Daniel Mwinula
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 302
- 328
Jamaa kaamua KUJIWEKA KIFUANI KWA JEZI YA SIMBA…!!
Vb = Vunja bei
Kajamaa kajanja sana
Vb = Vunja bei
Kajamaa kajanja sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa sheria mgowi ni mfanyabiashara???fred ni bussines man lazima ajitangazeMtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Jersey zenye thamani duniani zinaonekana hivyo kutokana na ubora na mafanikio ya timu husika. Kuna jerseys nyingi tu duniani ziko very simple lakini zina thamani.
Italy ambapo madesigner wakubwa wa nguo duniani wanatokea, jezi zao za national team hazijawahi kubadilika sana na ziko simple mnoo. Real Madrid wanavaa all white, jezi hazina mbwembwe ila uwanjani mziki wao unajulikana. Liverpool, France....
Hivyo hivyo kwenye masuala ya Logo. Wanasema "simplicity is the ultimate sophistication".
Iyo itakuwa ni Afrika SanaWakati nasubir jezi iliyobanduliwa mdhamini wa mchongo, nitakua navaa hii yenye nembo ya mabingwa wa Afrika.
Hivi umekielewa ulichokiandika?Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Duuuh sio Kwa jersey hioHivi Uongozi wa Simba kwanini usitoe masharti kwa Vunja bei yenye kumfanya atengeneze jezi zenye viwango vyao klabu kama Simba? Yaani kitendo cha kumpa mkataba ambao haumbani ndio kinachofanya tuletewe haya madekio ambayo hata sokoni yataenda kudoda.
Jezi hazina ubunifu wowote, jezi hazina ubora wowote yaani ni Bora liende tu. Kwa kuwa mtani kazindua jezi eti nayeye vunja bei ili asionekane yupo nyuma nayeye kaleta matambala yake sokoni..
Kiufupi vunjabei anapaswa ajitafakali maana jezi za hii miaka miwili ya udhamini wake ni takataka sana[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]View attachment 2509772
Huna akili wewe, Sheria ngowi ni designer tu, mkataba wa kuzalisha ni wa GSM au hujaona Lebo za GSM kwenye jezi? Vunja bei ni sawa na GSM kwenye masuala ya jeziMtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
kweli utopolo mwenye akili ni baba ake manara na kikwete tu sasa Vunja bei ndo main kit sponsor anatoa bilion moja kwa msimu na ndo mtengenezaji je sio haki kujitangaxa sheria ngowi ni mfanyakazi wa gsm sasa yeye sheria ngowi anaipa yanga kiasi gani?Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Akili mufilisi kabisa. Sheria ngowi ni designer tu wala sio manufacturer na msambazaji wa jezi. Vunja bei ni kama adidas au umbro nk ambao wanadesign, kutengeneza na kusambaza jezi za timu na huwa wanaweka chapa zao, ni kawaida.Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
na alivo mjinga anaandika kabisa kwa herufi kubwa kweli wenye akili utopolo watu wawili tu kikwete na baba ake manara.Huna akili wewe, Sheria ngowi ni designer tu, mkataba wa kuzalisha ni wa GSM au hujaona Lebo za GSM kwenye jezi? Vunja bei ni sawa na GSM kwenye masuala ya jezi
Kwani Sheria Ngowi Yanga ana nafasi kama Vunja bei Simba?Mtani wetu kachemka kwenye jezi. Ila kwa kuwa anamwambia MTU WA NJE KWAMBA AJE A-VISIT TANZANIA, sio mbaya sana. Ila VUNJA BEI ANAWAZINGUA.
Na kwa kujua kwmba jamaa anawazingua, ni pale NAE ANAPOAMUA KUJITANGAZA KWENYE JEZI YA SIMBA…!!!
Sijaona SHERIA NGOWI AKIJITANGAZA KWENYE JEZI YA YANGA…!!! Amefanya kazi yake VIZURI na AMEACHA YANGA IMTANGAZE KWA KAZI YAKE NZURI…!!!
Hahaaa sasa wanasonyaje jamani..kwani Jezi za Simba wanataka ziweje? Mm naona zina shine tuu kawaida...mimi nina penda jezi nyeupe hazina mbwembwe nyingi...Huu Uzi kuna watu wanasonya na kutema mate kama Wana mimba changa.. eti Kalpana unazungumziaje hili suala?