Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Status
Not open for further replies.
Duh...alafu unakuta Genious kama huyu ni bank teller tu ......hii elimu yetu hii ....
 
vipi hizi hating tena zinatoka wapi, kati ya aliyoandika kweli hakuna jipya, hata wewe uliyojifunza chuoni hakuna jipya yote yanapatikana google, kushare na wanajamii chochote unachokijua bila kujali ulikokitoa ni jambo jema, au mwenzetu haujawahi kusoma jambo sehemu ukaja kulileta jf?!! Btw, mleta mada anaelewa anachokiandika, ni tofauti na kucopy na kupaste bila kuwa na uelewa sahihi wa mada husika, na karahisisha kwa kuandika kiswahili, hajatumia translator kama unavyodai wewe, hakuna kiswahili cha google translator hapo!! Tuache kukatishana tamaa jamani, elimu tuliyonayo ni ndogo sana kulinganisha na elimu ya dunia hii, tunavyosoma na kujadiliana katika mada mbalimbali ndiyo tunapanua uelewa, kama wewe unaelewa kila kitu ni nzuri pia ukapita kimyakimya kwani thread ngapi umepita humu jf!!!
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.
 
vipi hizi hating tena zinatoka wapi, kati ya aliyoandika kweli hakuna jipya, hata wewe uliyojifunza chuoni hakuna jipya yote yanapatikana google, kushare na wanajamii chochote unachokijua bila kujali ulikokitoa ni jambo jema, au mwenzetu haujawahi kusoma jambo sehemu ukaja kulileta jf?!! Btw, mleta mada anaelewa anachokiandika, ni tofauti na kucopy na kupaste bila kuwa na uelewa sahihi wa mada husika, na karahisisha kwa kuandika kiswahili, hajatumia translator kama unavyodai wewe, hakuna kiswahili cha google translator hapo!! Tuache kukatishana tamaa jamani, elimu tuliyonayo ni ndogo sana kulinganisha na elimu ya dunia hii, tunavyosoma na kujadiliana katika mada mbalimbali ndiyo tunapanua uelewa, kama wewe unaelewa kila kitu ni nzuri pia ukapita kimyakimya kwani thread ngapi umepita humu jf!!!

Ukitoa mawazo tufauti ni hate?? Nimekudharau ghafla
 
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

hayo matango pori amekusokomeza kwa nguvu?!!! kama una theory tofauti shusha hapa, si ndiyo wanazuoni wanavyotakiwa kukosoana? au wewe iq yako kubwa inakwambia kubisha bila kuwa na wazo mbadala? acha mawazo mgando kijana, yeye kaleta ilmu kwa kadri anavyoifahamu, kama wewe unaifahamu vinginevyo shusha watu wajadili, siyo unatoapovu tu na kupiga makerere kama kanga waporini!
 
duh! vilaza walikimbia hesabu lakini wanajiita namba namba ..mara ziroseventytwo mara threesixteen heheheh kaazi kwei kwei.

hesabu kitu gani wewe! Sio kila kitu unachoambiwa kiko sahihi. Chakuambia changanya na za kwako...we kwa fikra zako huko anga za mbali kuna hayo manyota mengi mtu unaandika masifuri mpaka basi. Aargh!
 
umenichekesha, hivi jua letu haliko angani?
Na dunia.iko wapi?

Mkuu Mgalanjuka, nimesoma bandiko lako hapo juu na nimerudia na kurudia kitu nilichooma hapo ni vigumu kuamini kwa akili ya kawaida. Mimi nachojua sayansi inaprove fact. Mpaka hapo mimi sijaona ukweli wowote.

Kwa mfano unasema ...katika picha hii kuna galax 10000 na kila 1 ina nyota bilion 100. Na hiki ni kaeneo kadogo tu katika anga! haya manyota yote na ukubwa ulisema pamoja na umbali uliosema wa karibu km 1600 yanakaeje huko angani?

