Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Hakika kabisa! mfumo wa majina pia unaathari kwa namna moja au nyingine na ndio maana kupitia majina wanaweza jua dini zao zinanguvu kiasi gani.

Siku hizi kuna kubadili majina ya asili kwa mfano, wanaojifanya waisilamu wao kipindi cha jando jina wanabadili kama alipewa jina la kiafrika. Wakristo nao pia ili abatizwe basi lazima awe na jina la Asia. Hawajiulizi kunamahusiano gani kati ya jina na imani ya mtu ila wameziba masikio kwa imani potofu ya uisilamu au ukristo. Na tatitizo la sasa kwa nchi za Afrika ni dini na hawataweza badili mfumo wa elimu hadi pale mifumi ya dini za wazungu ambazo zinanufaika na mfumo wa elimu uliyopo, zitakapo futwa na kutokomezwa kabisa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Mfumo uliopo ni mfumo unaowajenga watanzania kuwa tegemezi kwa wazungu na kuendelea kutunyonya. Dini zilizopo zinapingana na mfumo wa uchumi wa Afrika na ndio chanzo kikuu cha kudorora. Ufisadi, Rushwa, Wizi wa mali za uma n. k zinafanyika kupitia migongo ya ibada
 
Hakika kabisa! mfumo wa majina pia unaathari kwa namna moja au nyingine na ndio maana kupitia majina wanaweza jua dini zao zinanguvu kiasi gani.

Siku hizi kuna kubadili majina ya asili kwa mfano, wanaojifanya waisilamu wao kipindi cha jando jina wanabadili kama alipewa jina la kiafrika. Wakristo nao pia ili abatizwe basi lazima awe na jina la Asia. Hawajiulizi kunamahusiano gani kati ya jina na imani ya mtu ila wameziba masikio kwa imani potofu ya uisilamu au ukristo. Na tatitizo la sasa kwa nchi za Afrika ni dini na hawataweza badili mfumo wa elimu hadi pale mifumi ya dini za wazungu ambazo zinanufaika na mfumo wa elimu uliyopo, zitakapo futwa na kutokomezwa kabisa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Mfumo uliopo ni mfumo unaowajenga watanzania kuwa tegemezi kwa wazungu na kuendelea kutunyonya. Dini zilizopo zinapingana na mfumo wa uchumi wa Afrika na ndio chanzo kikuu cha kudorora. Ufisadi, Rushwa, Wizi wa mali za uma n. k zinafanyika kupitia migongo ya ibada
 
Kurudisha dini zetu ni kazi ngumu ila inawezekana.
 
Ni vizuri tukawa wakweli. Siyo vema kusema na kufundisha opotofu. Ni dini gani ambayo unasema wafrika walikuwa nayo ambayo wazungu hawajawa nayo katika historia? Iseme hapa!
Mkuu
Mimi sifundishi upotofu kama unavyodai. Dini za wazungu na dini za waafrika zina utofauti mkuu. Hakuna sehemu ambayo nimesema kuhusu dini ambayo waafrika walikuwa nayo na wazungu hawakuwa nayo. Ebu pitia hapa chini ili uone habari za dini za kiafrika;

"Dini asilia za Kiafrika ni kati ya dini za jadi ambazo zinadumu hata leo, ingawa wafuasi wake wanapungua mwaka hadi mwaka kulingana na dini zilizotokea Mashariki ya Kati, hasa Ukristo na Uislamu, ambazo zinazidi kuenea barani Afrika.

Dini za Kiafrika zinafuata imani maalumu, sawa kabisa na hizo za nchi za ughaibuni ambazo zimeleta mfumo mpya wa kuabudu. Badala ya kuabudia mapangoni au misituni kama Waafrika walio wengi walivyofanya kwa karne nyingi, zimehimiza kujenga makanisa na misikiti kwa ajili ya kumwabudu Mungu kadiri ya ufunuo wake mwenyewe.

Madhehebu mengi ya Kikristo yamekuwa yakimuabudu Mungu kwa kushirikiana na wafu wanaoheshimiwa kama watakatifu, wakati Waafrika tangu zamani waliwaenzi wazee wao waliokufa na kuwaita mizimu. Waafrika hao tangu zamani waliwaheshimu wafu kwenye makaburi yao, lakini baadhi ya Wakristo waliwaheshimu wafu kanisani kwa sala zao pamoja na kusujudu pengine masalia au picha za hao wafu.

Katika Amri Kumi za Biblia, Waafrika kwa jumla walikuwa nazo hata kabla ya kuja kwa Wazungu: walijua kwamba imewapasa kuwaheshimu wazazi wao, kutoua, kutoiba wala kufanya kinyume na maagizo ya wazee wao.

Pamoja na hayo yote, bado baadhi ya makabila yanaendelea na mila zao za kuheshimu wafu ingawa dini zenye asili ya Mashariki ya Kati zinakataza namna hiyo"

Anyway sijajua unataka nikujibu nini, naomba utuwekee hiyo historia hapa tuipitie tafadhali.
 
sasa dunian kote history inaonyesha ni kwel yesu alikuwe[po...ebu jiulize kwann miaka inaadikwa bc ..before christ?????
 
Hivi kwa dunia ilipofika hapa kweli tunaweza kuanza kufuata imani za mababu walizokuwa wakizifuata enzi hizo? Kama sasa tu watu wanaacha kufuata hizi dini zilizopo ambazo zinaitwa za kuletewa je kipi cha kuwafanya wazigeukie hizo imani za mababu? Ni wazi lazima kuwe na sababu za msingi zenye kuwafanya watu waone imani hizo ndio zafaa kufuata na kuacha.

Leo watu wamefikia kushindanisha maelezo ya kisayansi na maelezo ya hizi dini za kuletewa,je imani za mababu(dini za afrika) zinaweza kuingia hapo? Maana mambo yanabadilika hoja za kwamba wazee waliomba mvua zikaja sidhani kama yana nafasi enzi hizi.
 
Wanaposena jongea meza ya bwana usiyemjua, wewe mwafrika jongea kwenye kilinge chako cha asili
 
Sisi wenye Afro-centric views tunapigwa vita sana na hawa hawa Waafrika wenzetu,yaani sisi Waafrika nikama tuna laana
Adui wa pili wa Afrika baada ya whites ni Waafrika wenyewe. Tambua hill nchi kama Algeria,misri,Angola etc ni sehemu ya whites.
 
Tata thank you so much kwa maelezo yako na unaweza ongeza nyama kwenye Uzi huu usisubiri kujibu tu. Nafikiri unavitu Vinci ambavyo watu wanatakiwa kujua.
 
Wazee kuomba mvua na kunyesha ni ushahidi kuwa mababu zetu walikuwa kwenye right truck.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…