MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Mifumo ya Tanzania kiukweli inasikitisha sana.
Masuala ya UTAPELI yamehalalishwa kabisa na watu wanaofanya UTAPELI wanafanya waziwazi bila kificho na hakuna anayewagusa.
Tanzania hata siku moja usikae ukafikiri labda ukiwa kama Raia wa kawaida serikaali itakulinda.
Suala la kujilinda ni jukumu lako binafsi.
UTAPELI unaoendelea kugeuka kuwa maisha ya kawaida.
=========
1- Biashara za upatu kama DECI, QNET, JATU, GNLD, KALYNDA.
- Biashara hizi zinapata vibali vyote mpaka kuzinduliwa na wanasiasa.
2- Biashara za michezo ya kubahataisha kama TATU MZUKA, MCHONGO PESA, CHOTA MIHELA.
- Hapa wanaohusika ni Media na mitandao ya mawasiliano. Tanzania kuibiwa na mitandao ya simu ni kitu cha kawaida tu na hakina msaada utapata.
Mitandao ya simu ni rahisi kukunganisha huduma kama MDUNDO, SMS na kuqnza kukata pesa bila idhini yako.
3- Herbalist UTAPELI ndio kazi yao. Kuambiwa utoe LAKI 3 upewe kidumu cha dawa ni kitu cha kawaida.
4- ARDHI.
- Huku KUMEOZA na KUNANUKA kabisa.
Masuala ya UTAPELI yamehalalishwa kabisa na watu wanaofanya UTAPELI wanafanya waziwazi bila kificho na hakuna anayewagusa.
Tanzania hata siku moja usikae ukafikiri labda ukiwa kama Raia wa kawaida serikaali itakulinda.
Suala la kujilinda ni jukumu lako binafsi.
UTAPELI unaoendelea kugeuka kuwa maisha ya kawaida.
=========
1- Biashara za upatu kama DECI, QNET, JATU, GNLD, KALYNDA.
- Biashara hizi zinapata vibali vyote mpaka kuzinduliwa na wanasiasa.
2- Biashara za michezo ya kubahataisha kama TATU MZUKA, MCHONGO PESA, CHOTA MIHELA.
- Hapa wanaohusika ni Media na mitandao ya mawasiliano. Tanzania kuibiwa na mitandao ya simu ni kitu cha kawaida tu na hakina msaada utapata.
Mitandao ya simu ni rahisi kukunganisha huduma kama MDUNDO, SMS na kuqnza kukata pesa bila idhini yako.
3- Herbalist UTAPELI ndio kazi yao. Kuambiwa utoe LAKI 3 upewe kidumu cha dawa ni kitu cha kawaida.
4- ARDHI.
- Huku KUMEOZA na KUNANUKA kabisa.