Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Si kweli, haikuwa 0-0 bali 3-3. Ukweli katika post yako ni Yanga kufungwa 6-0. Mwaka huo katika mechi sita, Yanga alifungwa jumla ya mabao 19Young Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 0-0(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana). Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3. Je Morocco watapigwa ngapi?
Ukaweka na msisitizo kabisa kuwa eti Najua hujawahi kuisikia hii, kumbe uongo mtupu! Rudi kwa aliyekusimulia umwambie asirudie kukuingiza chakaYoung Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 0-0(Najua hujawahi kuisikia hii) .
[emoji3][emoji3]Ukaweka na msisitizo kabisa kuwa eti Najua hujawahi kuisikia hii, kumbe uongo mtupu! Rudi kwa aliyekusimulia umwambie asirudie kukuingiza chaka
Zidisha mara 3*6, jibu ndo atakalochezea kichapo SimbaYoung Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 0-0(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana). Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3. Je Morocco watapigwa ngapi?
Wanatafuta madhaifu tuYoung Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 0-0(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana). Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3. Je Morocco watapigwa ngapi?
Mashabiki wa Yanga bhana! ππ πDhidisha mara 3*6, jibu ndo atakalochezea kichapo Simba
Ha haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa, kwa dobi.Waacheni wenzenu bado wanafuatilia jezi zao zilipo kwa dobi Ethiopia nasikia dobi mzigo ndio anaupiga pasi muda wowote utapatika Vunjabei.
Young Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 0-0(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana). Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3. Je Morocco watapigwa ngapi?
naiona kabisa 12 nungeYoung Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 3-3(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana).
Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3.
Je, Morocco watapigwa ngapi?
.Young Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 3-3(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana).
Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3.
Je, Morocco watapigwa ngapi?
Halafu yanga ikamaliza ya ngapi kwenye kundi?Young Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 3-3(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana).
Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3.
Je, Morocco watapigwa ngapi?