Ukweli usemwe Yanga wamefika mwisho, ligi ya mabingwa sio lelemama

Ukweli usemwe Yanga wamefika mwisho, ligi ya mabingwa sio lelemama

Yanga ana mechi mbili nyumbani na ya mwisho ni ugenini akishinda zote mbili atakua kwenye hali nzuri kushinda gemu ugenini hizi za Champions League ni ngumu sana ingawaje pia ukikamiwa unapoteza points tatu muhimu nyumbani...hilo Kundi bado bichi ingawaje kwa wasioujua mpira wanadhani imekwisha jana Al Ahly katoa sare home anaenda ugenini wakitoa sare huko Yanga akishinda hapa kundi litakua gumu kwa Timu zote..ila akishinda Al Ahly hapo itakua anatafutwa mshindi wa pili kati ya CRB na Yanga na kama Yanga atamfunga Medeana kwa maana hiyo atakua kabakiza gemu mbili mbichi moja home na ingine away ya CRB...
Atamfunga nani hapa nyumbani?
 
Mnajifariji kwa matokeo ya Yanga,matokeo ya kesho siyajui ila nina uhakika baada ya mechi ya kesho misuso ya kutokwenda uwanjani itaendelea.
Najua mnataka Simba ifeli ili tufanane. Yanga Ni Mtoto Sana kwa haya mashindano. Klabu bingwa si lelemama.

Yanga imetumia miaka 26 kukusanya pointi 2,Simba imetumia wiki 2 na mechi 2 kupata points 2.

Yanga wao Ni kukimbia tu uwanjani ili kuonekana wanaupiga mwingi. Hanna mipango. Approach ya kucheza na Geita,Dodoma jiji Ndiyo Hiyo hiyo wanaitumia klabu bingwa.
 
Najua mnataka Simba ifeli ili tufanane. Yanga Ni Mtoto Sana kwa haya mashindano. Klabu bingwa si lelemama.

Yanga imetumia miaka 26 kukusanya pointi 2,Simba imetumia wiki 2 na mechi 2 kupata points 2.

Yanga wao Ni kukimbia tu uwanjani ili kuonekana wanaupiga mwingi. Hanna mipango. Approach ya kucheza na Grits Ndiyo Hiyo hiyo wanaitumia klabu bingwa.
Maneno meengiii

Shindeni leo au mdroo

Kinyume na hapo utafanana na Yanga
 
Gamondi alikuwa anasafiria upepo wa Yanga ya Nani na upepo umeisha.

Ila Yanga ajitahidi tu awe anashika nafasi ya Pili au ya 3 ktk ligi ili akacheze shirikisho. Huku Ndiyo saizi yao.

Yanga Ni wadogo Sana mwenye klabu bingwa.

Kazi kukimbia hovyo uwanjani bila mipango Eti Ndiyo kuupiga mwingi.

Gamond hamna kocha mle!
 
Gamondi alikuwa anasafiria upepo wa Yanga ya Nani na upepo umeisha.

Ila Yanga ajitahidi tu awe anashika nafasi ya Pili au ya 3 ktk ligi ili akacheze shirikisho. Huku Ndiyo saizi yao.

Yanga Ni wadogo Sana mwenye klabu bingwa.

Kazi kukimbia hovyo uwanjani bila mipango Eti Ndiyo kuupiga mwingi.

Gamond hamna kocha mle!
Aahaaaa
Shindeni nyie leo

Labda muambulie droo,kinyume na hapo mtakuwa sehemu moja na Yanga
 
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Kwani haya mashindano kwa Tanzania anashiriki Yanga peke yake? Kama mchaa mbuzi ulitakiwa pia kuichambua na simba ili tuone kama huna maslahi binafsi.
 
Najua mnataka Simba ifeli ili tufanane. Yanga Ni Mtoto Sana kwa haya mashindano. Klabu bingwa si lelemama.

Yanga imetumia miaka 26 kukusanya pointi 2,Simba imetumia wiki 2 na mechi 2 kupata points 2.

Yanga wao Ni kukimbia tu uwanjani ili kuonekana wanaupiga mwingi. Hanna mipango. Approach ya kucheza na Geita,Dodoma jiji Ndiyo Hiyo hiyo wanaitumia klabu bingwa.
Unaongea au unaongeleshwa? Unajua na unachokiongea wewe? YANGA ndani ya msimu mmoja kakusanya point 20 kwenye rank za caf, Simba pamoja na kuingia robo ndani ya misimu 5 kakusanya point 35, kwa maana iyo usipende kuropoka vitu ambavyo uvijui, Kama yanga kakusanya izo point ndani ya msimu mmoja vipi misimu 2 ijayo mtakuwa na Cha kuongea mbele ya yanga nyie? Kwa timu yenu iyo ya unga unga mwana!!!
 
Kwanini iwe droo peke yake? Unaomba iwe ivyo!
Siyo draw peke yake,kwani hiyo timu uliyocheza nayo kwanini ufungwe,we uwezo wao unauona hakuna mtu mwepezi kwenye hizo hatua,ukiotewa huna chako,, jana umewaona Medeama mpira ulikuwa 50/50 ,belouizdad ndo huyo kakupiga nyumbani kwake na draw na Al Ahly ugenini,pia una mechi na Al Ahly kwao, huwezi kusema lazima huyu apigwe nyumbani matokeo inakujaga tofauti hamna timu jepesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo draw peke yake,kwani hiyo timu uliyocheza nayo kwanini ufungwe,we uwezo wao unauona hakuna mtu mwepezi kwenye hizo hatua,ukiotewa huna chako,, jana umewaona Medeama mpira ulikuwa 50/50 ,belouizdad ndo huyo kakupiga nyumbani kwake na draw na Al Ahly ugenini,pia una mechi na Al Ahly kwao, huwezi kusema lazima huyu apigwe nyumbani matokeo inakujaga tofauti hamna timu jepesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema medeama alibebwa na refarii na sio uwezo, ungekuwa uwezo walikuwa wamechapika goli 2-1
 
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Utasema yoote mwaka huuuuu...furaha yenu ndip hiyo pekeeee
 
Najua mnataka Simba ifeli ili tufanane. Yanga Ni Mtoto Sana kwa haya mashindano. Klabu bingwa si lelemama.

Yanga imetumia miaka 26 kukusanya pointi 2,Simba imetumia wiki 2 na mechi 2 kupata points 2.

Yanga wao Ni kukimbia tu uwanjani ili kuonekana wanaupiga mwingi. Hanna mipango. Approach ya kucheza na Geita,Dodoma jiji Ndiyo Hiyo hiyo wanaitumia klabu bingwa.
Ila huyu 5imba mwenzio aliye leta huu uzi anataka Yanga ipite? Kweli nyani haoni kundule........ Mnajifanya watabiri kwa timu isiyo wahusu, sasa kama sio kujifariji ni nini.

Sawa mimi nimetumia misimu miwili,kufika fainal za CAF Confederation,ww umetumia misimu minne kuishia robo ya tatu championship na moja shirikisho ambayo ukafanya vitendo vya aibu mpaka ukachoma nyasi za watu South Africa.

Wewe mwenye approach nzuri ina nini cha maana,mpaka sasa?

We subiria zamu yako usiku muanze kelele zenu mara hamumtaki Mangungu, mara msuse kwenda uwanjani na timu lenu bovu linacheza kam lina lazimishwa.Mda si mrefu mtasema kocha hafai,maana mechi moja mliokula tano na kocha mmemuondoa........
 
Back
Top Bottom