Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Kwahiyo ndio ukweli wako huo? Haya subili nafasi za utendaji wa kata. Maana zinarudishwa ofisi ya Rais.
 
Msha panga kumuua sema tu ilibumbuluka wakati wa mkamata
 
Bila shaka hizo fedha alizokuwa akihongwa ili kutoa maandiko zake ndizo zimempa hiyo ML.
 
Mkuu inawezekana kwamba kweli Kabendera kukandika aliyoandika kuna watu hawakufurahia ila kama haya mashtaka mengie yametungwa ili tu kumtisha basi tanzania iko mahali pabaya sana

KAMA KABENDERA ALITUNGA MASHTAKA JUU YA SEREKALI YETU NA RAIS ALIYECHAGULIWA NA WANANCHI THEN HAKUNA TATIZO NA YEYE AKITUNGIWA MASHTAKA ILI KUBALANCE MIZANI. HOPEFULLY AKITOKA HUKO KOROKORONI ATAACHA KUTUNGA MASHTAKA KATIKA MAHAKAMA YAKE YA THE UCHUMI
QUID PRO QUO "YOU SCRATCH MY BACK AND I'LL SCRATCH YOURS"
 
Mie sioni tatizo kukamatwa, kufunguliwa/kubambikiwa kesi, tatizo langu watu kuja kumkamata bila sare baadae inaelezwa eti jeshi la polisi ndio linamshikilia. Hoja hapa na wengine waliopotea wakichukuliwa na watu wasio na sare kama hao, sasa mnataka kuwaeleza nini watu wanaopotea kwa mazingira hayo? Kwanini lisijitofautishe namna ya utendaji, ili kujenga imani na watu kuwa na Amani!
 
Kuna uhusiano gani kati ya aliekamatwa italy akisafirisha madawa na Kabendera?
 
Bora unyamaze kuliko kupoteza muda wa watu kusoma hadithi za kitoto hivi.
Kama Kabendera kafanya makosa ya kumuandika vibaya Rais na kuisema nchi yake kwa nini anashtakiwa kwa uhujumu uchumi na money laundry?
Huo huoni kuwa ni uhuni? Ni kuwa Kabendera hana alilofanya kuvunja sheria na sasa serikali imeamua kumbambika kesi.
Kumbe hata serikali inabambika watu kesi?
 
Kwani Mkuu kwanini sasa tunadangaywa kuwa Uhujumu uchumi kumbe hilo siyo tatizo kubwa, maana content nzima ya Andiko lako ni Kumchafua Mfalme wenu.
Halafu Kabendera anafanya biashara gani mpaka aingie Kukwepa Kodi na kuhujmu Uchumi? Hata haingii akilini hata Kidogo.
PAYE- Unaitambua hii sheria ?
 
KAMA KABENDERA ALITUNGA MASHTAKA JUU YA SEREKALI YETU NA RAIS ALIYECHAGULIWA NA WANANCHI THEN HAKUNA TATIZO NA YEYE AKITUNGIWA MASHTAKA ILI KUBALANCE MIZANI. HOPEFULLY AKITOKA HUKO KOROKORONI ATAACHA KUTUNGA MASHTAKA KATIKA MAHAKAMA YAKE YA THE UCHUMI
QUID PRO QUO "YOU SCRATCH MY BACK AND I'LL SCRATCH YOURS"
Mkuu kuna msemo wa kisasa unasema kisu unachokinoa ndio kitatumika kukuchinja,
 
Mie sioni tatizo kukamatwa, kufunguliwa/kubambikiwa kesi, tatizo langu watu kuja kumkamata bila sare baadae inaelezwa eti jeshi la polisi ndio linamshikilia. Hoja hapa na wengine waliopotea wakichukuliwa na watu wasio na sare kama hao, sasa mnataka kuwaeleza nini watu wanaopotea kwa mazingira hayo? Kwanini lisijitofautishe namna ya utendaji, ili kujenga imani na watu kuwa na Amani!


Askari kanzu asipovaa kanzu ni makosa? Kitambulisho ndicho muhumi kuliko kanzu.
 
Maajenti wa Lumumba mna shida sana.
Kwa hiyo ni halali mtu akikamatwa kuteswa kuuwawa watu wanyamaze kwa vile mnatawala Tz??
Yakikukuta utadema tuu, mwenzio akinyolewa zako tia maji!!
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Police wameshataki kabendera kwa makosa ya utakatishaji wa fedha pamoja uhujumu uchumi,wewe hili la kumtukana Rais umelitoa wapi?
 
Back
Top Bottom