Ukweli usiopingika: CHADEMA ndicho chama kinachozuia Upinzani kuingia Ikulu. Watanzania tujitathmini kabla ya 2025

Kwa sasa bado ni hitaji letu sisi wanachama wa chadema, msitupangie kabísa ... Siku ccm ikiondoka madarakani ndo cku na huku mbowe ataachia uenyekiti... Msitupangie na wala msitulazimishe
hitaji lako wewe
 
Well, hapa kiuhalisia mbowe ndio humtaki! Bas saw
 
wana mbinu nyingi sana
 
Nje ya chadema hakuna chama pinzani ...na hilo mnalijua
Kwani chamadema kinafanyaje kinachofanya uone kuwa ndio chama cha kweli cha upinzani?nakumbuka Lissu aliwahi kusema ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani ila baadaye ACT na Chadema wakajakuungana na kusimamisha mgombea mmoja.

Chadema ndio imekuwa hivyo miaka kusema vyama wenzie kuwa sio vyama vya upinzani na ni tokea zamani hiyo tabia.
 
Tanzania hakuna chama madhubuti cha upinzani cdm ni wapiga dili tu.
CCM wabaki tu madarakani muhimu wajisahihishe walipokosea.
 
Reactions: RNA
Mnaambiwa ukweli mnaanza kuleta mapenzi badala ya siasa ,mtakapotambua kuwa mbowe ni pandikizi ndipo mtakuwa mmejielewa
 
Reactions: RNA
Kuuumbeee!!!!!
 
Hatujawahi kuungana na Act
 
Watashindaje CDM na kuingia ikulu kwa katiba na Tume hii kweli, haiwezekani hata kwa mijeredi. Sawa na ngamia kuingia kwenye tundu la sindano.
 
Ngoja nisome comments

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…