Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
 
[@moderator nimeshindwa niweke wapi hii comment, unaweza unganisha na uzi wowote]

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
WEWE HUJALISHWA MATANGO PORI? KWANINI TUKUAMINI? ANGALAU ERICK ANAJULIKANA KWA HABARI ZA UCHUNGUZI...HE IS AN EXPERT JOURNALIST IN THAT FIELD... SASA WEWE NI NANI? WHAT IS YOUR FIELD OF SPECIAIZATION?
 
Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili.
uwe na akili za kufikiri mbali...unategemea mkewe akilazwa aonesha negative response kuanika ugomvi wao? janet ana wandani wake, aliwasimulia, nao wakasema kwa wandani wao_mlolongo huo mpaka ..............ikawa public....
 
Kwanini mpk aandike madhaifu yake,ukumbuke tayari huyu mtu ni marehemu,nini kiko nyuma yake,kuna kiongozi ambaye amepita hakuwa na mapungufu?tulisikia ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na hata Kikwete,sasa kwanini ya Magufuli ayavalie njuga mpaka aandike kitabu,kwahiyo na huyu tulie naye pia akipita ataandika kitabu.Hakuna binadamu asiye na mapungufu,mazuri yapo na mabaya yapo,atuache tujenge nchi asituletee chuki ili kutuharibia amani ya nchi yetu...
 
Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Kaanza siku nyingi kulisha watu tango pori!!! Mbona ni mtu wa teknolojia imekuwaje ameshindwa kuitambua nguvu na tishio la teknolojia kama ukiingia kwenye 18 za teknolojia hiyo? Inashangaza!!!
 
Unajua kabendera kwa ufupi kajichimbia shimo na kujifuta Tanganyika. Anadhani kama ilivyokuwa kwa utawala wa mwanzo wa Dkt Samia kudhani Dkt Magufuli anachukiwa ila baadaye kaja kujua wanaomchukia ni wale waovu ambao hata kura hawapigi wengine hawapo hata Tanzania. Kabendera kama anapitia hizi thread ajue kabisa amejiharibia sana akitaka ushahidi aje ajaribu kusimama kariakoo aseme kuhusu kitabu chake watamuua kwa kummwagia petroli afe na kitabu chake cha kijinga kitachomwa moto
 
WEWE HUJALISHWA MATANGO PORI? KWANINI UKUMINI? ANGALAU ERICK ANAJULIKNA KWA HABARI ZA UCHUNGUZI...HE IS AN EXPERT JOURNALIST IN THAT FIELD... SASA WEWE NI NAI? WHAT IS YOUR FIELD OF SPECIAIZATION?
Kimewashuka....punguza hasira si nzuri kwa Afya ya binadamu.
 
WEWE HUJALISHWA MATANGO PORI? KWANINI UKUMINI? ANGALAU ERICK ANAJULIKNA KWA HABARI ZA UCHUNGUZI...HE IS AN EXPERT JOURNALIST IN THAT FIELD... SASA WEWE NI NAI? WHAT IS YOUR FIELD OF SPECIAIZATION?
Uchunguzi gani wa kijinga namna hii wa kiongo ongo. Bahati yake mjinga huyu mbweha kabisa
 
[@moderator nimeshindwa niweke wapi hii comment, unaweza unganisha na uzi wowote]

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
"Ni mimi mama Janeth Magufuli"- hii ndio ingekuwa sentensi yako ya mwisho, vinginevyo wewe una tofauti ndogo sana na Erick Kabendera, walau yeye kawahoji wahusika wa mambo kama anavyoelezea hapa:
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=aetH-P76St_RjKhe
 
[@moderator nimeshindwa niweke wapi hii comment, unaweza unganisha na uzi wowote]

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Hili tulishalisahau sasa unalileta upyaaaa tuanze tena kulidadavua halafu utasema marehemu asisemwe vibaya wakati wewe mwenyewe umefukua hili kaburi. Wanasema dhalim alimbutua mabanzi ya kufa mtu huyu mama baada ya kung'ang'ania kwenda kumzika binamu yake jambo ambalo dhalim alilipinga. Hakua na jeraha lakini alipoteza fahamu baada ya kuanguka vibaya sakafuni wakati akijaribu kukwepa mabanzi. Haya kwaheri.
 
Mimi ningedhani kwa kukanusha kwako basi ungeandika ukweli hapa ni ugonjwa gani ulimsumbua mama yetu hadi alazwe hospital. Lakini naona porojo ju za kuzunguka mlima kisha unarejea palepale
Huyu kaja kijanja ili kuzidi kujazia kitabu cha Erick Kabendera.
 
[@moderator nimeshindwa niweke wapi hii comment, unaweza unganisha na uzi wowote]

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Wewe ni kichaa
 
Back
Top Bottom