Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Yule tajiri wao ameweka poll ya kuuliza kuwa wanahitaji kocha au laah. Yaan pale ndo nikajua kanjibahi ni muhuni tu katika uwekezaji wakeHakika
Yanga wanaupigwa Mwingi sana.
Ni kwamba wamesajiri vizuri.
Simba endeleeni kusajiri makocha badala ya wachezaji wazuri.
Kwani kuuliza kuna shida gani.Yule tajiri wao ameweka poll ya kuuliza kuwa wanahitaji kocha au laah. Yaan pale ndo nikajua kanjibahi ni muhuni tu katika uwekezaji wake
Kama kuuliza hakuna shida basi yeye akiulizwa zilipo Bill 20 hatoe majibuKwani kuuliza kuna shida gani.
Akili za kuvimbiwa pilau la chrismasMsema kweli ni mpenzi wa Mungu...Yanga wako vizuri sanq...ngoja kesho uone "mafaza" wakicheza..kwanza hawana haraka! Yaani ni ile mtu anasema " Cha kufia nini na mshahara wangu uko palepale"
Kazi kudharau matajiri ndio mnayojua,ww ujibiwe kuhusu bil 20 kama nani,alafu unavyoitaja utadhani 20 mzembe mmojaKama kuuliza hakuna shida basi yeye akiulizwa zilipo Bill 20 hatoe majibu
We ni litopolo likubwaYanga wanajua sana..haihitaji elimu kubwa mkuu..sisi makolo tusubiri baada ya misimu 3 hivi.
Mimi kama kolo nataka kujua bil 20 zilipokazi kudharau matajiri ndio mnayojua,ww ujibiwe kuhusu bil 20 kama nani,alafu unavyoitaja utadhani 20 mzembe mmoja
Kwani pesa za usajiri na ghalama za uendeshaji anatoa nani?Kama kuuliza hakuna shida basi yeye akiulizwa zilipo Bill 20 hatoe majibu
Wewe mara nyingi ulikuwa unalalamika yanga wanatumia bahasha. Leo kimekukuta nini?Hakika
Yanga wanaupigwa Mwingi sana.
Ni kwamba wamesajiri vizuri.
Simba endeleeni kusajiri makocha badala ya wachezaji wazuri.
Pesa ya wadhamini...inamana jezi imejaa makolokolo mabango yale ni bure tu?Kwani pesa za usajiri na ghalama za uendeshaji anatoa nani?
Eti eeh..Mabingwa wa kubebwa🐒🐒🐒
View attachment 2458310
Aisee nimecheka hatariKuna watu Simba wana akili sana mpka unapata kinyaa Kuwaita KOLO
🤣🤣Aisee nimecheka hatari