Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipumua baada ya kugundua miaka billion kadhaa ijayo wewe/Mimi/sisi hatutakuwepo? Umenichekesha sana mkuu
Asante Mkuu fyddell.
Mkuu Mgalanjuka, swali langu lina sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo.
umetuambia kuhusu idadi ya galaxy kwamba ni nyingi sana na sisi tupo kwenye kagalax kamoja tu kanakoitwa milky way, sasa je,
(a) Hakuna uwezekano wa kuwepo sayari kama hii katika galaxy nyingine yenye binadamu wazuri wazuri kama hii na wenye akili kama/zaidi ya sisi?
(b) Katika maafa yanayoweza kuikumba dunia, je, kitu kinachoitwa nibru (sijui kama nimepatia kuandika) kinachozungumzwa sana miaka ya karibuni unakizingumziake?
SWALI LA NYONGEZA:
Kuna utafiti wowote wa kisayansi uliowahi kufanywa kuhusu sehemu (a) hapo juu na majibu yalikuwaje?
mkuu Mgalanjuka kuna jambo niliwahi kulisoma,linaitwa forbidden knowledge.yaani ni maarifa yanayofahamika kwa watu wachache tu wenye upeo mkubwa duniani na ambao wapo ktk jumuiya za vyama vya siri (secret societies).
inasemekana ni nadra sana kukuta yapo ktk mitaala ya elimu ya vyuo vikuu.
je elimu hii ya maswala ya anga na sayari unayotuwekea hapa,inafundishwa ktk vyuo vikuu bila kuficha baadhi ya vitu?.kama inafundishwa,course yake inaitwajwe?.na huchukua miaka mingapi kuhitimu?.
kwanini ktk lile bandiko la UFOs and Aliens ulitoa tahadhari kuwa mengine huto eleza kuhofia usalama wako?.
!
!
mleta uzi ana undugu na Makamba nini!? maana hizi ni fix tena za mchana kweupe....nyota six trillion 100 sijui miaka 70000
Hizi ni nyororo ka siyo kamba ngumu.
Shukrani Mkuu Swat.
Mkuu Mgalanjuka asante kwa elimu.Please mkuu,be honesty and tell me who are you.Are you an alien?Do u have any association with them or does ur DNA have any similarities with that of Alien/UFO
/ET?If you are any of the questions above,if possible please let's meet
Siyo kwa ubaya.
Mkuu Mgalanjuka asante kwa elimu.Please mkuu,be honesty and tell me who are you.Are you an alien?Do u have any association with them or does ur DNA have any similarities with that of Alien/UFO
/ET?If you are any of the questions above,if possible please let's meet
Siyo kwa ubaya.