Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Status
Not open for further replies.
Ndugu yangu unatisha kwa Sayansi sasa mimi nina swali" hivi karibuni nilisikia katika kituo cha habari cha BBC kwamba wanasayansi huko marekani kwa kutumia darubini yako kubwa zaidi wameweza kugundua uwepo wa nyota ifananayo na jua ila hiyo ni kubwa maradufu ya jua letu hili na ina mwanga mkali zaidi pia! Sijui kama unaweza kunielezea vizuri juu ya hili jambo nikaelewa vizuri"'
Hiyo nyota kubwa inaitwa VY Canis na jua letu linaingia zaidi ya Mara 1400 katika hiyo nyota. Now you can imagine how big it is mkuu.
 
Hiyo nyota kubwa inaitwa VY Canis na jua letu linaingia zaidi ya Mara 1400 katika hiyo nyota. Now you can imagine how big it is mkuu.

VY Canis Majoris kama ulivyosema ni kubwa sana (hypergiant) lakini haifanani na jua kwa vigezo vingi ila nyota zinazofanana na jua kwa size, luminosity, gas compositions na vigezo vingine ziko nyingi zinakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 22 ya nyota zote. Katika Milkyway peke yake nyota zinazofanana sana na jua zinakadiriwa kuwa takribani bilioni 9.
 
VY Canis Majoris kama ulivyosema ni kubwa sana (hypergiant) lakini haifanani na jua kwa vigezo vingi ila nyota zinazofanana na jua kwa size, luminosity, gas compositions na vigezo vingine ziko nyingi zinakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 22 ya nyota zote. Katika Milkyway peke yake nyota zinazofanana sana na jua zinakadiriwa kuwa takribani bilioni 9.

Duuh!! hatari aisee bilioni 9!!!
 
VY Canis Majoris kama ulivyosema ni kubwa sana (hypergiant) lakini haifanani na jua kwa vigezo vingi ila nyota zinazofanana na jua kwa size, luminosity, gas compositions na vigezo vingine ziko nyingi zinakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 22 ya nyota zote. Katika Milkyway peke yake nyota zinazofanana sana na jua zinakadiriwa kuwa takribani bilioni 9.

nimekutana na hii kwenye tube kumbe jua letu ni kitu kidogo sana angani.



 
Last edited by a moderator:
Kijana it seems you know that field very well, but usikrem kila kitu kwa technologia yetu ya kibongo hiyo elimu sio muhimu sana kwamba inahitadi attention katika masomo yetu, hizo information ndeefu unazoleta hapa kila mtu anaweza kuziacces 'Google it' ulichofanya hapo ni kutafsiri tuu nayo pia kwa kutumia google translator, hakuna jipya hapo, watu ni wavivu tuu wa kutafuta mambo ulivyoandika hapa kuna watu wanakuona genius na wengine wanatamani upewe tuzo Nobel

Umeandika hoja ya mashiko, si kwa kibongotu,hata kwa dunia nzima haia maana, ujuha wa hali ya juu kuweza kuchunguza nyota iizo nje ya GALAXY yetu wakati huohuo tunashindwa kuiona ndege iliyoanguka ikiwa na abilia zaidi ya 200 ka zaidi ya miez mitatu sasa.
Kama sio Fix ni nini ? uwezo mkubwa wa kueleza kwa Ufasaha kuhusu Nyota na Uwezekano wa maisha mengne, ka kutoahesabu kuonyesha hata namna ambavyo tunaweza kufika huko, Lakini Saynsi hiyo hyo inashindwa kutuonyesha wapi MALAYSIA air Line Imedondokea.

Hapa ni kukaririshwa kwa kwenda mbele...

Hivi kwa Mujibu wa hawa mabingwa wa Sayansi; EVOLUTION IMEKOMA au INAENDELEA...

KAMA imekoma maandiko ya wanasayansi ni kweli...
Kama inaendelea maandishi ni FIX, sababu ni kwamba hizo Projection za Mabillion ya miaka haziwezi kuwa sahihi kwa kuwa object zaweza kuwa zime evolve due to EVOLUTION
 
Hivi hakuna Nishani ya NOBEL kwa mabingwa wa kukariri kama wewe ?

