Ukweli usiosemwa: Yanga alitoka droo na raja hapa DSM mwaka 1998

Ukweli usiosemwa: Yanga alitoka droo na raja hapa DSM mwaka 1998

Young Africans ilicheza na Raja Casablanca jijini Dar es Salaam na kutoka suluhu ya 3-3(Najua hujawahi kuisikia hii) . Lakini Yanga ilipoenda Morocco ikapoteza kwa 6-0(hii ndiyo inatangazwa sana).

Kama Simba hapa Dar es Salaam tu wamepigwa 3.

Je, Morocco watapigwa ngapi?
Wazee wa historia, juzi tu hapa Al Hally vs sundown 2-5, soccer linamatokeo matatu,
Liverpool vs man u(?) Ni vitu vya kawaida sana. Sasa mpaka kaburi la 1998 unafukua??
 
Mbona nyinyi mnakolia simba kufungwa 5 na AS VITA NA AL AHLY lakini sisi kuwafunga wao kwa mkapa na kufuzu robo hamsemi?

ALIEWAITA MBWA NA MANYANI APEWE P.H.D YA HESHIMA.
Bora mbwa na nyani kuliko ninyi mnaoitwa MBUMBUMBU na MALAYA
 
Back
Top Bottom