Ukaendelea tena, chuo kikuu cha Hawaii kilifanya utafiti wa kutosha kukokotoa kila punje ya mchanga hapa duniani wakagundua kuna 7.5 quintillion za mchanga na kila punje inawakilisha nyota 10000 katika universe! Ajabu uwiiiiii! Hii ni nini jamani? Mm nitakuwa wa mwisho kuamini. Yaani hawa jamaa wanajua idadi ya punje za mchanga?

Hapa ndio ulinimaliza kabisa uliposema kijiko (nerton) cha chai kina uzito sawa na mapiramidi 900 yaliyoko pale misri! hawa jamaa huwa wanaandika wakia wamelewaeh! Heeh! Hii kali.

Mkuu Mgalanjuka haya makitu uliondika ni fikra za watu na ni ubabaishaji wa kiwango cha juu. Naomba nitofautiane na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mgalanjuka haya makitu yanachanganya sana. Labda mimi sielewi, lakini mbona umeandika kwa lugha nyepesi sana.? Kwa hiyo mkuu hizi link unazotuwekea ndio ushahidi wa kuwa kuna manyota kibao huko angani kuzidi mchanga wa pwani!?

Naomba niendelee kufuatilia bila kuamini.

Mkuu Ziroseventytwo twende taratibu naamini tutafika. Link umezisoma? Mbona kila kitu kiko wazi tu wala hamna kificho. Hata wewe pia unatumia hesabu na makadirio katika kuwasilisha kile unachokisema wala haijaanza leo na kwenye mada hii. Hapa chini ni bandiko lako mwenyewe ukisisitiza pupulation ya dunia. Sasa nikuulize lini umefanya sensa ya kuhesabu watu dunia nzima? Leta ushahidi!

Hii maanake ni kuwa kama kuna uwiano wa kuzaa na kufa ni kwamba kama miaka hiyo 65ml ilyopita na watu walikuwa nanazaliwa 2000 kwa kila mwaka na 1000 wanakufa kila mwaka , leo dunia ingekuwa na watu 65 billion. Kumbuka dunia ina watu takribani 6 bln kwa sasa.
 
Sayansi sio imani.

Unakumbuka enzi tunaambiwa kwenye hesabu, asaume x=y, ulikuwa unaamini au una solve?

Kila theory ina critiques/limitation, ukifuatilia hizo theory ndio utachambua mbivu na mbichi.

Ila umenifurahisha ulivyokataa, so innocently.

hesabu kitu gani wewe! Sio kila kitu unachoambiwa kiko sahihi. Chakuambia changanya na za kwako...we kwa fikra zako huko anga za mbali kuna hayo manyota mengi mtu unaandika masifuri mpaka basi. Aargh!
 
umenichekesha, hivi jua letu haliko angani?
Na dunia.iko wapi?

Aliyekuja kubadili mfumo wa elimu na kuruhusu watoto kukimbia sayansi toka form two aliharibu kila kitu, matokeo yake ndiyo haya mtu anakuja kuanza kustruggle ukubwani kuelewa misingi ya fizikia! Nakumbuka mwalimu wetu mmoja akawa anatufundisha elsticity, akawa ameshikakipande cha nondo anasema nacho ni elastic tulicheka sana, yeye akawaanatucheki tu mwalimu yule jicho nyanyaaa na hereni yake skioni na nywele zisochanwa, R.I.P Mwalimu!
 
mie mara ya kwanza kusikia galaxy, milky way, light year, universe ni fomu wani, nashangaa nini kimetokea. Au mhaya yule alitu overdose?

Kuna kitu hakiko sawa, japo hata kama sikuelewa in detail sana, lakini from fomu wani najua hivi vitu vipo.

Aliyekuja kubadili mfumo wa elimu na kuruhusu watoto kukimbia sayansi toka form two aliharibu kila kitu, matokeo yake ndiyo haya mtu anakuja kuanza kustruggle ukubwani kuelewa misingi ya fizikia! Nakumbuka mwalimu wetu mmoja akawa anatufundisha elsticity, akawa ameshikakipande cha nondo anasema nacho ni elastic tulicheka sana, yeye akawaanatucheki tu mwalimu yule jicho nyanyaaa na hereni yake skioni na nywele zisochanwa, R.I.P Mwalimu!
 