Kukariri ni sifa ya uwezo wa kiakili.

Hata wewe umekariri ndiyo maana umeweza kuandika.

Ndiyo maana hata kwenye dini kuna mashindano ya kukariri Quran.
 
Kukariri ni sifa ya uwezo wa kiakili.

Hata wewe umekariri ndiyo maana umeweza kuandika.

Ndiyo maana hata kwenye dini kuna mashindano ya kukariri Quran.

Sawa, nauliza tena, Nishani ya NOBEL kwa Mabingwa wa Kukariri kama wewe Haipo ?
 
Kukariri ni sifa ya uwezo wa kiakili.

Hata wewe umekariri ndiyo maana umeweza kuandika.

Ndiyo maana hata kwenye dini kuna mashindano ya kukariri Quran.

hahahahaha!,umenivunja mbavu leo.
 
Kiranga una threads ngapi unazozitumikia Leo humu JF? Maana Kuna moja umeanzisha kule unapinga uwepo wa Mungu kinadharia sn, ingawa sins uhakika km ni yule Mungu wa Wote au mungu wako ndio hayupo
 
Sawa, nauliza tena, Nishani ya NOBEL kwa Mabingwa wa Kukariri kama wewe Haipo ?

Bingwa zaidi yangu ni wewe.

Ambaye hata baada ya kuonyeshwa hata wewe umekariri, unakazania kuendelea kukariri kwamba mimi ndiye bingwa wa kukariri.
 
Kiranga una threads ngapi unazozitumikia Leo humu JF? Maana Kuna moja umeanzisha kule unapinga uwepo wa Mungu kinadharia sn, ingawa sins uhakika km ni yule Mungu wa Wote au mungu wako ndio hayupo

Una hakika nimeanzisha thread?

Au unaamini tu, kama unavyoamini kuwepo kwa mungu?
 
Umeandika hoja ya mashiko, si kwa kibongotu,hata kwa dunia nzima haia maana, ujuha wa hali ya juu kuweza kuchunguza nyota iizo nje ya GALAXY yetu wakati huohuo tunashindwa kuiona ndege iliyoanguka ikiwa na abilia zaidi ya 200 ka zaidi ya miez mitatu sasa.
Kama sio Fix ni nini ? uwezo mkubwa wa kueleza kwa Ufasaha kuhusu Nyota na Uwezekano wa maisha mengne, ka kutoahesabu kuonyesha hata namna ambavyo tunaweza kufika huko, Lakini Saynsi hiyo hyo inashindwa kutuonyesha wapi MALAYSIA air Line Imedondokea.

Hapa ni kukaririshwa kwa kwenda mbele...

Hivi kwa Mujibu wa hawa mabingwa wa Sayansi; EVOLUTION IMEKOMA au INAENDELEA...

KAMA imekoma maandiko ya wanasayansi ni kweli...
Kama inaendelea maandishi ni FIX, sababu ni kwamba hizo Projection za Mabillion ya miaka haziwezi kuwa sahihi kwa kuwa object zaweza kuwa zime evolve due to EVOLUTION

Nkwesa Makambo , una hoja lakini hitimisho lake (FIX) ndio lina walakini. Nitaeleza kwa nini nadhani hivyo. Hoja yako kama ungeiweka vizuri ni kuwa uchunguzi/uvumbuzi au wa aina hii (space programs) ambao unatumia resources nyingi sana wakati kuna maeneo mengine ndani ya dunia ambayo bado hayakupewa kipaumbele kwa wastani huo ni jambo baya. That is understandable and can be discussed. Unaweza ukasema pia there's poor allocation of recources when comes to outer space programs versus air controlling systems technology. Hii ni hoja ambayo tunaweza tukaijadili, kujifunza na kuelewana. Mfano, nani ni mhusika wa kupeleka fungu kubwa la pesa huko?, Kwa nini? Kuna faida gani? Kuna tatizo gani katika kuitafuta Air Malaysia iliyopotea?, Kwa nini technology iliyotegemewa kusaidia kupatikana kwa Air Malaysia ime-fail? etc.

Tungejifunza mambo mengi tu kwa kuangalia eneo hilo.

