Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Ulivyoandika ni kama Simba wameshafuzu....ushabiki mbaya sana
Hilo kundi si lelemama. Lina mabingwa watupu wa Misri, Algeria, Tanzania na Ghana...hakuna mshindi wa pili hapo.
Kwa uchanga wako wa kufuatilia soka na ushabiki wako unaona kuwa mambo yameshaisha. Jua kuwa hapo hakuna mwenye uhakika wa kufuzu hadi sasa. Kama hujui kwenye jambo, vyema kukaa kimya.
Huyo Al Ahly ameshinda mechi moja tu na kutoa sare mbili. Amepoteza alama nne. Naye leo ametoa suluhu nyumbani.
Hilo kundi si lelemama. Lina mabingwa watupu wa Misri, Algeria, Tanzania na Ghana...hakuna mshindi wa pili hapo.
Kwa uchanga wako wa kufuatilia soka na ushabiki wako unaona kuwa mambo yameshaisha. Jua kuwa hapo hakuna mwenye uhakika wa kufuzu hadi sasa. Kama hujui kwenye jambo, vyema kukaa kimya.
Huyo Al Ahly ameshinda mechi moja tu na kutoa sare mbili. Amepoteza alama nne. Naye leo ametoa suluhu nyumbani.