Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Mbona maelezo yako yanamhukumu? Kuna tofauti gani kati yako wewe unaemhukumu na wale wanaomtetea? Kama ni suala la kuachia sheria ifuate mkondo wakebasi linakuhusu wewe kama ambavyo linawahusu hao wengine.
 
Huu ndio upumbav.u wa elimu ya taarifa, nyinyi mnaishi na kabendera na kujua maisha yake kwa kila anachofanya?? mtu yeyote anaposhitakiwa kwa kosa lolote, hiyopeke yake inaalika wachunguzi kuchunguza makosa mengine juu ya mtu huyu, unaweza shitakiwa kwa kosa la wizi wa ndoo kumbe pia wewe ni mbakaji, kuna ajabu gani hapo..cha muhimu pale kesi inapofika kwenye vyombo vya kutoa haki makosa yote unayoshitakiwa nayo yathibitishwe bila shaka yoyote..imesemwa kabendera ni mshirika wa makundi ya uhalifu..hao waliosema hivyo wamepekua emails zake, simu nk sasa utashangaa vipi kama mtu anashirikiana na mtandao wa uhalifu kimataifa kuwa na kosa la kutakatisha pesa?? tumieni akili kuona zaidi ya unachosikia hata kama elimu yenu mlisoma kwa kufundishwa taarifa tu na si maarifa.
Acha kuwa mjinga wewe ebo! Kama hujui mfumo wa kumshtaki mtu kaa kimya kuliko kuandika njozi zako hapa
 
Acha kuwa mjinga wewe ebo! Kama hujui mfumo wa kumshtaki mtu kaa kimya kuliko kuandika njozi zako hapa
Lbd mfumo uliouweka wewe ambao hata huwezi kuutaja hapa..hizi ndio tabia za wahalifu kujitetea anataja taja vitu hata havielewi sijui mfumo, mtu ameshtakiwa kwa kosa halafu anawapangia wanaomtafuta jinsi anavyotaka wampeleke kwa mahojianao.
 
Lbd mfumo uliouweka wewe ambao hata huwezi kuutaja hapa..hizi ndio tabia za wahalifu kujitetea anataja taja vitu hata havielewi sijui mfumo, mtu ameshtakiwa kwa kosa halafu anawapangia wanaomtafuta jinsi anavyotaka wampeleke kwa mahojianao.
Kwa nini hashtakiwi kwa hivyo mnavyotaja?
Unamshitaki mtu kwa unyang'anyi kumbe unamaanisha ugoni?
Ujinga mtupu! Ndio maana mnapokea matamko toka nje sababu hamko wazi
 
Hv huu upuuzi mnaondikaga hapa kisa buku saba una uhakika ametakatisha fedha? Unapompa kesi ya kumnyima dhamana si umemfunga tu hapo leo rugemalila ana miaka mingapi jela jinga kabisa ww na mtu akishikwa na madawa ya kulevya inatuhusu nini sisi hio ni personal interest zake
Acha kukalili wewe,eti buku saba,sio kila jambo ni buku saba ,una ushahidi na hizo buku saba?si ajabu wewe hata mia tano inakushinda,tunapojadili kwenye mambo ya kimsingi tusilete porojo za siasa. Je wewe unamjua Kabendera kuliko vyombo vya usalama,si ajabu ndio sasa umeanza kumsikia huyo Kabendera na badala ya kujua kinachoendelea wewe kama kasuku unakuja na wimbo wa buku saba.
 
Kwa nini hashtakiwi kwa hivyo mnavyotaja?
Unamshitaki mtu kwa unyang'anyi kumbe unamaanisha ugoni?
Ujinga mtupu! Ndio maana mnapokea matamko toka nje sababu hamko wazi
Wanaoweza kufahamu aina ya makosa anayotuhumiwa nayo kabendera ni wale waliohoji na kupata maelezo yake na kuchunguza mwenendo wa kazi zake, marafiki zake, mawasiliano yake, mapato yake, matumizi yake nk..ni upumba.vu kutetea kwa kuhoji kwa nini alikamatwa kwa tuhuma za uraia na sasa anashtakiwa kwa makosa mengine, kwa hiyo kabendera hawezi kuwa na makosa mengine? kwa kumtizama inaweza kuwa sawa lakini akichunguzwa inaweza kuwa habari nyingine..ni kitu cha kawaida mtu akifikishwa polisi kwa mahojiano katikati ya maelezo wanaomhoji wanaweza kugundua dalili za kuwepo makosa mengine..nini cha ajabu??
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!

Wewe kweli ni kipara kipya yaani umepoteza NYWELE na AKILI pia. Njaa ni shida sana.

