Ukweli wa Tegeta Escrow!


I see!....this makes alot of sense.
 
I see!....this makes alot of sense.

Mkuu wewe uwekeze hata kupikia shule halafu hela yako usilipwe miaka hata mi 4 tu huku ww unaendelea kununua mahitaji na kupika sijui kama ni rahisi khivyo.
Cha Ajabu kesi imeisha karibu na mwisho wa awamu ya 4!!!
Haihitaji akili kubwa kujua fumbo walilotufumba.
 
Naunga Mkono mapendekezo yako ila naomba niongeze moja.Msajili wa vyama vya siasa aangalie uwezekano wa kukifuta chama cha mapinduzi kwani ndicho kichaka cha wahujumu uchumi wa Taifa letu
 
Hapo ndiko Prof. Muhongo anapopata ujasiri wa kusema "nikijiuzulu nchi itatikisika"!

Hii ndiyo TZ yaani mpaka muhongo anamficha JK mfukoni, sijawahi kuona

layoni=lion! !
 
Last edited by a moderator:
Ina maana chenge na mama tibaijuka walinunua hisa sawa? Maana wote walipewa kiasi sawa au siyo bana
 
Kumbe waligawana sawa?sasa mapovu ya nn?

Hahahaaa kweli tuna safari ndefu.
Kodi yetu vp?
Kumbuka wengine tutawalisha maisha yao yote.
Kama ni halali wafanye biashara kwa Uwazi kwa nn ubebe fedha kwa Sandarusi na Rumbesa?
Zimetimia kichwani kwako kweli?
 
Kuna jamaa Alishanitonya juu ya hili, that is explain whyChenge, Kimiti, Ngeleja, Daniel Yona wamepataje mgao, why mafanya biasharaagawe pesa kama njugu. Ukianzia na AlexStewart ilekampuni ya ukaguzi wa dhahabu, Atimus Gas ilekampuni iliyofilisikakule Mtwara, PAN AFRICAN ENERGT, Songas, simbion, na hata wanakuwa na masharekwenye migodi, Pesa za meremeta zilizokutwa kwenye account ya Chenge, Share zaStamico zilizopotea wakati Mgodi wa Bulyanhulu unauzwa kwa kutoka Suton kwendaBarrick na Buzwagi. Escrow imewaumbua hawa mafisadi.

 

Unajua ndugu lazma ujiulize viswali kuhusu wastaafu wanahongwa kwa lipi?
Kampuni ni ya Watanzania tena tuliowapa dhamana leo Wanatuangamiza mchana kweupe.
 
 
Uko sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…