Ukweli usemwe, Yanga wametuacha Mbali sana upande wa Jezi

Ukweli usemwe, Yanga wametuacha Mbali sana upande wa Jezi

Jesrey zenu nzuri ndio,ila swali ni je??????KUNA MASHINDANO YA JERSEY KWENYE SOKA??KAMA YAPO HONGERENI
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Sa sheria mgowi ni mfanyabiashara???fred ni bussines man lazima ajitangaze
 
Yaani umri huo unawaza jezi? Ingekuwa hivo polisi wa tz wasingevaa uniform zao mana ni mbaya sana. Jezi tunanunua sio sababu ya uzuri bali niuzalendo kuchangia timu. Kuna jezi mbaya kuliko zile za yanga za vinyago? Ni zilivalika sana tuu
 
Jersey zenye thamani duniani zinaonekana hivyo kutokana na ubora na mafanikio ya timu husika. Kuna jerseys nyingi tu duniani ziko very simple lakini zina thamani.

Italy ambapo madesigner wakubwa wa nguo duniani wanatokea, jezi zao za national team hazijawahi kubadilika sana na ziko simple mnoo. Real Madrid wanavaa all white, jezi hazina mbwembwe ila uwanjani mziki wao unajulikana. Liverpool, France....

Hivyo hivyo kwenye masuala ya Logo. Wanasema "simplicity is the ultimate sophistication".

Quality ya Vunja ni poor
 
Wakati nasubir jezi iliyobanduliwa mdhamini wa mchongo, nitakua navaa hii yenye nembo ya mabingwa wa Afrika.
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Hivi umekielewa ulichokiandika?
Vunja bei sio designer wa jezi kama ilivyo kwa Sheria Ngowi Vunja bei ni Kit Supplier wa Timu ya Simba kama ilivyo GSM kwa yanga
Ngowi hana mkataba wowote na Yanga ni designer wa GSM sports na hata Vunja bei lazima ana watu wake wanamsaidia kudesign ila hajaamua kuwaweka wazi kama GSM walivyofanya kwa Ngowi
 
Hivi Uongozi wa Simba kwanini usitoe masharti kwa Vunja bei yenye kumfanya atengeneze jezi zenye viwango vyao klabu kama Simba? Yaani kitendo cha kumpa mkataba ambao haumbani ndio kinachofanya tuletewe haya madekio ambayo hata sokoni yataenda kudoda.

Jezi hazina ubunifu wowote, jezi hazina ubora wowote yaani ni Bora liende tu. Kwa kuwa mtani kazindua jezi eti nayeye vunja bei ili asionekane yupo nyuma nayeye kaleta matambala yake sokoni..

Kiufupi vunjabei anapaswa ajitafakali maana jezi za hii miaka miwili ya udhamini wake ni takataka sana[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]View attachment 2509772
Duuuh sio Kwa jersey hio
 
Nilishawahi kulisema ilo suala, vunjabei asilazimishe kufanya kila kitu yeye mwenyewe atafute designer mzuri amtengenezee jezi yeye abaki kusimamia masuala ya mauzo na masoko tu. Jezi za simba hazina ubunifu kabisa. Bahati mbaya sana mashabiki wa simba walinishambulia
 
Simba na nyie tangu lini mjinga akajua mavazi, si Bora mmgeenda kwa Martin kadinda nyie mnamkimbilia mjinga ona sasa ashawapiga
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Huna akili wewe, Sheria ngowi ni designer tu, mkataba wa kuzalisha ni wa GSM au hujaona Lebo za GSM kwenye jezi? Vunja bei ni sawa na GSM kwenye masuala ya jezi
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
kweli utopolo mwenye akili ni baba ake manara na kikwete tu sasa Vunja bei ndo main kit sponsor anatoa bilion moja kwa msimu na ndo mtengenezaji je sio haki kujitangaxa sheria ngowi ni mfanyakazi wa gsm sasa yeye sheria ngowi anaipa yanga kiasi gani?
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Akili mufilisi kabisa. Sheria ngowi ni designer tu wala sio manufacturer na msambazaji wa jezi. Vunja bei ni kama adidas au umbro nk ambao wanadesign, kutengeneza na kusambaza jezi za timu na huwa wanaweka chapa zao, ni kawaida.
 
Huna akili wewe, Sheria ngowi ni designer tu, mkataba wa kuzalisha ni wa GSM au hujaona Lebo za GSM kwenye jezi? Vunja bei ni sawa na GSM kwenye masuala ya jezi
na alivo mjinga anaandika kabisa kwa herufi kubwa kweli wenye akili utopolo watu wawili tu kikwete na baba ake manara.
 
Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.

Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!

Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Kwani Sheria Ngowi Yanga ana nafasi kama Vunja bei Simba?

Kwamba Sheria awe amepewa tenda ya kutengeneza na kusambaza kama ilivyo Vunja bei?
 
Huu Uzi kuna watu wanasonya na kutema mate kama Wana mimba changa.. eti Kalpana unazungumziaje hili suala?
Hahaaa sasa wanasonyaje jamani..kwani Jezi za Simba wanataka ziweje? Mm naona zina shine tuu kawaida...mimi nina penda jezi nyeupe hazina mbwembwe nyingi...
 
Back
Top Bottom