Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Status
Not open for further replies.
Dah Bonge la elimu mkuu shukrani sanaaa kwa kutushilikisha na sisi. Mkuu hivi hawa viumbe wafahamika ka Alliens.. Wapo kweli na walishawahi kuoneka duniani.. Walionekana mwaka gani au kuna ushaidi gani juu ya hili?

Mkuu hivi utafiti wa kisayans unaonyesha viumbe hapa dunian vilitokeaje tokeaje?

Najiulizaga sana haya maswali..

Mkuu geek jo, naomba swali lako la kwanza nilijibu katika uzi mwingine ujao (specific kwa area hiyo) na unamajibu mazuri ya swali lako. Nafanya hivi ili tusi-diverge sana kutoka kwenye mada kuu jambo ambalo litasababisha nisieleweke kwa wale wanaosoma vipande vifupi vifupi kama bwana mdogo mmoja aliyeibukia hapo kati.

Swali la pili ambalo unauliza ni jinsi gani viumbe hapa duniani vilitokea au kwa lugha nyingine labda unamaanisha maisha yalianza vipi hapa duniani nalo nitalijibu kwa ufupi na kwa lugha nyepesi maana ni mada pana sana hii. Naam, utafiti wa kisanyansi haujatoa jibu moja katika hili na kuna theories nyingi na zote zinatoa majibu fulani lakini pia ziaacha gaps ambazo zinasababisha kusiwe na jibu la kutosheleza kwa asilimia mia. Naomba nieleweke kwamba kama mdau alivyouliza akibase kwenye sayansi nami nitajibu kutoka huko huko lakini hii haina maana ya kufuta logic ya uumbaji maana wapo wanasayansi wengi tu wanaamini katika uumbaji (creationists). Hizi theories nazotaja zinaacha ile logic ya kwamba tuliumbwa na zinatafuta au zinafuata logic ya kuibuka kwa bahati fulani.

Tuziangalie kwa kifupi.

Kutoka kwenye dunia iliyokuwa imeganda kwa barafu (Chilly start theory)

Hawa wanasema barafu inawezakuwa ilifunika sehemu kubwa ya dunia na bahari zote miaka billion 3 iliyopita maana jua halikuwa linawaka sana kama ilivyo sasa. Sasa hizi layer kubwa sana za barafu zilitunza organic compounds katika sehemu yake ya ndani hivyo kuzikinga na uharibifu kutoka katika vurumai la anga lilokuwepo wakati huo. Pia baridi ilisaidia kutunza molecules hizi kukaa kwa muda mrefu sana bila kuharibika na hivyo kupelekea maisha kuanza. Lakini ugumu (gap) unakuja pale kwenye nini hasa aina ya chagizo iliyopelekea maisha kuanza.

Did life begin in ice?

Kutoka kwenye matundu ya volcano chini ya bahari (Deep-sea vents theory)

Hii theory inasema inawezekana maisha yalianza kutokana na hydrothermal vents zilizoko chini ya bahari ambazo hutoa molecules zenye hydrogen nyingi sana. Sasa katika miamba yake inawekekana moleules hizi zilijazana sana na kusababisha aina fulani ya reaction iliyosababisha maisha kuanza. Hawa wanasansi wana egemea kwenye ukweli kwamba hata leo hii anao lenye aina hii ya geothermal vents kuna nichati kubwa ya joto na kemikali na viumbe vingi sana vya baharini huendesha maisha kando kando na ndani ya yake. Ugumu unakuja ukitengeneza simulation katika maabara yenye condition sawa na zinazopendekezwa katika theory hii bado haileti pure results.

Earth Life May Have Originated at Deep-Sea Vents

Kutokana na radi yenye chaji ya umeme (Electric spark theory)

Hii ya charge ya umeme ilileta changamoto sana maana chaji au cheche za umeme zinaweza kutengeneza amino acids na sugars(hivi ni vyanzo vikuu vya maisha) katika mazingira yaliyojazwa maji, methane, ammonia na hydrogen. Ilikuwa mwaka 1953 katika jaribio lililoonesha labda radi (kwa kuwa na electric charges) ilisaidia kutengeneza vyanzo vikuu vya maisha. baada ya hapo ugumu kwa hii theory ukaja pale tafiti nying zilipoonesha hakukuwa na hydrogen nyingi ya kuwezesha hii kitu ingawa inaonekana methane, ammonia na radi zilikuwa nyingi katika wakati huo.

