Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Kweli wewe unatumia akili za kuvukia barabara unadhani unaweza hadaa akili za watumiaji wa jf
 
Freed Freed,

Huu ujinga ndio mlimuingiza nao mkenge Magufuli kuwa ili akubalike sana, atoe hela ya kuwanunua wapinzani kisha waseme wanaenda kuunga mkono juhudi. Matokeo yake saa hii kapanick haelewi inakuwaje watu wanajaa kwa Lissu. Ili kupooza hasira ya Magufuli, matapeli mliomuingiza mjini mzee wa watu, mnakuja na hizi post ili kumpoteza maboya.
 
Kauli ya Polepole imewakosesha usingizi, timing ya kutolewa kwake kabda. CCM wafanye maamuzi baada ya kujiridhisha kutoka kwa wananchi wa jimbo husika mwisho wa siku ndio wapiga kura.

Dalili za mvua ni mawingu, uhalisia wa mambo sehemu kubwa ya Tanzania kukubalika kwa Lussu, Dodoma ilitupa picha yake siku ya uchukuaji wa fomu. Haya mengine ni muendelezo wa genge la wale jamaa waliomtuma mtu wao Dodoma kumuuliza Mkt swali la"Nimetumwa Mkt ni kuulze"
Hao baadhi yao hata siku ya kuchukua fomu wametumwa na watoa rushwa. Sasa Siri imefichuka.
 
Ndiyo, wakihofia kukatwa. Ni wabunge walioshinda kura za maoni. Wanaitisha kamati kuu ya CCM ione hali ni tete na kukatana kuepukwe kwa mustakabali wa Chama.
Nimesoma hi post naona wewe ndo mwenyewe unaehofia kukatwa. HAKUNA mjinga wa kuambiwa nenda kwa Lissu ili kuitisha CCM halafu nae aende.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Inept thinking.
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Duh, mtatajana tu, twendeni taratibu. Ila mkubali tu kwamba mmeshikwa korodani. Na hii kitu hamkuwàhi kuigundua madhara yake. Mwisho wa siku mtatumia tu ubabe.
 
Mawazo yanaingia yanatoka.
Ningekuwa nimekunywa KONYAGI je
 
Hapana, wengi wametumwa na mafisadi kutikisa kiberiti kwa CCM. Siasa mchezo wa hovyo Sana.

Unaweza kukuta wewe kwa akili hizi ni think-tank wa chama na moja ya washauri wa katibu wa itikadi na uenezi. CCM kuna sehemu tulikosea!
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Haija wahi kuwa na haitakaa iwe watu wa Ccm ati kumfuata Lissu. Tfuteni gear nyingine..
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Ujinga kipaji.
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Upuuzi mtupu
 
Hahahahahahahah Kikwete alisema, "Za Kuambiwa changanya na zako" kama umejaliwa kuwa nazo.

Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
 
Back
Top Bottom