Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

Japan rejected religion adapted Western technology. Africa rejected Western technology adapted religion. Matokeo yake ndo mazuzu Kama haya badala ya kukubali kijana anapiga hatua wanaaza malumbano ya kijinga.
 
Hivi Yesu ndo Jesus !?
Kwanini aitwe Jesus ?
Biblia ni kitabu cha nani ? (maana Yesu alpewa Injil na ndani ya Biblia haimo!)
Anzia hapo bwana eden kimario
 
Yesu alisulubiwa wakati issa alipaa,kweli ni watu wawili tofauti.Issa anaitwa Issa bin Mariam wakati Yesu anaitwa mwana wa joseph.
 
BADO NAIFUATILIA ASILI YA WAARABU NA WAISRAELI.KUNA JAMAA HAPA WANASEMA MITUME WALE WAISRAELI KUWA NI WAO WAKATI HUO HUO WAO WANAWAITA WAISRAEL MAKAFIRI....
Kuna mada nitaileta itawavunja vunja na kuwasambaratisha hao watu.STAY TUNED
Na waisraeli wanasema wakiristo ni makafiri wanamwabudu mwanaharamu Yesu !
 

Attachments

  • IMG-20171011-WA0007.jpg
    67.8 KB · Views: 27
Lete aya ya Biblia inayosema mbinguni hakuna kuoa !
 
Kwanza huu ni ufreemasons
Unamwakilisha shetani kwa kuwa shetani alihisi atammaliza Yesu kwa kumtundika msalabani kumbe hakujua Yesu anautumia msalaba kufikia lililonenwa na nabii atapata mateso mengi na kuuawa na siku ya tatu atafufuka
Umeyapata wapi haya !?
 
Yesu alisulubiwa wakati issa alipaa,kweli ni watu wawili tofauti.Issa anaitwa Issa bin Mariam wakati Yesu anaitwa mwana wa joseph.
Yesu alisulubiwa,akafa msalabani,akazikwa,akafufuka baada ya siku 2 kupita
Kisha akapaa mbinguni alikotoka mwanzo
 
Lete aya ya Biblia inayosema mbinguni hakuna kuoa !
Soma majibu ya Yesu mwenyewe
Nyinyi mmekosea kwa sababu hamuyajui maandiko matakatifu wala nguvu ya Mungu mkuu
Maana wafu watakapofufuka hawataoa, wala kuolewa bali watakuwa kama malaika mbinguni
Hapo Yesu alikuwa akiwajibu Waislamu na Mafarisayo wasioyajua maandiko wala nguvu ya Mungu Mathayo 22/29-33
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…