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

Ndugu umeelekezwa huko nyuma ukiwa una mawazo tofauti toa hoja zenye mashiko...wewe unaishia kubwabwaja tu...hata Hufanyi reviews kidogo tu hata kwenye Google angalau ujipatie Ufahamu kidogo..

Unachoshangaa ni nini Mchanga kuhesabiwa?? Mbona Dunia Imepimwa Uzito na Unajulikana? Wewe Upeo wako kwenye Sayansi ni mdogo sana..

Najaribu kutafuta hata post moja uliyoshuka nondo za kuonyesha Matango Pori ya Mtoa mada Sioni..naona blahblah tu...Piga kimya kama huna maswali yenye Mantiki..
 
mie mara ya kwanza kusikia galaxy, milky way, light year, universe ni fomu wani, nashangaa nini kimetokea. Au mhaya yule alitu overdose?

Kuna kitu hakiko sawa, japo hata kama sikuelewa in detail sana, lakini from fomu wani najua hivi vitu vipo.

vilikuwapo kidato cha kwanza mkuu, nadhani ilikuwa kwenye somo la jiografia, sasa hivi vijana sijui hata wanasoma nini! Nakumbuka mzee wangu tulipenda kukaa nje anatuonesha nyota, alitufundisha namna gani unawezakutofautisha nyota, sayari, vimondo nk kwa kutizama tu kwa macho, milky way alikuwa akiita kiluga "Ibhalabhala Lya Mabhele", siku hizi hata wazazi hawana muda huo!
 
Ndugu umeelekezwa huko nyuma ukiwa una mawazo tofauti toa hoja zenye mashiko...wewe unaishia kubwabwaja tu...hata Hufanyi reviews kidogo tu hata kwenye Google angalau ujipatie Ufahamu kidogo..

Unachoshangaa ni nini Mchanga kuhesabiwa?? Mbona Dunia Imepimwa Uzito na Unajulikana? Wewe Upeo wako kwenye Sayansi ni mdogo sana..

Najaribu kutafuta hata post moja uliyoshuka nondo za kuonyesha Matango Pori ya Mtoa mada Sioni..naona blahblah tu...Piga kimya kama huna maswali yenye Mantiki..

aah kaka! Salama lakini? Long tym sana mkuu.
 
Atakuja anahema kwa ukali huyo, hapendi kabisa ubishe anachoandika

Mbona haya mambo unayoandika ni ya kawaida sana ila wewe unatulazimisha tuone ni mambo makuuuuubwa!!

Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

1. "Atakuja, hapendi,"
2. "unayoandika," "unatulazimisha,"
3. "Amefanya kazi nzuri, kameza matango pori"

kisungu, naangalia bado sioni chochote cha msingi unachojaribu kuwasilisha. Where is your critics? I could only see character assassination. 🙂

Kwa calculation ya kadirio la mchanga wote wa beaches za dunia nzima mbona iko straight forward kabisa:

iangalie vizuri

sand.GIF



Source:http://www.hawaii.edu/suremath/jsand.html
.
 
1. "Atakuja, hapendi,"
2. "unayoandika," "unatulazimisha,"
3. "Amefanya kazi nzuri, kameza matango pori"

kisungu, naangalia bado sioni chochote cha msingi unachojaribu kuwasilisha. Where is your critics? I could only see character assassination. 🙂

Kwa calculation ya kadirio la mchanga wote wa beaches za dunia nzima mbona iko straight forward kabisa:

iangalie vizuri

sand.GIF



Source:Grains of Sand on the World's Beaches
.

hahaha mkuu unazidi kumuingiza kichakani yule mbishi pori.nina hakika kwa yaliyomo ktk post hii,kwake ni ★★ tu.lol...this sh*it is too big for him.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom