Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Ufafanuzi : unapoenda kanisani unaambiwa jongea meza ya bwana (karibia meza ya bwana) altare ni meza ya bwana. Nauliza wewe mwafrika hukuwa na kilinge ?(sehemu ya kufanyia tambiko) Imarisha kilinge chako achana na utamaduni wa wazungu. Mf. Ukame umeingia, wewe ingia altareni kuomba mvua Nani niingie kwenye kilinge changu tuone nani zaidi. Mila zetu ni kila kitu sema tunazipuuza kwa uzuzu wetu.
 
Kuna vitu viwili kama sio vitatu vinavyoitafuna Africa mpaka Yesu anarudi.
1. Dini: sisi waafrika ndo tunaongoza kwa kufia Dino (die hards) na hii ni kuwa wabishi Wa kuelewa mambo hasa hasa historia za koo na mila zetu jwa undani. Mstari huo huo Wa Biblia alioutumia mkoloni kukufanyia wizi na dhuluma ndo tunautumia huo huo kwenye kuleta umoja ndani yetu. Watu wamekuwa Radicals mpaka tunawashinda waliotuletea dini.

2. Documentation: hii inajumuisha kila kitu kuanzia historia mpaka namna ya kufanya interaction na maandiko. Mzungu anaanza kuandika kutoka kushoto kwenda kulia. Mwarabu anatoka kulia kwenda kushoto.

Je ni kweli Africa hatukuwa na namna yetu ya kuweka maandishi? Ukihoji utaishia kupewa jina la mbumbumbu au mjinga. Documentation imeikandamiza sana Africa. Unataka kusema kuwa hakuna kitu kizuri ambacho Mwafrika amekifanya? Je kwanini baadhi ya Mashujaa Wa kiafrika hawaonekani kwenye historia?

Mungu ibariki Africa aisee maana tusiposhtuka utakuta hata maisha yetu ni maisha yao.
 
Ulivyotaja mwita.. Hapo mwita ana mtoto wa kike nataka kuja kumuoa[emoji3]
 
Ahsante kwa ufafanuzi wako nà sasa nimekupata. Kila kitu wanachofanya makanisani au misikitini kinaendana na Afrika ila kwa kuwa saizi sema wame centralize basi wanajiona wamefika. Mm sioni sababu ya kuendelea kukumbatia vya watu.
 

Mkuu hongera kwa kuweka mchango chanya na wenye manufaa kwa bara la Afrika na Afrika kwa ujumla. Dini za wazungu in uhuni na zinafundisha ushenzi mwingi sana Zamani kulikuwa na Madaraweshi ambao Afrika tu walijitokeza kwa wingi.

Usanii ule sijui umeishia wapi. Dini ya Afrika in tamu haziweki fedha mbele kama za mashariki ya kati aka Asia. Ila Afrika itafika simama kama bara huruu oneday hata na wajukuu wangu.
 
Kweli kabisa umefichwa
 
Hapo kabla sisi tulikuwa tunafikiri vipi na tulikuwa tunakulaje ?
Naomba unipe faida,maana nijuavyo mimi ni kuwa kurudi katika asili ni jambo rahisi sana.
Ukienda kuhiji Makka unasamehewa dhambi zako unakuwa kama mtoto , !! jamani huu siupuuzi yaani unafanywa mtalii wenyewe wanapiga pesa wewe unadanganywa kusamehewa dhambi ahahahah
 
Babu yangu alikuwa na uwezo wa kuamisha mvua kutoka shamba moja kwenda jingine , tumeacha mambo aya tumekosa faida kubwa
 
Kwani dini za waafrika kabla ya wageni zilikuwa katika misingi gani ?
Jambo linapokuwa gumu kama mvua aitaki kunyesha tunakwenda milimani au mapangoni au njia ya panda tunafanya ibada zetu zikiambatana na kuvunja nazi, kumwaga mtama na kuchinja mnyama , kabla amjafika nyumbani mvua inaporomoka watu wanavuna mpaka wanasaza sasa , toka imekuja miungu ya mashariki ya mbali hakuna chochote cha maana zaidi ya watu kujivika mabomu na kujilipua ili kutetea miungu hiyo isiyo na meno wala isiyo weza kujitetea kutoka huko mashariki ya mbali , miungu hii imeleta tabu ata hapo kwa majirani zetu Somalia tunajionea vurugu tupu
 
Ukienda kuhiji Makka unasamehewa dhambi zako unakuwa kama mtoto , !! jamani huu siupuuzi yaani unafanywa mtalii wenyewe wanapiga pesa wewe unadanganywa kusamehewa dhambi ahahahah
Hijja ipo hata utalii haujulikani. Ungekuwa mwenye kutumia akili vizuri usingeuliza ujinga huu.

