Ukweli wa pisi kali, kuliwa na jamaa boya!

Ukweli wa pisi kali, kuliwa na jamaa boya!

Hakuna pisi kali kama unavyofikiria hususani mwanaume hakuna mwanamke anaweza kumbabaisha baada ya tendo
.Hizo unazoitq pisikali labda ni wale watafuta attention ya watu...Hawa ni wale wanatongozwa sana maana labda kwa muonekano wao wanatamanisha.

Labda wanavaa vinguo ovyo..Ila tambua mwanamke ananijua pisikali mpaka aambiwe mara kadhaa maana si unajua wanaume ni wazee wa kusifia kama msema "we mremb" "pisikali" ni misemo ya msimu so Kwa wakati huu utakuta wanaume wengi wanaomtongoza wanamwambia ivyo kwa nn asiringe?

Level ya ujana ila tambua iyo pisikali haswa bongo haweza kumaintain uzuri wake milele ..Wanawake wa mda mdgo sana wa kuringia urembo wao mpaka akizaa game linaanza kumtupa mkono.

Most ya hao wanaojiita pisikali ni kawaida sana wanatumika wka kupewa sifa kwamba wao ni warembo ila fainal uzeeni..
Umenena mkuu
 
Hakunaga boya anaeweza kuchakata pisi kali
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
 
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Kwahiyo utajiri upo kwenye sperm retention?
 
H
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
hii emu ijazie nyama
 
Daah hii imenitokea mwaka jana asee, pisi kali matata sana nikafanikiwa kuivuta Landmark Sinza, ila baada ya kutoa nguo ya ndani hali ya hewa ilibadilika na nilishindwa kuendelea na game. Kichwani nikajisemea dada mzuri kama huyu anashindwaje kujitibu harufu hii ya ajabu namna hii
Ukaiachilia itoke bila kuigonga, kwa maelezo gani yaliyojitosheleza?
 
Daah hii imenitokea mwaka jana asee, pisi kali matata sana nikafanikiwa kuivuta Landmark Sinza, ila baada ya kutoa nguo ya ndani hali ya hewa ilibadilika na nilishindwa kuendelea na game. Kichwani nikajisemea dada mzuri kama huyu anashindwaje kujitibu harufu hii ya ajabu namna hii
Niliwahi kutana na traakoo mkuu. Tatizo likawa hilohilo. Game haikufika dk 90
 
Back
Top Bottom