Ukweli usiosemwa: Yanga alitoka droo na raja hapa DSM mwaka 1998

Wazee wa historia, juzi tu hapa Al Hally vs sundown 2-5, soccer linamatokeo matatu,
Liverpool vs man u(?) Ni vitu vya kawaida sana. Sasa mpaka kaburi la 1998 unafukua??
 
Mbona nyinyi mnakolia simba kufungwa 5 na AS VITA NA AL AHLY lakini sisi kuwafunga wao kwa mkapa na kufuzu robo hamsemi?

ALIEWAITA MBWA NA MANYANI APEWE P.H.D YA HESHIMA.
Bora mbwa na nyani kuliko ninyi mnaoitwa MBUMBUMBU na MALAYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…