Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Kwahiyo Maria hakumzaa kwenye zizi la ng'ombe !?Yesu alisulubiwa,akafa msalabani,akazikwa,akafufuka baada ya siku 2 kupita
Kisha akapaa mbinguni alikotoka mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Maria hakumzaa kwenye zizi la ng'ombe !?Yesu alisulubiwa,akafa msalabani,akazikwa,akafufuka baada ya siku 2 kupita
Kisha akapaa mbinguni alikotoka mwanzo
Nani aliandika Bibilia?Ukoloni mambo leo!Soma majibu ya Yesu mwenyewe
Nyinyi mmekosea kwa sababu hamuyajui maandiko matakatifu wala nguvu ya Mungu mkuu
Maana wafu watakapofufuka hawataoa, wala kuolewa bali watakuwa kama malaika mbinguni
Hapo Yesu alikuwa akiwajibu Waislamu na Mafarisayo wasioyajua maandiko wala nguvu ya Mungu Mathayo 22/29-33
Haya ni maelezo yako au aya !? Ukiandika aya una 'quote' sio kutoa maoni.Soma majibu ya Yesu mwenyewe
Nyinyi mmekosea kwa sababu hamuyajui maandiko matakatifu wala nguvu ya Mungu mkuu
Maana wafu watakapofufuka hawataoa, wala kuolewa bali watakuwa kama malaika mbinguni
Hapo Yesu alikuwa akiwajibu Waislamu na Mafarisayo wasioyajua maandiko wala nguvu ya Mungu Mathayo 22/29-33
Wewe hata ukiristo wenyewe huujui, mbabaishaji tu !Yesu alisulubiwa,akafa msalabani,akazikwa,akafufuka baada ya siku 2 kupita
Kisha akapaa mbinguni alikotoka mwanzo
Umesema Yesu wa Waislaam ni Yasa, vipi kuhusu Jesus wa Wazungu ? Ndo kutoka nje ya mada !?Usitoke nnje ya mada hii ni mada nyingine
Hayo ni zamani za YesuHivi madhambi ufanye wewe then yesu akubebee hahahaaaa huu uokozi wa dhambi siufahamu kwa hawa jamaaa
Niambie unachojua maana hapa ni hoja kwa hoja sio keleleHuna ukijuacho kuhusu uislam tulia
Allah SWT ndo aliyesema 'na iwe, mara ikawa ! Na Maria akabeba mimba ya Yesu. Hebu tuambie alichoumba YesuSawa ni kweli Allah lina maana ya Mungu ila ni Mungu yupi sasa maana Allah huyu inaonekana hakuumba hata mbingu na ardhi na vyote vilivyomo
Maafa ya ilmu ni pamoja na kuizungumza ilmu yenyewe kwa wasiokuwa ahali wakeNiambie unachojua maana hapa ni hoja kwa hoja sio kelele
Hakuna kitu kinaitwa Ukristo bali wanaomfuata Yesu kristoWewe hata ukiristo wenyewe huujui, mbabaishaji tu !
Kuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!Uongo ukiachwa huonekana kuwa ni kweli
Kuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!Uongo ukiachwa huonekana kuwa ni kweli
Hakuna kitu kinaitwa Ukristo bali wanaomfuata Yesu kristo
sijaelewa hapo Isa= Zeruzeru kvp?. toa Arabic reference tuone acha uongo.Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa
Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi
Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi
Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible
Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa
Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo
Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti
Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao
So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa
Nawasilisha tu![]()
Mungu hachunguziki ndugu na wala hujamjua badoKuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!
Yaani mungu mwanae anapigwa na yeye anatizama tu ! Lakini mara paap, mwanawe kafa akageuka tena kuwa mungu ! Daaah hizi sarakasi za wagala noma sana
Utumbo mtupu uliousema hapaNilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa
Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi
Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi
Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible
Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa
Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo
Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti
Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao
So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa
Nawasilisha tu![]()