Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

Soma majibu ya Yesu mwenyewe
Nyinyi mmekosea kwa sababu hamuyajui maandiko matakatifu wala nguvu ya Mungu mkuu
Maana wafu watakapofufuka hawataoa, wala kuolewa bali watakuwa kama malaika mbinguni
Hapo Yesu alikuwa akiwajibu Waislamu na Mafarisayo wasioyajua maandiko wala nguvu ya Mungu Mathayo 22/29-33
Nani aliandika Bibilia?Ukoloni mambo leo!
 
Soma majibu ya Yesu mwenyewe
Nyinyi mmekosea kwa sababu hamuyajui maandiko matakatifu wala nguvu ya Mungu mkuu
Maana wafu watakapofufuka hawataoa, wala kuolewa bali watakuwa kama malaika mbinguni
Hapo Yesu alikuwa akiwajibu Waislamu na Mafarisayo wasioyajua maandiko wala nguvu ya Mungu Mathayo 22/29-33
Haya ni maelezo yako au aya !? Ukiandika aya una 'quote' sio kutoa maoni.
 
Hivi madhambi ufanye wewe then yesu akubebee hahahaaaa huu uokozi wa dhambi siufahamu kwa hawa jamaaa
Hayo ni zamani za Yesu
Sio sasa
Binadamu ni watu wa makosa tu
Yesu alituonya kuhusu dhambi na akasema kama watu hawataacha dhambi basi hukumu yake itakuwa ya haki kwa kuwa amekwisha sema
Ndio maana anatupa nafasi ya kuyajutia makosa yetu na kuyaacha
 
Sawa ni kweli Allah lina maana ya Mungu ila ni Mungu yupi sasa maana Allah huyu inaonekana hakuumba hata mbingu na ardhi na vyote vilivyomo
Allah SWT ndo aliyesema 'na iwe, mara ikawa ! Na Maria akabeba mimba ya Yesu. Hebu tuambie alichoumba Yesu
 
Uongo ukiachwa huonekana kuwa ni kweli
Kuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!
Yaani mungu mwanae anapigwa na yeye anatizama tu ! Lakini mara paap, mwanawe kafa akageuka tena kuwa mungu ! Daaah hizi sarakasi za wagala noma sana
 
Uongo ukiachwa huonekana kuwa ni kweli
Kuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!
Yaani mungu mwanae anapigwa na yeye anatizama tu ! Lakini mara paap, mwanawe kafa akageuka tena kuwa mungu ! Daaah hizi sarakasi za wagala noma sana
Mbabaishaji tu wewe ! Mkijaza makaratasi ya serikali, ukilizwa dini gani ? Unajaza mkiristo !
Hakuna kitu kinaitwa Ukristo bali wanaomfuata Yesu kristo
 
Wagalatia woote mnaochangia/mnaoupitia huu uzi...tafadhalini fuatilieni mijadala ya dr. zakir naik na ahmed dedat huko youtube ili walau mfunguke kidogo....akili zenu zinahitaji fikra kubwa na nna uhakika kama utaifuatilia hiyo mijadala kwa lengo la kujifunza na kuutafuta ukweli basi,utaanza kuona mabadiliko katika mitizamo yako kuhusu yesu/issa kwa ujumla wake.
 
Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa

Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi

Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi

Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible

Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa

Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo

Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti

Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao

So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa

Nawasilisha tu
db22e02e5263d2c889b2e2e4cec506fa.jpg
sijaelewa hapo Isa= Zeruzeru kvp?. toa Arabic reference tuone acha uongo.
 
Kuna uongo unaopita wa kuwa mungu ana mwana ! Hili hata papa anajua kuwa ni uongo!
Yaani mungu mwanae anapigwa na yeye anatizama tu ! Lakini mara paap, mwanawe kafa akageuka tena kuwa mungu ! Daaah hizi sarakasi za wagala noma sana
Mungu hachunguziki ndugu na wala hujamjua bado
 
Habari za Mungu huyu kamba tupu.

Ndiyo maana Diamond kashtukia anaamua kupiga hela tu.

Over.
 
Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa

Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi

Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi

Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible

Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa

Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo

Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti

Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao

So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa

Nawasilisha tu
db22e02e5263d2c889b2e2e4cec506fa.jpg
Utumbo mtupu uliousema hapa
 
Back
Top Bottom