Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa Jamaa anauza chai thus y chai nyingi town...
Mkuu Mgalanjuka, nimesoma bandiko lako hapo juu na nimerudia na kurudia kitu nilichooma hapo ni vigumu kuamini kwa akili ya kawaida. Mimi nachojua sayansi inaprove fact. Mpaka hapo mimi sijaona ukweli wowote.
Kwa mfano unasema ...katika picha hii kuna galax 10000 na kila 1 ina nyota bilion 100. Na hiki ni kaeneo kadogo tu katika anga! haya manyota yote na ukubwa ulisema pamoja na umbali uliosema wa karibu km 1600 yanakaeje huko angani?
Ukaendelea tena, chuo kikuu cha Hawaii kilifanya utafiti wa kutosha kukokotoa kila punje ya mchanga hapa duniani wakagundua kuna 7.5 quintillion za mchanga na kila punje inawakilisha nyota 10000 katika universe! Ajabu uwiiiiii! Hii ni nini jamani? Mm nitakuwa wa mwisho kuamini. Yaani hawa jamaa wanajua idadi ya punje za mchanga?
Hapa ndio ulinimaliza kabisa uliposema kijiko cha chai kina uzito sawa na mapiramidi 19000 yaliyoko pale misri! hawa jamaa huwa wanaandika wakia wamelewaeh! Heeh! Hii kali.
Mkuu Mgalanjuka haya makitu uliondika ni fikra za watu na ni ubabaishaji wa kiwango cha juu. Naomba nitofautiane na wewe.
Hahahah! Makamba tena? Haya twende taratibu usikurupuke. Elezea vizuri fix ni wapi na wewe unachojua ambayo ndio ukweli kiandike vizuri ni kipi. Nina uhakika hujasoma vizuri na huna uelewa wa kutosha kujua hiyo comparison ya distance na kwa nini miaka elfu sabini imewekwa hapo. Wengi wanaelewa nazungumzia nini na sijui kama naweza kubishana na wewe kama huna mbadala wa "nyororo na kamba ngumu"
Hilo jina la namba unayo-refer unakosea siyo "six trillion" inaitwa Sextillion. Kuchanganya kitu kilichoandikwa wazi namna hiyo it is a sign of your incompetence. Usiwe mvivu jiridhishe hapa what is sextillion:
Sextillion | Define Sextillion at Dictionary.com
noun, plural sex·til·lions ( as after a numeral ) sex·til·lion.1.a cardinal number represented in the U.S. by 1 followed by 21 zeros, and in Great Britain by 1 followed by 36 zeros.
adjective2.amounting to one sextillion in number.
Origin:
168090; < French < Latin sext ( us ) sixth + -illion, as in million
Related formssex·til·lionth, adjective, noun
!
!
haya kaka mkubwa mie ni inkompetensi nimekubali ila kwa kamba hujambo.......yaani kama mtoto akizaliwa leo kwenda hadi huko atafika akiwa na miaka elfu sabini au, hebu fafanua vizuri mkuu nielewe. Tena kwa chombo cha mwendo mkali
mkuu "316 pekeako" kumbe na wewe umeshtukia? Kwani links ndio ukweli? Tufike mahali tusikubali kila kitu, kuna watu humu washaanza eti jamaa apewe tuzo ya mwanajukwa bora.!
Naapa kwa mbingu na ardhi hata wingi wa nywele zangu hawa jamaa hawajui seuse mchanga! Eti dunia ina zaidi ya miaka milioni 65! Wakati huo watu walikuwa hawazaani? Mbona dunia ingeshajaa miaka kibao iliyopita.
Hii maanake ni kuwa kama kuna uwiano wa kuzaa na kufa ni kwamba kama miaka hiyo 65ml ilyopita na watu walikuwa nanazaliwa 2000 kwa kila mwaka na 1000 wanakufa kila mwaka , leo dunia ingekuwa na watu 65 billion. Kumbuka dunia ina watu takribani 6 bln kwa sasa.
Mgalanjuka njoo huku bwana.
Ulivo-quote post ya jamaa hapo juu ina maandishi mengi kitendo cha wewe kuiquote tena ina maana inaongezeka urefu mara mbili, kwa watu wanaotumia simu kuscrow mpaka kufika chini kwenye hizi post zingine inawawia vigumu.
Mkuu Mgalanjuka, nimesoma bandiko lako hapo juu na nimerudia na kurudia kitu nilichooma hapo ni vigumu kuamini kwa akili ya kawaida. Mimi nachojua sayansi inaprove fact. Mpaka hapo mimi sijaona ukweli wowote.
Kwa mfano unasema ...katika picha hii kuna galax 10000 na kila 1 ina nyota bilion 100. Na hiki ni kaeneo kadogo tu katika anga! haya manyota yote na ukubwa ulisema pamoja na umbali uliosema wa karibu km 1600 yanakaeje huko angani?
Ukaendelea tena, chuo kikuu cha Hawaii kilifanya utafiti wa kutosha kukokotoa kila punje ya mchanga hapa duniani wakagundua kuna 7.5 quintillion za mchanga na kila punje inawakilisha nyota 10000 katika universe! Ajabu uwiiiiii! Hii ni nini jamani? Mm nitakuwa wa mwisho kuamini. Yaani hawa jamaa wanajua idadi ya punje za mchanga?
Hapa ndio ulinimaliza kabisa uliposema kijiko (nerton) cha chai kina uzito sawa na mapiramidi 900 yaliyoko pale misri! hawa jamaa huwa wanaandika wakia wamelewaeh! Heeh! Hii kali.
Mkuu Mgalanjuka haya makitu uliondika ni fikra za watu na ni ubabaishaji wa kiwango cha juu. Naomba nitofautiane na wewe.
!
!
haya kaka mkubwa mie ni inkompetensi nimekubali ila kwa kamba hujambo.......yaani kama mtoto akizaliwa leo kwenda hadi huko atafika akiwa na miaka elfu sabini au, hebu fafanua vizuri mkuu nielewe. Tena kwa chombo cha mwendo mkali
Kijana it seems you know that field very well, but usikrem kila kitu kwa technologia yetu ya kibongo hiyo elimu sio muhimu sana kwamba inahitadi attention katika masomo yetu, hizo information ndeefu unazoleta hapa kila mtu anaweza kuziacces 'Google it' ulichofanya hapo ni kutafsiri tuu nayo pia kwa kutumia google translator, hakuna jipya hapo, watu ni wavivu tuu wa kutafuta mambo ulivyoandika hapa kuna watu wanakuona genius na wengine wanatamani upewe tuzo Nobel
Mleta mada una moyo ndugu, yaani vitu basics kabisa hivi inawawia ngumu watu kuelewa wanatoapovu tu, kaazi kweli!
Pale ambapo akili yetu inaishia,ndipo Mungu huanzia.
Kuwaza Mungu atakuwaje,ni sawa na kuchota maji baharini na kuyamwaga Kisimani,Hupunguzi hata theluthi ya Bahari.Mungu atabaki kuwa Mungu.
Mtoa maada haya mambo uliyoeleza hapa yanahitaji sana.. akili inayoweza kufanya imagnation kichwani.. Kama uelewavyo watanzania wengi hesabu walikimbia. Watu wa HGL watakuuliza maswali mpka utakiona cha moto mkuu... Hawajui hata atom ni kitu gani kwanza..
Mkuu Mgalanjuka, nimesoma bandiko lako hapo juu na nimerudia na kurudia kitu nilichooma hapo ni vigumu kuamini kwa akili ya kawaida. Mimi nachojua sayansi inaprove fact. Mpaka hapo mimi sijaona ukweli wowote.
Kwa mfano unasema ...katika picha hii kuna galax 10000 na kila 1 ina nyota bilion 100. Na hiki ni kaeneo kadogo tu katika anga! haya manyota yote na ukubwa ulisema pamoja na umbali uliosema wa karibu km 1600 yanakaeje huko angani?
Ukaendelea tena, chuo kikuu cha Hawaii kilifanya utafiti wa kutosha kukokotoa kila punje ya mchanga hapa duniani wakagundua kuna 7.5 quintillion za mchanga na kila punje inawakilisha nyota 10000 katika universe! Ajabu uwiiiiii! Hii ni nini jamani? Mm nitakuwa wa mwisho kuamini. Yaani hawa jamaa wanajua idadi ya punje za mchanga?
Hapa ndio ulinimaliza kabisa uliposema kijiko (nerton) cha chai kina uzito sawa na mapiramidi 900 yaliyoko pale misri! hawa jamaa huwa wanaandika wakia wamelewaeh! Heeh! Hii kali.
Mkuu Mgalanjuka haya makitu uliondika ni fikra za watu na ni ubabaishaji wa kiwango cha juu. Naomba nitofautiane na wewe.
Aisee Qyberteq, ndio tabu yenyewe hii. Nilitaka nione ni upeo gani hawa watu wanao lakini naona nimepata jibu baada ya kuona post zao zilizofuata. Lakini inashangaza pale mtu asipoelewa yeye that makes everything false. Na wale wote wanaoelewa basi kwake wamepotoka. So how can we move forward? Ndio sababu ya kuwaelezea kwa njia rahisi kabisa lakini labda ni kwa faida ya watu wengine wanaopenda kufahamu lakini sio wao.