The Spark of Life | Astrobiology Magazine

Kutokana na msukumo wa udongo (Community clay)

Theory hii inapendekeza molecules za mwanzo za maisha zinaweza zikawa zimekutana katika udongo hii ni idea aliyoijenga mtaalam wa kemia wa Scotland, Alexander Graham Cairns-Smith katika chuo kikuu cha Glasgow. Anadai madini fulani na udongo yanaweza kuwa chanzo cha kujipanga kwa organic molecules kuwa aina Fulani ya sehemu ya kiumbe na baadae molecules hizi kuanza kujipanga zenyewe.

Life might have Evolved in Clay, Researchers Find : Biology : Nature World News

Ulimwengu wa asidi zenye protini (RNA world)

Deoxyribonucleic acid (DNA) zinahitaji protein ili ziform na protein zinahitaji DNA ili ziform. Hapo sasa ndio inakuja hii theory ya Ribonucleic acid (RNA) World ambayo inapendekeza kwamba kwa sababu RNA inatunza informations kama DNA na inafanya kazi ya catalyst kama protein yani inaweza kuapply pande zote basi ndio chanzo. Lakini ugumu unakuja sasa hizo RNA zilitokea wapi kwa mara ya kwanza. Ni ngumu sana kwamba ziliibukia tu alafu zikaanza kuji-replicate.

The RNA World and the Origins of Life - Molecular Biology of the Cell - NCBI Bookshelf

Kutoka kwenye anga za mbali (Panspermia)

Hii ambayo inashikiliwa na wengi inasema maisha hayakuanzia hapa dunia bali yaliletwa na kimwondo kutoka anga za mbali. kwa mfano tunaweza kujionea vipande vya miamba na mawe vilivyotoka sehemu nyingine ambayo si duniani. hivyo theory hii inapendekeza vimwondo au kimwondo Fulani kilikuja na vijidudu(microbes) vilivyo sababisha maisha kuanza hivyo sisi wote asili yetu ni huko mbali angani. Sasa hapa ugumu unarudi kule kule kwamba sasa kama maisha hayakuanzia hapa duniani na huko angani yalikotokea yalianzaje?

PANSPERMIA THEORY origin of life on Earth directed panspermia lithopanspermia meteorites - Panspermia Theory

Zipo na nyingine ila hii inatoa mwanga baadhi wanasayansi waonaje katika swala hili la mwanzo wa maisha.
 
mkuu Invisible na uongozi mzima wa jf napendekeza kuwepo na jf intelligent man award of the year.na mtu wa kwanza kupewa ni huyu jamaa Mgalanjuka.kiukweli jamaa anatisha.anajibu maswali magumu kwa mda mfupi kwa majibu yasiyo na shaka na yenye ilm kubwa ktk space and astronomy science.sijaona "mjuaji" hata mmoja aliyethubutu kujitosa kum-challenge kwa fact tofauti,hii ni tofauti na zile mada tulizo zizoea na zisizo isha mabishano, kati ya Theists Vs. Atheists.kwani ktk mada hizo wakosoaji ni wengi.

huwa najiuliza,mgalanjuka wewe ni kati ya wale watz wanaotajwa kufanya kazi NASA?.unastahili heshima mkuu ila usilewe sifa sana kama yule jamaa yetu anayesifika sana kwa kujua kizungu hapa jf.lol
 
Last edited by a moderator:
Hujaongelea vimondo, vipi mahusiano yake na nyota?
Kwa vile kuna baadhi ya vimondo vilishawahi kudondoka duniani, inachukua muda kufika katika ardhi yetu?

Ni vizuri pia ukaelezea habari ya mwezi na mahusiano yake na ulimwengu wetu/jua
 
Mmmmmmmmh.....hapa hata sielewi mkuu_does alien exist in the real world..?

Anyway...ngoja aje tumsikie mwenyewe mkuu.

Mkuu IGWE through my various readings Alien wapo,kwanza develop interest jifunze kufuatilia kwenye readings tofauti mitandaoni na Kama unapata channel ya history channel fuatilia zile programme Za alien utajifunza sana kama u have passion to learn & know them.
Aliens ni siri kubwa sana kwenye nchi za kitajiri na zilizoendelea inasemekana technology wanazipata kwa aliens kwa kushirikiana nao ila nchi hizo zinakanaga kabisa hakuna aliens na binadamu yeyote atakeyetoa siri juu ya uwepo wake mara nyingi wanauwawa haina mjadala.
Ndiyo maana mkuu MGALANJUKA kasema hivi(I quote) Viumbe katika anga za mbali vipo lakini ni zaidi ya uhai tunaojua sisi. Kwa sisi kutokujua sana kuhusu uwepo wa uhai wa ziada ni ahueni kwetu. Kuna siri nyingi zilizofichwa.