Kutofanikiwa kupatikana kwa Air Malaysia mpaka sasa hakuifanyi Astronomy au sayansi kwa ujumla wake iwe "FIX". Ingekuwa hivyo hata hiyo ndege (airplane) isingekuwepo kumbuka there is lots of science involved in buiding a craft that fly carrying human/s inside. There is no correlation.

Evolution ni theory na wala mada hii haikujikita katika theory hii hata kidogo ila projection ya umbali wa nyota na uwingi wake ina njia zake na vipimo vyake ambavyo havihusiani na Evolution.

Again, walakini wa theory ya evolution haufanyi idadi ya nyota iongezeke au ipungue au vipimo vya umbali wake kutoka sehemu moja hadi nyingine viwe "FIX". There is no correlation.

Labda ulimaanisha tofauti unaweza kufafanua taratibu tu moja baada ya jingine. Jamaa uliyem-quote alisema mada hii ni "ujuha" kwa sababu kuna vita congo na waethiopia wanakufa njaa, baada ya hapo akasema na kuna katiba mpya na soka linaendelea kwa nini kuongelea nyota? Hiyo ndio ilikuwa motive yake.
 
Umeandika hoja ya mashiko, si kwa kibongotu,hata kwa dunia nzima haia maana, ujuha wa hali ya juu kuweza kuchunguza nyota iizo nje ya GALAXY yetu wakati huohuo tunashindwa kuiona ndege iliyoanguka ikiwa na abilia zaidi ya 200 ka zaidi ya miez mitatu sasa.
Kama sio Fix ni nini ? uwezo mkubwa wa kueleza kwa Ufasaha kuhusu Nyota na Uwezekano wa maisha mengne, ka kutoahesabu kuonyesha hata namna ambavyo tunaweza kufika huko, Lakini Saynsi hiyo hyo inashindwa kutuonyesha wapi MALAYSIA air Line Imedondokea.

Hapa ni kukaririshwa kwa kwenda mbele...

Hivi kwa Mujibu wa hawa mabingwa wa Sayansi; EVOLUTION IMEKOMA au INAENDELEA...

KAMA imekoma maandiko ya wanasayansi ni kweli...
Kama inaendelea maandishi ni FIX, sababu ni kwamba hizo Projection za Mabillion ya miaka haziwezi kuwa sahihi kwa kuwa object zaweza kuwa zime evolve due to EVOLUTION
Asante mkuu kwa kuona mchango wangu japo mleta mada alikuwa mkali kaa simba jike mwenye watoto, ni hivi, umuhimu wa mambo ya nyota na uhalisia wake ni mambo ya theory tuu, japo ni muhimu kuyajua 'just for funny' ila kiuhalisia sisi kama watanzania, hivyo vitu hutuvihitaji sana kwani hatuwezi hata kuprove hizo theories, jamaa amemeza sasa mkosoe uone mapovu! hahaaa
 
Asante mkuu kwa kuona mchango wangu japo mleta mada alikuwa mkali kaa simba jike mwenye watoto, ni hivi, umuhimu wa mambo ya nyota na uhalisia wake ni mambo ya theory tuu, japo ni muhimu kuyajua 'just for funny' ila kiuhalisia sisi kama watanzania, hivyo vitu hutuvihitaji sana kwani hatuwezi hata kuprove hizo theories, jamaa amemeza sasa mkosoe uone mapovu! hahaaa

On bolded text you mean "just for fun" I suppose. Wewe hukukosoa mada zaidi sana ulitukana na kuleta dharau kama mtu mwenye matatizo fulani kichwani na chuki binafsi. So it was necessary to ask your motive and give you a helpful advice. Ilikusaidia kwa muda huo ingawa naona ugonjwa kama unaaza kurudi.
 
Ahsante mkuu nimejifunza mengi. Somo nililolipenda nikiwa shule(geography)...kwa wale wasio na msingi wa mambo ya anga na sayansi watashindwa kuelewa..ukweli ni mada nzuri kwa wenye kuelewa
 
Nimewahi kusikia Kuna galaxy nyingi sana,na kila galaxy ina mamilion ya nyota, na kila nyota ina sayari zake kama ilivyo kwa jua letu. naomba ufafanuzi juu ya hili@Monstgala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom