Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Wala haihitaji akili nyingi kuona hili,timu inajituma uwanjani, unaona kabisa wana kiu na ushindi! Wachezaji kila mmoja kwa nafasi yake anatimiza majukumu yake.
Yanga sports club watachukua ubingwa mpaka wachoke wenyewe..kama timu nyingine hazitabadilika.Sio kama huku kwetu tumejaza "mafaza" watupu.
Ningeshauri TFF wangewatafutia yanga kombe zuri zaidi mapema maana wanastahili kilicho bora, Wanayanga vimbeni, mnastahili.
Yanga sports club watachukua ubingwa mpaka wachoke wenyewe..kama timu nyingine hazitabadilika.Sio kama huku kwetu tumejaza "mafaza" watupu.
Ningeshauri TFF wangewatafutia yanga kombe zuri zaidi mapema maana wanastahili kilicho bora, Wanayanga vimbeni, mnastahili.