Ukiweza kupata ile movie ya Avatar iangalie ile movie siyo fiction ni ukweli kabisa,alien wapo hata Yule Mungu wao wanaemuabudu lile ndiyo jina lake hata ukifuatilia kwenye readings tofauti.

Nimemsoma sana Mkuu Mgalanjuka
tangu kwenye ule uzi mwingine we are not alone,aise jamaa amepata bahati kubwa sana by sitting next to huyo Korean Adult na kumfudha haya mambo,because very few people in this world have this kind of knowledge and most of them never share the knowledge natamani ningepata hiyo nafasi maana nimekuwa nikisoma sana haya mambo hadi saa nyingine nachoka sina hata wa Kunifunza.

Mkuu Mgalanjuka Asante kwa kutufunza akina mimi wenye interest ya kujua haya mambo.

Mkuu IGWE hatuko sawa watu na bahati zao some people are half human half alien and their intellectual level is very high,huwezi kujilinganisha nao na wengi wao wanatawala dunia au wako sehemu nyeti.

Kuna watu wengine tangu wako tumboni kwa mama zao their DNA has similarities with some aliens outthere,na hao alien wanafahamu hilo na wamekuwa wakiwasaidia watu wao(I mean humans)to be somewhere in the top level in life no matter the difficulties humans go thru.Later huwa aliens wanajionyesha kwa humans wao,wengine huwa hawajionyeshi wanakuwa wanawacontrol sometimes wanawafanyia DNA modification bila hata wao kujijua ili wabehave Kama wao .

Kuna mkuu humu ndani anaitwa JUVE12,kuna uzi aliuletaga humu ndani mwaka jana alinifunza mambo makubwa sana maana alitoa reading sources ambazo nilifuatilia nikasoma.Namquote mkuu alisema we are not equal,alimuongelea Previous president wa US George Bush tunadhani ni binadamu wa kawaida lakini siyo,nilivyosoma zile readings za JUVE12 nikagundua kumbe Mr President ni Reptilian na karibu 90% of his administration/cabinet are reptilian mpaka yule mama Condoleza Rice.
MKUU Juve12 aliongelea race Kama aliens,thewatchers,Annunaki,Nephilin na binadamu ambao tunadhani ni wa kawaida kumbe wametokea kwenye hizo race na uwezo wao ni mkubwa sana,wanarun dunia.

Katika kusoma soma kwangu inasemekana Marais wa US wanalindwa pia na Aliens hata Barack Obama alivyovisit nchi yetu kulikuwa na aliens kibao wanamlinda waliobahatika kuona ni wale wenye uwezo wa ziada.Sijui Kama wana JF mmekuwa mkifuatilia kwa nini wamarekani wanampiga vita Obama kuwa he is not human?!!Kuna mkutano mmoja alihutubia Kati ya walinzi wake kuna mmoja akaonekana wa ajabu ajabu kumbe ni half human/half alien.Hii habari hata Ukigoogle ipo.Pia inasemekana hakuna rais wa US aliyependwa na aliens Kama wa sasa.

Ndiyo Yale maneno ya Mkuu Juve kuwa we are not equal.
Kuna aliens wengine wanashirikiana kabisa na humans kwenye projects kubwa sana na kwa siri,ukilogwa ukitoa Siri ur dead.
Mkuu Mgalanjuka nilipokosea please correct me maana haya mambo unayajua sana wewe siyo wa kawaida na naomba uendelee kutufunza.

Mkuu JUVE12,aise Uko wapi?Yani mkuu natamani ungeelewa ni kiasi gani umenifunza mwaka jana na kuelewa dunia inavyoendeshwa.Zile sources Zako Za reading tena Authentic ones salute Mkuu.
 
Mkuu IGWE through my various readings Alien wapo,kwanza develop interest jifunze kufuatilia kwenye readings tofauti mitandaoni na Kama unapata channel ya history channel fuatilia zile programme Za alien utajifunza sana kama u have passion to learn & know them.
Aliens ni siri kubwa sana kwenye nchi za kitajiri na zilizoendelea inasemekana technology wanazipata kwa aliens kwa kushirikiana nao ila nchi hizo zinakanaga kabisa hakuna aliens na binadamu yeyote atakeyetoa siri juu ya uwepo wake mara nyingi wanauwawa haina mjadala.
Ndiyo maana mkuu MGALANJUKA kasema hivi(I quote) Viumbe katika anga za mbali vipo lakini ni zaidi ya uhai tunaojua sisi. Kwa sisi kutokujua sana kuhusu uwepo wa uhai wa ziada ni ahueni kwetu. Kuna siri nyingi zilizofichwa.

Ukiweza kupata ile movie ya Avatar iangalie ile movie siyo fiction ni ukweli kabisa,alien wapo hata Yule Mungu wao wanaemuabudu lile ndiyo jina lake hata ukifuatilia kwenye readings tofauti.

Nimemsoma sana Mkuu Mgalanjuka
tangu kwenye ule uzi mwingine we are not alone,aise jamaa amepata bahati kubwa sana by sitting next to huyo Korean Adult na kumfudha haya mambo,because very few people in this world have this kind of knowledge and most of them never share the knowledge natamani ningepata hiyo nafasi maana nimekuwa nikisoma sana haya mambo hadi saa nyingine nachoka sina hata wa Kunifunza.

Mkuu Mgalanjuka Asante kwa kutufunza akina mimi wenye interest ya kujua haya mambo.

Mkuu IGWE hatuko sawa watu na bahati zao some people are half human half alien and their intellectual level is very high,huwezi kujilinganisha nao na wengi wao wanatawala dunia au wako sehemu nyeti.

Kuna watu wengine tangu wako tumboni kwa mama zao their DNA has similarities with some aliens outthere,na hao alien wanafahamu hilo na wamekuwa wakiwasaidia watu wao(I mean humans)to be somewhere in the top level in life no matter the difficulties humans go thru.Later huwa aliens wanajionyesha kwa humans wao,wengine huwa hawajionyeshi wanakuwa wanawacontrol sometimes wanawafanyia DNA modification bila hata wao kujijua ili wabehave Kama wao .

Kuna mkuu humu ndani anaitwa JUVE12,kuna uzi aliuletaga humu ndani mwaka jana alinifunza mambo makubwa sana maana alitoa reading sources ambazo nilifuatilia nikasoma.Namquote mkuu alisema we are not equal,alimuongelea Previous president wa US George Bush tunadhani ni binadamu wa kawaida lakini siyo,nilivyosoma zile readings za JUVE12 nikagundua kumbe Mr President ni Reptilian na karibu 90% of his administration/cabinet are reptilian mpaka yule mama Condoleza Rice.
MKUU Juve12 aliongelea race Kama aliens,thewatchers,Annunaki,Nephilin na binadamu ambao tunadhani ni wa kawaida kumbe wametokea kwenye hizo race na uwezo wao ni mkubwa sana,wanarun dunia.

Katika kusoma soma kwangu inasemekana Marais wa US wanalindwa pia na Aliens hata Barack Obama alivyovisit nchi yetu kulikuwa na aliens kibao wanamlinda waliobahatika kuona ni wale wenye uwezo wa ziada.Sijui Kama wana JF mmekuwa mkifuatilia kwa nini wamarekani wanampiga vita Obama kuwa he is not human?!!Kuna mkutano mmoja alihutubia Kati ya walinzi wake kuna mmoja akaonekana wa ajabu ajabu kumbe ni half human/half alien.Hii habari hata Ukigoogle ipo.Pia inasemekana hakuna rais wa US aliyependwa na aliens Kama wa sasa.

Ndiyo Yale maneno ya Mkuu Juve kuwa we are not equal.
Kuna aliens wengine wanashirikiana kabisa na humans kwenye projects kubwa sana na kwa siri,ukilogwa ukitoa Siri ur dead.
Mkuu Mgalanjuka nilipokosea please correct me maana haya mambo unayajua sana wewe siyo wa kawaida na naomba uendelee kutufunza.

Mkuu JUVE12,aise Uko wapi?Yani mkuu natamani ungeelewa ni kiasi gani umenifunza mwaka jana na kuelewa dunia inavyoendeshwa.Zile sources Zako Za reading tena Authentic ones salute Mkuu.