Hivi unadhani kwa hichi kipara chako una busara saaaaana kuliko hao mabalozi na nchi zao za UK na US?
Erick Kabendera kakamatwa kwa kutekwa. Polisi wakaknusha hawajamkamata na hawajui aliko!
Baada ya kibano wakasema amekamatwa na Maofisa UHAMIAJI kwa kosa la URAIA maana alishaitwa kuhojiwa akakanusha!
Baada ya Mama mzazi wa Kabendera kujitokeza hadharani na kuongea na media kuwa mama huyo alimzaa mwanaye huyo hapahapa Tanzania hivo swala la kutilia shaka URAIA wake halipo!
Baada ya kauli hiyo ya mama mzazi Mapoliccm wakabadili GEA angani kuwa Kabendera amekamatwa kwa tuhuma za:
  1. Kushirikiana na Makundi ya Wahalifu.
  2. Kukwepa Kodi.
  3. Kutakatisha Fedha.
Kosa alilokamatwa nalo kwanza la URAIA limefutika kwa kukosa mashiko...!!!
Hivi huu usanii na Uigizaji wa Policcm kutaka KUMBAMBIKIA Kabendera Makosa ya kubumba dunia haioni?
Hivi sasa tuna ugeni wa SADC kuna nchi 16 ziko hapa wanaona na wanasoma UOZO WA SERIKALI HII YA AWAMU YA 5!!
Huwezi kuficha ubaya wako kwa kuwalaghai watu kwa viwanda, flyover, bombadia na miundo mbinu ilhali UNAKIUKA HAKI ZA RAIA WAKO KWA ASILIMIA 100%..!!!Hii haikubaliki popote duniani...nyie endeleeni kuwapotosha hao mazezeta na mapoyoyo wenzenu....... lakini watu makini wenye akili na DUNIA NZIMA INAONA HUU UPUUZI WA AWAMU HII..!!!
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Aya uende sasa ukachukue buku 7 yako shwaini wewe ulichoandika ni tofauti na anachoshitakiwa ndorobooeeh
 
Wewe kweli ni kipara kipya yaani umepoteza NYWELE na AKILI pia. Njaa ni shida sana.

Hivi unadhani kwa hichi kipara chako una busara saaaaana kuliko hao mabalozi na nchi zao za UK na US?
Erick Kabendera kakamatwa kwa kutekwa. Polisi wakaknusha hawajamkamata na hawajui aliko!
Baada ya kibano wakasema amekamatwa na Maofisa UHAMIAJI kwa kosa la URAIA maana alishaitwa kuhojiwa akakanusha!
Baada ya Mama mzazi wa Kabendera kujitokeza hadharani na kuongea na media kuwa mama huyo alimzaa mwanaye huyo hapahapa Tanzania hivo swala la kutilia shaka URAIA wake halipo!
Baada ya kauli hiyo ya mama mzazi Mapoliccm wakabadili GEA angani kuwa Kabendera amekamatwa kwa tuhuma za:
  1. Kushirikiana na Makundi ya Wahalifu.
  2. Kukwepa Kodi.
  3. Kuatakatisha Fedha.
Kosa alilokamatwa nalo kwanza la URAIA limefutika kwa kukosa mashiko...!!!
Hivi huu usanii na Uigizaji wa Policcm kutaka KUMBAMBIKIA Kabendera Makosa ya kubumba dunia haioni?
Hivi sasa tuna ugeni wa SADC kuna nchi 16 ziko hapa wanaona na wanasoma UOZO WA SERIKALI HII YA AWAMU YA 5!!
Huwezi kuficha ubaya wako kwa kuwalaghai watu kwa viwanda, flyover, bombadia na miundo mbinu ilhali UNAKIUKA HAKI ZA RAIA WAKO KWA ASILIMIA 100%..!!!Hii haikubaliki popote duniani...nyie endeleeni kuwapotosha hao mazezeta na mapoyoyo wenzenu....... lakini watu makini wenye akili na DUNIA NZIMA INAONA HUU UPUUZI WA AWAMU HII..!!!
Kama una akili inafikiri kwa style hii ujue huna tofauti na kuku, una uhakika tuhuma za uraia zilibadilishwa baada ya mama wa kabendera kujitokeza?? waliomtuhumu unadhani hawajui ana mama yake?? acha mama yake, mjomba ake, babu au wote ndugu za kabendera unadhani hawafahamu hilo?? unadhani kabendera hawezi kuwa na makosa mengine ambayo wewe au hata mama yake anaweza kuwa hayafahamu?? unadhani ukiitwa polisi kwa kosa la kumtusi jirani yako polisi hawaruhusiwi kuchunguza makosa mengine? hii generation ya leo akili yao sawa na kinyesi cha nguruwe kabisa! kazi kupanua mdomo kulalamika na wishies za kuku! mara SADC, mara dunia..ni kama mwehu anaokota makopo.
 
