Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,734
- 1,709
Ama kweli Mungu yupo na anapaswa kuogopwa kuliko kawaidaaa!! mtoa maana asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisi pia tupo angani...hayo manyota na magalaxi yapa anga za mbali. We unaonaji hili darasa?
hahaha, kilichoandikwa hapo juu unakitumia vipi kuprove uwepo wa mungu?!!..oh, sorry, OP!Ama kweli Mungu yupo na anapaswa kuogopwa kuliko kawaidaaa!! mtoa maana asante sana
hahaha, kilichoandikwa hapo juu unakitumia vipi kuprove uwepo wa mungu?!!..oh, sorry, OP!
We huoni kama hivyo vitu vilipangwa!!? au unafikiri vililipuka tu vikawepo?
how do you know vilipangwa?!!
Kwa jinsi vilivyopangiliwa" ni ishara tosha kwamba kuna mtu aliyepanga.. wewe kama huelewi chochote utawezaje kusema muumba wa hivyo vyote hayupo! au uliumba wewe hizo galaxy na nyota?
If complexity and order must have someone to create it, surely that someone must need a creator, and that creator another creator, ad infinitum, ad absurdum.
ahsante kwa uzi mzuri..mimi nahitaji kujua jinsi ya kuzisoma hizo nyota zikiwa angani.kuna maumbo ambayo hujipanga na yana maana yake.
Mkuu kwani huwezi kukomenti bila ku-quote uzi mzima...???
Unatupa shida tunaotumia simu mkuu
Mkuu 072, Haina tabu ngoja tuwasome tu labda tutajifunza kitu.
What is the ultimate origin of stars mkuu, according to your cosmogony.
Umeleta mada nzuri sana, labda tukuchimbe zaidi kupata elimu zaidi.
Nashukuru sana Mr. Mgalanjuka kwa kuonyesha dhahiri umuhimu wa elimu ya astronomia katika kuleta udadisi, kutengeneza fikra mpya na hali ya kupenda sayansi. Kama ulivyo wewe nami naipenda elimu hii kwani kila siku siachi kujifunza jambo jipya. Kutokana na kuipenda kwangu huwa natumia muda wangu wa ziada kuwafundisha watoto na jamii kuhusu mambo haya. Suala la kuchanganya elimu hii na astrology halina budi kufanyiwa kazi ili watu waweze kuielewa elimu hii na kunufaika nayo, vivyo hivyo katika suala la uwepo wa Mungu na Imani zetu. Nimependa ulivyoacha kila mtu aamue mwenyewe kutoka na imani yake na uelewa wake. Naomba uendelee kutujuza mengi zaidi