wengine wafuate hicho cha kwako? Ndiyo maana nimekwambia una akili kama za kuku, ni kweli kabisa, kwa sababu ushahidi ni haya unayoandika humu.

Ndiyo, rais yeyote akiboronga ni lazima asemwe ameboronga. Huyu wa kwako hana uwezo kabisa wa uongozi wa nchi kama hii.
 
Huyu na mtangulizi wake hakuna tofauti. Siku ya uchaguzi wote walikuwa wagombea kupitia ccm, kama ulitia tiki kwenye kiboksi Chao basi uliwachagua wote kuwa wanafaa kwa nafasi ya urais, akaanza Magufuli akaishia alipoishia akapokea mgombea mwenza waliyeshinda pamoja kwenye uchaguzi mkuu.
Kitupi kama ulichagua CCM basi ulimchagua Samia. Hakujiweka bali umemuweka. Kama alikuwa hafai Magufuli asingempendekeza awamu ya pili,kwani alikuwa na uwezo wa kumkataa!! Na ninyi wanaccm kama mlikuwa hampendi chaguo la Magufuli mngemkataa kwenye kura zenu, lakini walipata 100%. Ni chaguo halali la wanaccm,acheni kujiliza mmeyataka wenyewe.
Magufuli ndiye aliyekuwa anaendesha nchi, mama samia alikuwa akitumwa kutekeleza.
Na hakuwa anasapoti sera za magufuli ndio maana mambo mengi ambayo magufuli aliyastopisha yeye kaja kuyarudisha..
Maza alikuwa mpinzani wa magu ni basi tu hakuwa na uwezo wa kufanya lolote.
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Nchi haina Rais angalia hata hotuba yake ya marais wa East African Countries kikao chao jana au juzi Samia katoa lihotuba hata facial engagement na audience zero kainama tu anasoma maandishi yaani aibu sana sana, ni utopolo hadi naichukia Tanzania. Ameshindwa hata kuandaa sentence 10, hata market potential ya region, road infrastructure networks, cohesiveness within the region, security threats, nchi hii imejaa wapumbavu mautopolo. Haya mandezi mbinguni yatatukoma. Bora tuwe hata na vita kuliko kuongozwa na mandezi wanaofanya wote tudhaurike.
 
Yani vita ya ukraine utafikili inapiganiwa dodoma tunavyopigwa za uso kila kukicha.
 
Raisi hapimwi kwa mafuta ya kura, usitusumbue tumia mafuta ya Mwamposa kupikia.
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Wewe ndio changamoto
 
Mfano huo wa "pembejeo, na ubora wa wa viutilifu", ni mfano mzuri sana, kwa maana unawagusa wananchi moja kwa moja.
Tunalia na ukosefu wa mafuta ya kula, kila mwaka. Ukisikiliza kelele zinazopigwa na viongozi wetu juu ya uwezekano wetu kujitosheleza na kuuza nje bidhaa hiyo, utadhani Tanzania tuna nema ya ajabu sana.

Leo hii rais anasimama mbele za wananchi anazungumzia uhaba wa bidhaa hiyo hiyo. Anatoa amri bidhaa hiyo iagizwe toka nje kwa bei yoyote ile..., halafu anaishia hapo!

Kwani alizeti, karanga, pamba ..., mazao haya yanahitaji muda mrefu kiasi gani kuweza kuyazalisha ya kutosha ili tupate mafuta ya kutosha? Kwa nini tumeshindwa kila mwaka kuwahudumia wakulima ili wazalishe mazao haya kwa wingi ili tuondokane na adha hii ya kila mwaka?

Rais kasema, viwanda vipo, lakini havizalishi mafuta! Anaamrisha mafuta yaagizwe..., anaishia hapo! Huu ndio uongozi? Kweli anao moyo wa kujali maslahi ya nchi hii?
Kinachoonekana hapa, rais anao watu wake walio mstarini tayari kuagiza mafuta. Hawa ndio anaowajali. Wakulima na hivyo viwanda vilivyopo yeye hana habari navyo kabisa!

Samia ataididmiza Tanzania. Anaua kabisa hata ule moyo wa kudhani tunaweza kufanya na kujitegemea katika mambo kadhaa. Kujitegemea na Kujitosheleza katika mambo tuliyo nayo uwezo ndiyo njia sahihi kabisa ya nchi yetu kuendelea. Hatuwezi kuwa nchi ya kutegemea wachuuzi ndio watuletee maendeleo.
Awamu hii haina watu wanaoumiza vichwa kupata solutions .

Wakipata changamoto kidogo tu wanatafuta suluhu ya muda mfupi ila tatizo linabakia pale pale.

Mfano mzuri ni mikopo.

Wakiishiwa kidogo tu wanakopa.
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.

Ni Uongozi ambao hauna wagalatia​

 
Ameumiza sana wananchi kupita kiasi
Mwendazake ambaye alidhibiti vizuri mfumko wa bei na kuwajali wananchi mlimlalamikia sana; sasa huyu kaingia ndani ya mwaka mmoja tu mnasema ameumiza wananchi kupita kiasi!
Chadema walituambia mama anaupiga mwingi, basi ngoja aupige.
 
Back
Top Bottom