wewe unawafundisha Polisi kazi, umetuhumiwa na makosa ukaitwa polisi uende kwa hiyari ukakataa halafu unawapangia waje kukuchukua unavyotaka wewe..akili ya ma.pumbu kabisa hii.
Nincompoop persons like you are many, two wrongs doesn’t make right at all. Kutokana na majibu yako you can easily tell what kind of a person are u
 
Kama una akili inafikiri kwa style hii ujue huna tofauti na kuku, una uhakika tuhuma za uraia zilibadilishwa baada ya mama wa kabendera kujitokeza?? waliomtuhumu unadhani hawajui ana mama yake?? acha mama yake, mjomba ake, babu au wote ndugu za kabendera unadhani hawafahamu hilo?? unadhani kabendera hawezi kuwa na makosa mengine ambayo wewe au hata mama yake anaweza kuwa hayafahamu?? unadhani ukiitwa polisi kwa kosa la kumtusi jirani yako polisi hawaruhusiwi kuchunguza makosa mengine? hii generation ya leo akili yao sawa na kinyesi cha nguruwe kabisa! kazi kupanua mdomo kulalamika na wishies za kuku! mara SADC, mara dunia..ni kama mwehu anaokota makopo.
TrueVoter, ni heri ungenyamaza ndugu yangu. Nashangaa kwamba umekuwa mwana JF tangia 2008 lakini mbona kwa michango yako unazidi tu kujidhalilisha? Mambo hayaendi hivyo...kwa watu wastaarabu wanaoheshimu sheria polisi kabla ya kukukamata lazima wakutajie sababu ya kukukamata. Hili hata kajinga ambako hakakuona milango ya shule analijua...hii ya kwako sasa ni zaidi ya ujinga, ni upumbavu. Halafu eti hutaki kuelimishwa, so sad!
 
wewe unawafundisha Polisi kazi, umetuhumiwa na makosa ukaitwa polisi uende kwa hiyari ukakataa halafu unawapangia waje kukuchukua unavyotaka wewe..akili ya ma.pumbu kabisa hii.

Unajiita ati 'TrueVoter'....? Umeongea na kutetea upuuzi mtupu hapa.....!!!
True voter gani hata lugha unayo andika tu husomeki....??!!...hiyari...?...akili ya ma.pumbu...?Are you crazy?
Kwa lugha na maneno haya wewe ni Wrong Voter na ndiyo maana unatetea a wrong candidate...!!!
Jitafakari.....!!!
 
Nincompoop persons like you are many, two wrongs doesn’t make right at all. Kutokana na majibu yako you can easily tell what kind of a person are u
It s easy to gauge my words n feel your brain works, but hard to see your ignorance..
 
Mkuu inawezekana kwamba kweli Kabendera kukandika aliyoandika kuna watu hawakufurahia ila kama haya mashtaka mengie yametungwa ili tu kumtisha basi tanzania iko mahali pabaya sana
Kama mengine yametungwa tu juu ya KABENDERA nina uhakika kesi itaenda mwishowe itafutwa na tunamuomba Mungu iwe ni hivyo.Lakini ninavyoelewa na ndivyo ilivyo kama polisi wanapokupekua nyumbani kwako kwa ajili ya kutafuta mathalani silaha iliyoibiwa na wakaikosa kwako lakini katika msako huo wakalikuta gunia la bangi ndani mwako hapo litakuwa jambo jingine jipyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na huwezi kusema hilo jambo limetungwa.
 
TrueVoter, ni heri ungenyamaza ndugu yangu. Nashangaa kwamba umekuwa mwana JF tangia 2008 lakini mbona kwa michango yako unazidi tu kujidhalilisha? Mambo hayaendi hivyo...kwa watu wastaarabu wanaoheshimu sheria polisi kabla ya kukukamata lazima wakutajie sababu ya kukukamata. Hili hata kajinga ambako hakakuona milango ya shule analijua...hii ya kwako sasa ni zaidi ya ujinga, ni upumbavu. Halafu eti hutaki kuelimishwa, so sad!
Kwa hiyo sababu ya kukukamata ikiwa wizi wa kuku, polisi hawatakiwi kutuhumu makosa mengine hata kama zipo dalili za kuwa na makosa hayo baada ya kukuhoji?? ni wapumbavu wa aina yako ndio wanadhani polisi anamkamata mtu bila kutajiwa sababu.
 
It s easy to gauge my words n feel your brain works, but hard to see your ignorance
I wonder in which world are you leaving to the extent you can’t understand the basic function of police forces. Had you used a bit of wisdom you could have understood the main argument on this matter. The crux here is that the police force should execute its duty as per stipulated laws and regulations, if you don’t get this then you degree of insanity might be very high
 
Takataka
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
 
Back
Top Bottom