Umuhimu wa hijja ameufundisha mtume amani ya Allah iwe juu yake,kwahiyo suala la utalii si katika hijja na fadhila zake ameueleza mtume na hadtihi ziko wazi.

Sasa ndio uniambie ya kuwa je kipindi cha mtume kilikuwa na utalii ?

Lakini pili,ni kuwa suala la hijja ni kwa mtu mwenye uwezo.
 

Hujajibu swali nimekwambia hivi misingi ya dini za mababu ilikuwa imejengeka katika nini ?

Usiniambie walivyokuwa wanafanya nataka uniambie misingi.
 
Mkuu tatizio ni mabadiliko na hizo imani za kiafrika zimeshindwa kuendana na mabadiliko,hata kama tusingeletewa dini ila kwa dunia ilipofika unafikiri waaafrika wangekuwa wanaenda mapangoni au kuomba mizimu? Hata hao wazungu na waarabu nao walikuwa na imani zao kabla ya hizi dini.
 
Babu yangu alikuwa na uwezo wa kuamisha mvua kutoka shamba moja kwenda jingine , tumeacha mambo aya tumekosa faida kubwa
Mkuu mababu wa aina hiyo wapo sana na sidhani kama inahusiana na masuala ya dini za kiafrika.
 
hapo kwenye swala la majina nimegombana sana na huyu mwanamke. nilivyomwambia mtoto wetu atakua na jina la kiafrika alivimba vibaya mno na aliniona kama m'babu, mshamba, wa kuja. niliskitika sana kwasababu sio kosa lake, amekua programmed tangu utotoni kuona cha mzungu ni cha maana kuliko cha muafrika.. tangu utotoni anaambiwa binadamu kutoka israeli ndio Mungu wake, unatarajia nini?

Mabadiliko ya hili swala inabidi yaanzie ngazi ya kitaifa halafu yatufikie sisi, bila ya hivyo hamna kitu hapa kitabadilika. lazma serikali itie mkono wake.
 
Hujajibu swali nimekwambia hivi misingi ya dini za mababu ilikuwa imejengeka katika nini ?

Usiniambie walivyokuwa wanafanya nataka uniambie misingi.
Matendo( kulingana na umri, jinsia na wakati husika ) na miiko yake ndio misingi ya dini za kiafrika , ndio maana nikakwambia wakati ambao hakuna mvua watu wanakwenda mlimani wanafanya tambiko wana mwaga damu mambo saaafi, mambo ya kuvaa mabomu na kupigana mapanga ni miungu wa huko mashariki ya mbali , wanaotegemea watu wauane ili wapate kutajwa
 
Ahahahaahah wenzako wana future plan unafikiri ni mambumbu kama wewe !! hivi unafikir walipokuwa wakitangaza imani yao duniani walijua watu kama wewe mtaingia mkenge na kuamini tena mtakuwa wengi sanaaa, hii ni heshima kwa nchi yao na Pesa mnawapelekea , ahahahaahah unafikir kila mtu anawaza leo tu ,Mohammed alikuwa mjanja sana alijua kuna vilaza wataingia mkenga nchi itapata pesa mingi badae, eti ukienda kuhiji unasamehe dhambi unakuwa kama mtoto huu ni mpango mkakati ili mkatalii kwao mpeleke pesa hizo, amka wewe ata hili mpaka upigwe viboko ndio uelewe !!
 
Kama sio imani hizi za ovyo walizoleta hawa watu weupe mapangoni tungeenda bila tabu maana ndicho ambacho kingekuwa fahari yetu , tumeshindwa kupenda na kukienzi chetu kwa tamaa ya vitu vidogo kama elimu n.k tumepotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…