Ukweli wa pisi kali, kuliwa na jamaa boya!

Ukweli wa pisi kali, kuliwa na jamaa boya!

Kwako wewe piss Kali Ni mwanamke wa aina gani? Kama unakaa Dar es salaam basi nikuambie Kuna pisi Kali nyingi Sana zinainamishwa kwe ye kuta za shule na kuliwa mbususu na maboya tu.
Boya mnara hauwezi soma 4G, mbususu ni kwa ajili ya kuchakatwa na si vinginevyo, kusema mtu ni boya kisa anazichakata mbususu sio sahihi.
 
Shida ya pisi Kali wengi kichwani zimejaa funza tu.

Mwanamke yeyote anayeamini uzuri wake kwamba ndo kila kitu..sehemu pekee anayostahili ni kuwa mchepuko tu

Wanaume wanaojjielewa wakitaka kuoa utawaona selections zao mwanamke simple,smart and humble ..

Hamnaga mwanaume smart anayejisumbua kuoa mwanamke ambaye hata basic skills za kuishi na jamii Hana anategemea sura na matako yake ...

Anasikia msiba yeye anakimbilia saloon kuweka kope bandia.. Wanwake wenzake wapo jikoni wanapika msibani lenyewe limejichanganya na wanaume hata aya halina...

Kusalimia majirani linakwambia uswahili...
 
Sasa issues za kuzaa na nini zinatokea wapi, tunaposema pisi kali tunamaanisha mademu wale wa short term needs sasa mke huyo ni lifetime partner na huwa hatuangalii vigezo vya upisi kwenye mke hio huwa ni added advantage tu.
 
Shida ya pisi Kali wengi kichwani zimejaa funza tu.

Mwanamke yeyote anayeamini uzuri wake kwamba ndo kila kitu..sehemu pekee anayostahili ni kuwa mchepuko tu

Wanaume wanaojjielewa wakitaka kuoa utawaona selections zao mwanamke simple,smart and humble ..

Hamnaga mwanaume smart anayejisumbua kuoa mwanamke ambaye hata basic skills za kuishi na jamii Hana anategemea sura na matako yake ...

Anasikia msiba yeye anakimbilia saloon kuweka kope bandia.. Wanwake wenzake wapo jikoni wanapika msibani lenyewe limejichanganya na wanaume hata aya halina...

Kusalimia majirani linakwambia uswahili...
Ebu pata hata chupa moja ya pepsi. Umegusa penye kidonda.
 
Wanasema Beauty falls in the eyes of the beholder.

Yule unayemdhania pisi kali anaweza akawa sio piss kali kwa watu wengine.
 
Sasa issues za kuzaa na nini zinatokea wapi, tunaposema pisi kali tunamaanisha mademu wale wa short term needs sasa mke huyo ni lifetime partner na huwa hatuangalii vigezo vya upisi kwenye mke hio huwa ni added advantage t

Sasa issues za kuzaa na nini zinatokea wapi, tunaposema pisi kali tunamaanisha mademu wale wa short term needs sasa mke huyo ni lifetime partner na huwa hatuangalii vigezo vya upisi kwenye mke hio huwa ni added advantage tu.
We unasema nini
Pisi ya short time nayo huwa inajali mtu au pesa yako tu.
Ivi ushatembelea sinza, Buguruni,Tabata, Mwananyamala, magomeni muda wa saa Tano + ivi
Utaona kuna pisi kali kibao pesa yako tu na hazijali sura ya mtu wala rangi .
Sasa hao sio tunaozungumzia sisi, hao ni maiti zinazotembea.
Mimi nazungumzia mdada class mzuri mwenye nidhamu yake ila anae date na mtu ambae watu wanamuona jamaa ni boya au hawaendani

sizungumzii Changu, Hakunaga changu pisi wote ni takataka
 
Naomba niulize swala hili inachukua mda gani kwa mwanamke mjamzito kusex na mwanaume wake baada ya kujifungua
 
Hakuna pisi kali kama unavyofikiria hususani mwanaume hakuna mwanamke anaweza kumbabaisha baada ya tendo
.Hizo unazoitq pisikali labda ni wale watafuta attention ya watu...Hawa ni wale wanatongozwa sana maana labda kwa muonekano wao wanatamanisha.

Labda wanavaa vinguo ovyo..Ila tambua mwanamke anajijua pisikali mpaka aambiwe mara kadhaa maana si unajua wanaume ni wazee wa kusifia kama msema "we mremb" "pisikali" ni misemo ya msimu so Kwa wakati huu utakuta wanaume wengi wanaomtongoza wanamwambia ivyo kwa nn asiringe?

Level ya ujana ila tambua iyo pisikali haswa bongo haweza kumaintain uzuri wake milele ..Wanawake wa mda mdgo sana wa kuringia urembo wao mpaka akizaa game linaanza kumtupa mkono.

Most ya hao wanaojiita pisikali ni kawaida sana wanatumika wka kupewa sifa kwamba wao ni warembo ila fainal uzeeni..
 
Back
Top Bottom