Nimekuelewa mkuu.....nimeamini tunachoona kukijua sisi wengi kuhusu dunia ni tone tu ya kinachoendelea mkuu
 
kuna watu walisha lifanya jukwaa hili ni sehemu ya mabishano yasiyoisha kati ya waamini wa uwepo wa mungu na wasio amini uwepo wa mungu.angalau sasa GT Mgalanjuka kaja na kitu tofauti.nina hakika 100% ilm hii hata Kiranga na wale wapinzani wake imewashangaza.

Kiranga ama kwa hakika amefurahi kuona habari hii, kwa maana inafungua watu macho kuhusu "nature". Inamkumbusha 1995.

Lakini kufikiri habari hii itamshangaza Kiranga ni kutomuelewa.

Kwani kunako mwaka 1996 alishakwenda United States Information Center pale "Peugeot House" na kuazima vitabu vilivyoelezea yote haya, na kuisoma vizuri "Drake's Equation".

Kwa hiyo hata kama thread hii ingetaja "Drake's Equation", isingemshangaza Kiranga, kwa sababu aliisoma 1996.

Of course haijataja Drake's Equation.

Which should make it even less surprising.

I paid my dues, saw the spectrum's hues, stayed off glue, legally skipped ques in rues, couldn't get sued and still got more mental Cash than "A Boy Named Sue".

Usilitaje jina la bwana wako bure.

After all, he has limited cycles to consider "The Schrodinger's Cat Experiment".

Is the cat dead or is the cat not dead?
 
Kiranga ama kwa hakika amefurahi kuona habari hii, kwa maana inafungua watu macho kuhusu "nature". Inamkumbusha 1995.

Lakini kufikiri habari hii itamshangaza Kiranga ni kutomuelewa.

Kwani kunako mwaka 1996 alishakwenda United States Information Center pale "Peugeot House" na kuazima vitabu vilivyoelezea yote haya, na kuisoma vizuri "Drake's Equation".

Kwa hiyo hata kama thread hii ingetaja "Drake's Equation", isingemshangaza Kiranga, kwa sababu aliisoma 1996.

Of course haijataja Drake's Equation.

Which should make it even less surprising.

I paid my dues, saw the spectrum's hues, stayed off glue, legally skipped ques in rues, couldn't get sued and still got more mental Cash than "A Boy Named Sue".

Usilitaje jina la bwana wako bure.

After all, he has limited cycles to consider "The Schrodinger's Cat Experiment".

Is the cat dead or is the cat not dead?

Hebu fafanua kidogo kuhusu Drake's Equation mkuu....na kama hautajali tupe dadavuzi kwa kiswahili kwa faida yetu
 
Kiranga ama kwa hakika amefurahi kuona habari hii, kwa maana inafungua watu macho kuhusu "nature". Inamkumbusha 1995.

Lakini kufikiri habari hii itamshangaza Kiranga ni kutomuelewa.

Kwani kunako mwaka 1996 alishakwenda United States Information Center pale "Peugeot House" na kuazima vitabu vilivyoelezea yote haya, na kuisoma vizuri "Drake's Equation".

Kwa hiyo hata kama thread hii ingetaja "Drake's Equation", isingemshangaza Kiranga, kwa sababu aliisoma 1996.

Of course haijataja Drake's Equation.

Which should make it even less surprising.

I paid my dues, saw the spectrum's hues, stayed off glue, legally skipped ques in rues, couldn't get sued and still got more mental Cash than "A Boy Named Sue".

Usilitaje jina la bwana wako bure.

After all, he has limited cycles to consider "The Schrodinger's Cat Experiment".

Is the cat dead or is the cat not dead?

huyu nae cfa!!!!
sasa c uyaseme hay unayoyajua unatuletea mbwembwe apa
 
huyu nae cfa!!!!
sasa c uyaseme hay unayoyajua unatuletea mbwembwe apa

Yapi?

Ninayoyajua hayaandikiki, niyaseme una mic inayoweza kurekodi Kibarbaig?

Manake hata kwenye alphabet ya kirumi ya herufi 26 hayaandikiki.

Mengine yako governed na Heisenberg's Uncertainty Principle.

Which would mean kwamba, in a Rumsfeldisque way, ninayoyajua ni nisiyoyajua.

Kwa maana ya kwamba kujua kokote kuna mwisho.

Kutokujua tu.ndio hakuna mwisho.

Na kwa hilo naweza kusema sijui hata ambalo sijui.

Au sijui hata kama najua.

Deep.down, Heisenberg rules.
 
Kiranga ama kwa hakika amefurahi kuona habari hii, kwa maana inafungua watu macho kuhusu "nature". Inamkumbusha 1995.

Lakini kufikiri habari hii itamshangaza Kiranga ni kutomuelewa.

Kwani kunako mwaka 1996 alishakwenda United States Information Center pale "Peugeot House" na kuazima vitabu vilivyoelezea yote haya, na kuisoma vizuri "Drake's Equation".

Kwa hiyo hata kama thread hii ingetaja "Drake's Equation", isingemshangaza Kiranga, kwa sababu aliisoma 1996.

Of course haijataja Drake's Equation.

Which should make it even less surprising.

I paid my dues, saw the spectrum's hues, stayed off glue, legally skipped ques in rues, couldn't get sued and still got more mental Cash than "A Boy Named Sue".

Usilitaje jina la bwana wako bure.

After all, he has limited cycles to consider "The Schrodinger's Cat Experiment".

Is the cat dead or is the cat not dead?

Mkuu Kiranga, Thanks for your involvement. Yes my intention was to talk about basics and of course based on just "nature" and I did circumvented distinct notions which as I said would lead to confusion as a start thus obviously not about "number of communicating civilizations in our galaxy" or "a cat state of being alive and dead at same the mind of an observer" in order to explain quantum mechanics. Or would "mentioning" them at the start make stars facts more comprehensible?

Would it be sensible to start a topic about elementary facts about stars and jump right away to intelligent beings in our galaxy and behaviors of the smallest particles? No I don't think so and as you may perhaps realize that some even took it as fortune-telling and inquire explanation of Gemini and Sagittarius. Knowing about science is cool but knowing your audience is a common sense. I think you can pick it from there and carry on to any direction not consider my outline as "limited" but rather a start.
🙂
 
Who cares about so called stars, kuna vita huko Gaza, Ethiopia na njaa kila sehemu, magonjwa kama Ebola, we unakuja na elimu ya nyota??? Haisaidii kitu kujua kuwa kuna nyota sijui trillions wakati jana watoto wetu wa Africa wamelala njaa na kufa kwa malaria, shame on us

Acha unafiki kijana. Show me what is the correlation of how knowing about the stars can lead to war in Gaza, Ethiopia, Ebola and malaria then how not knowing about stars can help to eradicate them. If it make sense tunaongozana na wewe kwenda wizara ya elimu ku-propose kufuta mitaala yote na kuanzisha unayopendekeza wewe.

Hivi ni jukwaa lipi hili? Labda nimechanganya.
 
Extraterrestrial mwanzoni nilidhani unataka kupotosha lakini nilivuo ona clip moja yuotube inayo muhusu mlinzi wa obama imenifanya niamze kufikiria tofauti na mwanzo. Ngoja niendelee kuchimba zaidi
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha, umeongelea kitu kigumu kwa mtu kukielewa, ndio maana mtu anatamani uongelee yale anayoweza kuyaelewa.

Imagine anasema elimu hii haina faida, wakati tafiti hizi zinagharimu mamilioni ya USD, kisicho na faida kwa binadamu nani awekeze mapesa yote haya?

Mie nimeiprint hii, nampelekea kijana wangu.

Mkuu Kongosho, the probability works just right. Among 97% of the people who would find this information useful and worth to read there should be that 3% of negligence, greedy and total ignorance. Its how society functions we shouldn't expect everyone to accept and agree to what is analysed but at least those who don't should propose a fair position of argument with number of well thought objections. For his case he is just a victim of low self-esteem looking for somewhere he can release his stress and internal anger.
 
mkuu Invisible na uongozi mzima wa jf napendekeza kuwepo na jf intelligent man award of the year.na mtu wa kwanza kupewa ni huyu jamaa Mgalanjuka.kiukweli jamaa anatisha.anajibu maswali magumu kwa mda mfupi kwa majibu yasiyo na shaka na yenye ilm kubwa ktk space and astronomy science.sijaona "mjuaji" hata mmoja aliyethubutu kujitosa kum-challenge kwa fact tofauti,hii ni tofauti na zile mada tulizo zizoea na zisizo isha mabishano, kati ya Theists Vs. Atheists.kwani ktk mada hizo wakosoaji ni wengi.

huwa najiuliza,mgalanjuka wewe ni kati ya wale watz wanaotajwa kufanya kazi NASA?.unastahili heshima mkuu ila usilewe sifa sana kama yule jamaa yetu anayesifika sana kwa kujua kizungu hapa jf.lol

Mkuu kadoda11, nashukuru kwa kutambua mchango wangu mdogo. Kuwasilisha au kuiongelea idea katika maneno rahisi ya kawaida ni ngumu sana na kama unavyoona intentions yangu ni kufafanua kwa urahisi kabisa. Wenzetu wanazitumia forums kufahamishana na kuelimishana kwa nguvu zote lakini kwa baadhi yetu kutaja taja theories fulani bila kuzifafanua angalau kwa njia rahisi ili wengi waelewe ni kama ndio fashion fulani. Tuko pamoja mkuu hakuna kitakachoachwa bila kufafanuliwa na ikishindikana kwa maneno nitachora ninachomaanisha.
 
What happened to Ebola na watoto kulala njaa? Now its nyota na katiba mpya na taifa stars?? 🙂

Low self-esteem can have a deeply negative impact on a person's life and affect all aspects of his existence. This can be brought on by several factors that a person is affected by in his early childhood, which includes negligence, punishments and lack of praise and appreciation. In addition to these, there are several other causes of low self-esteem that can be listed by studying the history of a person.

Your signature tells everything.

Kijana it seems you know that field very well, but usikrem kila kitu kwa technologia yetu ya kibongo hiyo elimu sio muhimu sana kwamba inahitadi attention katika masomo yetu, hizo information ndeefu unazoleta hapa kila mtu anaweza kuziacces 'Google it' ulichofanya hapo ni kutafsiri tuu nayo pia kwa kutumia google translator, hakuna jipya hapo, watu ni wavivu tuu wa kutafuta mambo ulivyoandika hapa kuna watu wanakuona genius na wengine wanatamani upewe tuzo Nobel
 
Mkuu Kongosho, the probability works just right. Among 97% of the people who would find this information useful and worth to read there should be that 3% of negligence, greedy and total ignorance. Its how society functions we shouldn't expect everyone to accept and agree to what is analysed but at least those who don't should propose a fair position of argument with number of well thought objections. For his case he is just a victim of low self-esteem looking for somewhere he can release his stress and internal anger.

you have done a very good job on translating to us about stars, but one thing is missing, what is the source of this! Plagiarism of the highest order!!! Shame again unatuspoon feed to hapa tupe source ili watu tucritisize au kumodify hizi thiories acha blaa blaaa
 
Kijana it seems you know that field very well,

Really? well you are a self-contradicting figure.

but usikrem kila kitu kwa technologia yetu ya kibongo hiyo elimu sio muhimu sana kwamba inahitadi attention katika masomo yetu,

Well, kwani sisi tunaishi dunia tofauti? If you have kids you should let them aim high, do not let your fiascos become part of others, FYI Scientists around the world are coming from every places. In astronomy and science in general your little lines drawn by other people and made you believe you can't do this just because you are from somewhere is only inferiority complex.

hizo information ndeefu unazoleta hapa kila mtu anaweza kuziacces 'Google it' ulichofanya hapo ni kutafsiri tuu nayo pia kwa kutumia google translator,

That is interesting, it will be a great contribution for others and yourself if you can "acces Google it" and then translate via google translator and share with us. We will be waiting even if you will take your chosen area such as "War in Gaza, Ebola and hunger in Ethiopia" or "katiba mpya and taifa stars" just don't mix the forum.

hakuna jipya hapo, watu ni wavivu tuu wa kutafuta mambo ulivyoandika hapa kuna watu wanakuona genius na wengine wanatamani upewe tuzo Nobel

There is nowhere that it has been claimed that this is new, even some details and theories are dating back to 1960, but still many would find them interesting and worth to read though it pain you so hard but of course I can understand, you provide a very good case of low self-esteem patient and I will use you in the topic that would help others to know about this kind of disaster starting to advance in our community. Genius? Oh no, I have said I am just another Tanzanian guy please take your time to read.

From another perspective, I could not see the coherence and main focus of your argument/s. What is the problem? Is it information posted that you don't accept? Is it the way it is presented? Is it me as the presenter? Is it others who contributed and ask questions? Is it its morality, difficultness, or loo long for you to read? All this can be seen in your little paragraph then it only leave me to conclude that your arguments are too ambiguous and focus-less. They lack seriousness and collaboration to each other by mentioning incorrect things to support what you think.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom